TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

lkn c alimdhihak edo?,leo yeye katangulia na wengne kama kina nepi nauye wajipange
 
dah wa pili huyo, malipo hapa hapa duniani jamani
 
Kama hii ni habari ya kweli, NATUMAI IMETHIBITISHWA NA Moderator,
INASIKITISHA SANA TAIFA LETU LIMEFIKA PABAYA, WATANZANIA WENGI HUMU NAONA BADALA YA KUKUBALI MCHANGO WAKE ALIOULETA MCHUNGAJI MTIKILA KTK AMSHA AMSHA YA DEMOCRASIA, WATU WANAONGEA KANA KWAMBA WAO WATAISHI MILELE NA KUONGELEA 'MABAYA' KUWA ALIKUWA ANAMPONDA MTU FULANI SANA HIVYO KIMTAZAMO WAO WANAONA KAMA AMESTAHILI HIVI, NI MUNGU KAAMUA KUMCHUKUA MWANAE, HAMNA LINGINE HAPO.
Watanzania tumekubali kuwa watumwa wa siasa na siasa INATUGAWA vibaya sana, tumekuwa kama blue band na siasa ni kisu cha moto kikipita katikati yetu. INASIKITISHA SANA.
MUNGU AMETOA NA MUNGU AMETWAA, jina lake LIHIMIDIWE.
R.I.P Mchungaji, C.Mtikila.
 
Last edited by a moderator:
Mungu wa siku hizi amekuwa kijana sana hachelewi kutoa majibu.
 
Sipendi kuwa mnafki...mimi simsitikii kabisa huyu jamaa maana alimkashifu sana laigwanan
 
Hule utabiri uchwara wa mgombea urais kufariki umetimia sasa...tabiri kama hizi sio nzuri.
 
Siasa zimewafanya wengi kujiondoa ufahamu. Unadhihaki Afya ya mwwnzako wakati weww hujui kesho kutakuchaje?
 
R.I.P kamanda mpiganaji wa mgombea binafsi lkn pia katiba.
 

Mwili wa Mchungaji Mtikila mara baada ya ajali

Gari alilokuwa Mchungaji Mtikila, dereva na mlinzi wake




N.B:

Naombeni radhi kwa kuweka picha hizi - na zaidi kwa heshima ya Marehemu - ila nilitaka tu watu wapate hizi picha ila si kwa nia mbaya ila kwa ajili ya kupeana taarifa tu.

Mungu amlaze mahali pema Marehemu
 
Kama hii ni habari ya kweli, NATUMAI IMETHIBITISHWA NA Moderator,
INASIKITISHA SANA TAIFA LETU LIMEFIKA PABAYA, WATANZANIA WENGI HUMU NAONA BADALA YA KUKUBALI MCHANGO WAKE ALIOULETA MCHUNGAJI MTIKILA KTK AMSHA AMSHA YA DEMOCRASIA, WATU WANAONGEA KANA KWAMBA WAO WATAISHI MILELE NA KUONGELEA 'MABAYA' KUWA ALIKUWA ANAMPONDA MTU FULANI SANA HIVYO KIMTAZAMO WAO WANAONA KAMA AMESTAHILI HIVI, NI MUNGU KAAMUA KUMCHUKUA MWANAE, HAMNA LINGINE HAPO.
Watanzania tumekubali kuwa watumwa wa siasa na siasa INATUGAWA vibaya sana, tumekuwa kama blue band na siasa ni kisu cha moto kikipita katikati yetu. INASIKITISHA SANA.
MUNGU AMETOA NA MUNGU AMETWAA, jina lake LIHIMIDIWE.
R.I.P Mchungaji, C.Mtikila.

stop shouting
 
Back
Top Bottom