Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Kwa akili yako kati ya Msigwa na yule aliyejirekodi anachezea nyeti za giggy money na kuzirusha mitandaoni nani kilaza? Kama mmempokea mchezea nyeti hadharani na kumwalika kwenye mkutano mkuu ahutubie itakuwaje Msigwa akihamia? Kaeni na huyo Msando ndo wewe umeona ana akili kuzidi Msigwa pumbafff wewe.Nani amekwambia CCM inachukuwa kila kilaza? Wewe hata ukilazimisha huwezi kuchukuliwa CCM, IQ yako haitoshi!
Mkuu nakumbuka sana kiongozi mmoja alisema CCM wakimsimika Lowasa kugombea urais, wakapimwe akili. Ghafla wakamsimika wao. Sikumbuki kama wameshapimwa akili au LA!!mkumbushe tu atunze akiba maana walikuwepo wengi waliowahi kujiapiza.
Mkuu wewe ni mtaalam wa konzi. Hadi nimecheka.Nani amekwambia CCM inachukuwa kila kilaza? Wewe hata ukilazimisha huwezi kuchukuliwa CCM, IQ yako haitoshi!
Kile chama alimo kibajaji na prof wa majimarefu kitamfaa piaHivi chama gani makini kitamuhitaji mtu kama Msigwa na Lema, tuweni serious jamani, chama gani makini kitawahitaji??
Basi inatosha natumaini Msigwa amepata mesejimsigwa ni kati ya wabunge bomu kabisa,kelele nyingi
Mbunge wa Iringa Mjini aliwahi kusema mtu yeyote anayemshabikia Lowassa akapimwe akili. Leo tena anasema aklihama Chadema achomewe Nyumba na Gari.
Kabla hatujamchomea Mali zake atuambie alishapima akili?
mlitumia kifaa gan kumpima bashite IQ yake???Nani amekwambia CCM inachukuwa kila kilaza? Wewe hata ukilazimisha huwezi kuchukuliwa CCM, IQ yako haitoshi!
Yuko sawa kabisa. Kama huamini katika sera zao, unakwenda huko kufanya nini? Si bora uende kaburini?mkumbushe tu atunze akiba maana walikuwepo wengi waliowahi kujiapiza.
Bora wamchome yeye, magari na nyumba wazichome moto kwani ndiyo zimemtumaMh.Peter Msigwa mbunge wa Iringa mjini(CHADEMA) amesema kuna watu wanampigiapigia simu na kutaka kumshawishi ahamie chama cha mapinduzi (CCM).
Amesema watu hao wanampigia simu na kumtishia kuwa ni bora achukue hela aweze kujianga na CCM maana 2020 yeye, halima, sugu, mnyika, na Lema hata wafanyeje wataondoka tu.
Amesema kuwa kwanza wanaompigia simu wakome kabisa hana bei na hawezi kuuza heshima aliyopewa na wananchi wa Iringa na wakirudia tena atawarecord ili aweze kusamabaza mitandaoni.
CCM ni kama mti wa mchrismas wanajaribu kupamba matunda yanaonekana yanang'aa kumbe ni artificial yanayopambwa na watu wachache waliokosa dira.
Uhalisia kama kweli CCM inafanya kazi au rais Magufuli anafanya kazi Aruhusu democracy ichukue mkondo wake, Aruhusu kukosolewa, Aruhusu haki za binadamu,Aruhusu utawala bora siyo hizi debe anazopigiwa na watu waliokosa dira na kutotambua nini maana ya democracy na utawala bora.
Kwa akili yako kati ya Msigwa na yule aliyejirekodi anachezea nyeti za giggy money na kuzirusha mitandaoni nani kilaza? Kama mmempokea mchezea nyeti hadharani na kumwalika kwenye mkutano mkuu ahutubie itakuwaje Msigwa akihamia? Kaeni na huyo Msando ndo wewe umeona ana akili kuzidi Msigwa pumbafff wewe.
FisiemuChama Cha Manunuzi kazini