Pamoja na kwamba watu wana mtizamo tofauti kisiasa nadhani si vyema kushabikia umauti wa mtu mwingine
Si vyema pia kudhihaki ugonjwa wa mtu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na kwamba watu wana mtizamo tofauti kisiasa nadhani si vyema kushabikia umauti wa mtu mwingine
Mpango wa Lowassa huo.
Hii ni akili ya maiti,bila kuwa mfuasi wa ccm no way unaweza ukawa na akili ya namna hiikweli kabisa. kuna watu hata ukiwapinga tu utasikia umepata ajali. mkuu umenikumbusha ajali ya chacha wangwe na salome mbatia. mwakyembe nae alikuwa anakwenda. baada ya ajali kushindwa ilifuata sumu. akina mwandosya wakaponea chupchup. akina zito wanaelewa vizuri sana.
halafu watu hao hao tunasema wanafaa kuwa viongoz wa nchi na kuleta mabadiliko. maajabu ya karne haya.
free masson wana nafas yao apa
rip mch mtikila.
R.I.P MTIKILA
dedication
KIFO by Remy Ongala
SEE YOU AGAIN by Wizkhalifa
Mbona vijana wa ccm wagunu sana kuelewa tatizo si tofauti za kisiasa. Unaweza kusema lowasa mwizi fisadi hatumtaki au hana sera nk. Ila kusema lowasa ni maiti inayotembea ataenda kuifika ikulu. Hiyo ni insanity na ujinga na kumpangia mungu.Mungu amlaze pema baba mchungaji, pamoja na yote kifo ni sehem ya maisha ya mwanadamu hakuna hata mmoja atakaekwepa hii njia hata kristo mwana wa mungu alikufa sembuse mwanadamu alie asili ya uovu? Kama mtu alikua anawaza na kunena tofauti na unavyotaka wewe ndio kupelekee ufurahie kifo chake? Wapendwa haya mabadilko yanayohitajika ndugu zangu yasijepelekea kukuingizeni jehanamu jamani!
Mimi sio.mtabiri but juzi kilikuwa naUzi wa mtikila akitusi afya ya lowassa star TV nikaandika hivi " huyu akaangalie na nakumbuke ya Celina kombani na yule KADA wa ilala coz na yeye Mungu atamjibu very soon" Ona kilichotokea
Mtikila alimwona EL kama vile hana haki ya kuishi
Iliniuma sana Tuchunge ndimi zetu
Hayo ndiyo mafundisho ya dini mpya. Ikiwa watu wanafanya kufuru mbaya mbele za Mungu na kuvunja amri lakini Mungu hawauwi, ila wakimtusi lowasa eti, Mungu huyo huyo ana act immediately..! Anyway, tulishaambiwa tutawatambua kwa matendo yao.
ACHA UZUZU WEWE!Huwajui chadema wewe. Hao ni genge la wahalifu. R.I.P Chacha Wangwe & C.Mtikila damu yenu haitapotea bure.