Dr.Mo
JF-Expert Member
- Mar 28, 2012
- 3,809
- 1,649
Nyie kula kulala wa ccm bado mmekalia porojo na siasa za kipymbavu. Kuna funzo kubwa sana kwenye hichi kifo. Maana madaraka yamewalevya mpaka mnaona hamtakufa. It insane ccm wanavyo act na kuongea.MUNGU yupi mnaye mzungumzia? kama ni huyu wa UTATU MTAKATIFU (Baba, Mwana na Roho mtakatifu) NO NO NO.......MUNGU wetu hayupo kutoa roho za watu ili ziangamie. Hiyo ni kazi ya ibilisi shetani.
cc: faizafoxy