AggerFirminho
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 2,318
- 4,106
Nilikuwa namsikiliza ex kgb anaeishi USA alikuwa anasema wengi mnamuona putin kama katili ila kuwa Wana mule ndani msiombe wakashika hatamu huyo putin ni cha mtoto.... Hawana huruma hata kidogoKesho state Duma ya Russia wanapiga kura kama iwe full war au iendelee Small operartion kwa msiofahamu ni kuwa putin peke yake ndiye mpole waliobaki kwenye serikali yake ni balaa wanaroho mbaya kupita kiasi sasa kesho ndio wamepewa rungu la kupiga kura na kuamua...
mmojawapo ni Yule raisi mstaafu "Madevdev" huyu ni myama hatariNilikuwa namsikiliza ex kgb anaeishi USA alikuwa anasema wengi mnamuona putin kama katili ila kuwa Wana mule ndani msiombe wakashika hatamu huyo putin ni cha mtoto.... Hawana huruma hata kidogo
We ndo pimbi anachofanya Putin ni kujifariji mbona Ukraine wanarusha makombora Crimea na hafanyi chochote Crimea si sehemu ya Russia instead ana retreat acha ujingaWe ndio pimbi umeshindwa kuelewa Feb aliyatambua kama mataifa huru kura ya Sasa ni kuyaingiza Russia kama Crimea.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Two different scenarios hata hazifanani2020 Ulifanyika uchaguzi Tz? Dunia ndio ilivyo usijifanye mgeni kutoka Jupiter
Ndo hapo na Russia ana dai ni sehemu yakeC
Crimea mbona ilipigwa mrus akakaa kimya
Hawawez kubali kirahisiPutin yuko tayari kumaliza vita nchini yuklein lakini kwa masharti magumu sana ya kuichukua Donbass halafu yuklein wakubaliane nalo... ngumu kumeza!!
Wavote wasivote kifiro kiko pale pale ,ni kipindi kwenda mbele mpaka hao kengΒ£ wajute kuijua Ukraine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635]View attachment 2363044
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Una wazimuMzee acha kujidanganya hao Nato wanapigana na Russia kwa kuvaa uniform za Ukraine tayari wameonjeshwa moto wa Russia hakuna eneo wamechukua yamerudi kwa Russia yote
Jipe moyo mwenzako Putin leo rasmi katangaza kuongeza jeshi la akiba, maana ni kwamba hana tena jeshi la kutosha wengi wameliwa vichwa sasa anaokota watu mtaani kuwavisha uniform za kijeshi na wao waende kukiona cha moto kule Donbas UkreanMzee acha kujidanganya hao Nato wanapigana na Russia kwa kuvaa uniform za Ukraine tayari wameonjeshwa moto wa Russia hakuna eneo wamechukua yamerudi kwa Russia yote
Wawahi kabla conter offensive haijawafikiaThe referendum will take place from 23 to 27 September, according to LPR and DPR leaders
AameenVita Ni akili na mbinu alichoplan Putin kimetimia we jiulize kila operation na Russia unapoteza kwanini upambane na.putin ambaye muda wote anawin Vita
Crimea ilichukuliwa
Kharson ,Donna's inaondoka mpaka anakarabati majengo aliyoyavunja kwa mizinga, hao Askari 300,000 wa nyongeza Ni commando wanaohamia hapo na misilaha yao kulinda sehemu mpya za Russia,
Russia tayari Ni kubwa kuliko Taifa lolote duniani 17millions square kilometres, (USA & China ukikombine ndiyo wanaifikia Russia) na bado anaongeza 15% ya ardhi ya Ukraine Tena yenye minerals, ardhi ya rutuba, bandari muhimu na kubwa, maeneo ya viwanda etc (kwa upuuuzi wa zelewsky ) anayetumiaa na USA , na hapa ndio tumegundua Hawa wazungu hawana akili kabisa,
Viva Putin, ukiwa na akili unaweza kufanya lolote na kufanikiwa,
Kasambaratisha uchumi wa Ulaya vibaya mno, kamdhalilisha USA Kwa kushindwa kusaidia Europe etc
Viva Putin, akili mingi Mwenyezi Mungu akupe umri na afya, Alluta continua
Biden bado zina charge kapeleka HIMARS mara ghafla tunasikia kumobilize wanajeshi wa akiba wale wa mwanzo wapo wapi?Vipi dead brain Biden ambae amefikia mpk hatua anasalimia vivuli yeye hali yake ya kiafya ikoje?
Wamwanzo wapo wanaendelea na kazi yao kama kawaidaBiden bado zina charge kapeleka HIMARS mara ghafla tunasikia kumobilize wanajeshi wa akiba wale wa mwanzo wapo wapi?
ππ Wale wa mwanzo wote walikufa kwa njaa au umesahau wkt OP inaanza mlisema Russia imeishiwa chakua,imebaki nacho Cha siku 3 tu.?Biden bado zina charge kapeleka HIMARS mara ghafla tunasikia kumobilize wanajeshi wa akiba wale wa mwanzo wapo wapi?
Sio Tu mashetani atapandisha Hadi nyege mwaka huu...watu hawamuachi ni mtungo Tu kwenda mbeleFashisti Putin anatapatapa tu [emoji848]
Hajui lipi afanye lipi asifanye
Majeshi ya Ukraine yanazidi kusonga mbele huko Donbass na kheson
Putin amepandisha mashetani hajui nini afanye [emoji12]
We Pimbi mbona hiyo Crimea inapigwa, Ukraine inarudisha vyote vilivyoporwa na mnyang'anyi, hicho kipigo wanachopata Urusi sasa usipime.We ndio pimbi umeshindwa kuelewa Feb aliyatambua kama mataifa huru kura ya Sasa ni kuyaingiza Russia kama Crimea.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app