Show inapigwa kesho, si ndio wananchi?
Soma hiyo!Ccm haichukui watu wenye majungu!
Akiba ni muhimu, pia akiba haiozimkumbushe tu atunze akiba maana walikuwepo wengi waliowahi kujiapiza.
Soma hiyo!Hivi chama gani makini kitamuhitaji mtu kama Msigwa na Lema, tuweni serious jamani, chama gani makini kitawahitaji??
Watu manabii sanamkumbushe tu atunze akiba maana walikuwepo wengi waliowahi kujiapiza.
Cheka tena.Mkuu wewe ni mtaalam wa konzi. Hadi nimecheka.
Gen ZMsigwa,just piece of advice,
usitoe statement kama hizi..........
watu huwa wanafanyaga kwelii....
watu wa kawaida watachoma vitu vyako,udhanie ni adui zako kisiasa,
kuna watu mapsycho,huwa wanaafutaga tu reason ya kufanya jambo baya
Lakini si ameruhusu mwenyewe na ushahidi upo?Hatutaki mkaja hapa kuomba pesa za kuwatoa gerezani
๐โโ๏ธmkumbushe tu atunze akiba maana walikuwepo wengi waliowahi kujiapiza.
Unafiki ni kawaida yenu nyie wanasiasa, mbona Lowassa mlimnunua na huku mlisema n fisadi.๐๐๐
Wajomba fanyeni kweli tunawategemea anzeni na nyumba kisha mmalizie na Magari, kauli hii isiende bure bila vitendoโNikihamia CCM wananchi wa Iringa wachome nyumba yangu na magari yangu. Sikuingia bungeni kwa sababu nataka hela ila nimeingia kwa sababu kuna hoja, kuna agenda na kozi kama chama tunapigania. Mkome kabisa kunipigia simu, mimi sina bei itakayonihamisha CHADEMA,โ amesema Msigwa huku akifafanua jinsi watu hao walivyoanza kumrubuni kwa njia ya simu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mlete Msigwa.. mlete Mdhungu
Hatimaye.mkumbushe tu atunze akiba maana walikuwepo wengi waliowahi kujiapiza.
๐๐ปmkumbushe tu atunze akiba maana walikuwepo wengi waliowahi kujiapiza.