Mchakato wa kuimega rasmi ardhi ya Donbass ndani ya Ukraine kuanza tarehe 23 na 27 september

MK254 nasubiri comments Zako

Vilianzia Crimea vinaishia Crimea....
 

Putin ana shida gani, hata huko Georgia ni hivyo hivyo. Kwanini anasumbua ardhi ya Wenzake. Apigwe tu na kuongezewa vikwazo .
 
Wewe ndiye hujaelewa. Hiyo ni nchi huru na kwasababu ni nchi huru inapiga kura kujiunga na Urusi kama ilivyo kua kwa Zanzibar na Tanganyika.

Acha zako. Nchi huru ndani ya nchi nyingine?. Halafu ni lini Tanganyika au Zanzibar ilipiga kura kuingia Tanzania.
 

Mvamie nyie, muwe na Roho mbaya nyie. Fanyeni full war tuone. Mwanzoni ilikuwa Vita Sasa hivi kwa aibu ni operation. Yani Russia anataka kumega nchi zote zinazoizunguka. Ana shida na ardhi ya Georgia Abkhazia.
 
Mvamie nyie, muwe na Roho mbaya nyie. Fanyeni full war tuone. Mwanzoni ilikuwa Vita Sasa hivi kwa aibu ni operation. Yani Russia anataka kumega nchi zote zinazoizunguka. Ana shida na ardhi ya Georgia Abkhazia.
Putin ni adui wa dunia.Atengwe
 
Mzee acha kujidanganya hao Nato wanapigana na Russia kwa kuvaa uniform za Ukraine tayari wameonjeshwa moto wa Russia hakuna eneo wamechukua yamerudi kwa Russia yote
 
Mzee acha kujidanganya hao Nato wanapigana na Russia kwa kuvaa uniform za Ukraine tayari wameonjeshwa moto wa Russia hakuna eneo wamechukua yamerudi kwa Russia yote
Mkiwa mnacomment mkumbuke na sisi tunafuatilia hii vita pia japo kupitia vyombo vya habari tu kama nyie.Ingekuwa wamerudisha hayo maeneo yote kule kwa thread mama ya Vita ya Ukraine pasingekalika kwa Pro Russia na majivuno yao.Ukiona wapo kimya ujue mambo ni magumu ndiyo maana mmegeukia kwenye 'referendum' ndiko mmeamua kujifichia huko baada ya major defeat in the past two weeks.
 
Mzee acha kujidanganya hao Nato wanapigana na Russia kwa kuvaa uniform za Ukraine tayari wameonjeshwa moto wa Russia hakuna eneo wamechukua yamerudi kwa Russia yote
Nato wanapigana kwa kuvaa uniform za ukraine serious?
walichopeleka NATO ni silaha tu tena nchi chache wanachama ndio wametoa.

Nato hawajapeleka official military soldiers ukraine bado.
Wakianza kupeleka najeshi wao utajua tu.. maama ni combination ya nchi nyingi.

Hiyo kitu eti wanavaa uniform za ukraine ni excuse ya kitoto
 
Sasa kama ni sawa sawa huo ushubwadu wa Russia mashariki mwa Ukraine kwa nini Putin hajakubali kuitambua Kosovo ni nchi huru mpaka leo wakati mchakato wake ulihusisha hadi UN na Mahakama ya kimataifa??
Ni Kama tu Kosovo ilivyojitenga toka Serbia. Na ndio sawa sawa kabisa na hao kujitenga na Ukraine.
 
Usiwaonee wivu wanaopewa vilainishi, hata wewe ukivihitaji unaweza pewa hata kama hupendi misaada.
Mnapenda misaada sana ndio Maana mnapewaga masharti ya kutumia vilainishi ili mpate misaada hio.
 
Wiki iliyopita kiongozi huyo wa Urusi alisema yuko tayari kukutana na rais wa Ukraine, lakini Bw Zelensky hakuwa hivyo.

Alimwambia waziri mkuu wa India anataka kukomesha mapigano "haraka iwezekanavyo".
Putin yuko tayari kumaliza vita nchini yuklein lakini kwa masharti magumu sana ya kuichukua Donbass halafu yuklein wakubaliane nalo... ngumu kumeza!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…