TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

MUNGU yupi mnaye mzungumzia? kama ni huyu wa UTATU MTAKATIFU (Baba, Mwana na Roho mtakatifu) NO NO NO.......MUNGU wetu hayupo kutoa roho za watu ili ziangamie. Hiyo ni kazi ya ibilisi shetani.
Nyie kula kulala wa ccm bado mmekalia porojo na siasa za kipymbavu. Kuna funzo kubwa sana kwenye hichi kifo. Maana madaraka yamewalevya mpaka mnaona hamtakufa. It insane ccm wanavyo act na kuongea.
cc: faizafoxy
 
Ikulu sio icu-mtikila

hebu FaizaFoxy njoo urudie maneno yako pendwa hapa
hii dunia mapito anakufa mmoko mmoko tu
r.i.p rev
 
Last edited by a moderator:
Uchunguzi ufanyanyike
Kuhusu hiki kifo
Ukiangalia picha utabain
There's no connection
Ya ajari na mwili wa mtikila
 
Nimeambiwa kuwa Mch. Mtikila hakuwa anagombea urais, au kuna mwingine kafa?
 
Basi naanza kumwogopa Mungu wa Lowassa, anaelipa visasi badala ya kusamehe.

Mungu Wa lowasa ndo amekwambia ameusika au kamuua mtikila??? Na mtikila asamehewe na Mungu Wa lowasa amefanyaje???
 
Rip ila ni mmoja ya watu waliokua wanamwambia lowasa ni mgonjwa.anasubiri kufa. Alianza kombani,akaja katibu ccm ilala na sasa mtikila lowasa wetu anadunda.
 
Nitamkumbuka sana huyu Mchungaji kwa kesi dhidi ya selikali dhalimu ya ccm sema ulimi nao tuuchunge ndugu zangu maana pumzi haina guarantee
 
Hakulipa kisasi bali ameitwa kwa mahojiano: Swali la kwanza atakaloulizwa ni "wewe si mchungaji? kwa nini ukafanya kazi ya kulaani badala ya kuombea roho za watu zibadilike kunifuata mimi? La pili, je unajua Mimi ni I AM? Ninatoa na ninachukua na pia ninaponya? Aliyekupa mamlaka ya kuwanyanyasa watu wangu ni nani? Jamaa ana hali ngumu kweli kweli!
wewe noma kweli ,,,,,,,, nimeipenda
 
Wakuu,

Kuna taarifa kwamba Mchungaji Christopher Mtikila amepata ajali ya gari mkoani Pwani alfajiri ya leo, taarifa zaidi tunasubiria kutoka kwa Kamanda wa Polisi mkoani humo.

=====
UPDATE:

JamiiForums imeongea na Kamanda wa Polisi Mkoani humo, Jafari Mohamed, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa "Taarifa za mwanzo" zinasema amefariki saa 12 kasorobo asubuhi katika kijiji cha Msolwa, Chalinze.

Amesema gari lililokuwa limempakia lilikuwa linatokea Morogoro na kwamba walikuwa watu wanne ambapo wengine watatu wamejeruhiwa vibaya.

Majeruhi wamekimbizwa katika Hospitali ya Tumbi.

MGONJWA WETU NA Rais WETU Mtarajiwa Ndugu Edward Ngoyai Lowasa BADO ANADUNDA TU, YU HAI, NI MZIMA. ENDELEENI KUMSEMA VIBAYA MTEULE WA MUNGU NDG YETU LOWASA MKUTANE NA HASIRA ZA MUNGU. MUNGU Ameamua Kuingilia Kati.Wote Walomdhihaki Lowasa Wametangulia Wao.
 
Sasa naanza pata picha ya kauli ya Mengi "mafisadi wanatengeneza vifo vya watu kupitia ajali'. Hata hivyo kila nafsi itaonja mauti.

Mungu ni kila mtu na ndiye mlezi wetu sote
Ukiwa wa Mungu hata majabali ya mawe yatadondoka na kukuacha ukiwa salama.
Hakuna mtu anayeweza kutengeneza kifo ajali ni ajali na zinatokea watu wanapona.
Tupanue fikra zetu badala ya kurahisisha kuwa kila mwanasiasa anapokufa basi kifo chake kichunguzwe kusiasa!
Hizi ni fikra za vifo vya kipindupindu kuhusianishwa na uchawi!
 
Mnakumbuka mtoto wa marehrmu sheikh Yahya Hussein kuhusu uchaguzi mwaka huu kuwa kuna mgombea urais atafariki? Yametimia

Sio kweli unavyoandika. Mtikila HAKUWA mgombea urais. Halafu ule utabiri feki ulitabiri mgombea urais mwenye sifa ambazo Mtikila hana (assume angekuwa mgombea)
 
Mtikila mzee wa kufungua kesi mahakamani
 
Hilo gari mbona linaonekana chakavu sana? Ngoja tusubiri ripoti,ila naanza kuona wazi ubovu wa gari hilo.
 
  • Thanks
Reactions: aye
Back
Top Bottom