TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

Duh. Kuna nini ? Mkangara alisema Lowasa ni mgonjwa Akafa yeye,Mtikila alisema Lowasa ni mgonjwa Amekufa yeye, bado wengine kama 3 wanaomsakama lowasa kwa ugonjwa na ni bahati Mtikila aliondolewa kwenye kinyang,anyilo cha Urais muda huu uchaguzi ungehairishwa hadi January 2016
 
Mungu mkubwa,hadhihakiwi akakaa kimya.
Wenye kuona na waone utukufu wake.

Kwani kweli?
Kama kweli mtoto wa shehe Yahya alitabiri kufa kwa mgombea wa uraisi
Ila alisema jukwaani.
Ndio maana akina ridh wamekazania sana wakijua atakua Lowassa.
 
kweli hakuna aijuaye kesho R.I.P Mtikila
 
Unanyoosha kidole kwa mwenzako huku vinne vya kuangalia rest in peace mtikila
 
Chinembe ni Mungu yupi huyo????? Mungu ni wa rehema na hataki hata mmoja apotee.

Kama huyo Mungu wa Lowasa anaua kila atakayemsema basi atauwa watu wengi sana. Lile kusudi la kazi ya msalaba litakuwa limefitinika.

Bwana wetu Yesu Kristo alifanyiwa kila namna ya uovu akasema Baba wasamehe hawajui wafanyalo. Huyo Mungu wa kulipiza papo kwa papo !!!!!!! Mh!!!!! Wapi kazi ya MSALABA???

Damu zilizomwagika hata sasa kama ni mapenzi ya Mungu zitaenda kwa AMANI. Kama ni umafya na ushirikina basi tegemeeni KISASI cha Bwana.

Queen Esther

Acheni kudhihaki watu wengine kwa afya zao. Hujafa hujaumbika.
 
Kama ni kweli Mtikila amekufa, basi Nape naye ajiandae. Hiki si kitu cha kawaida. Wa tatu huyu sasa anakufa kutokana na kuidhiaki afya ya Lowassa.
 
Back
Top Bottom