Mchakato wa kuimega rasmi ardhi ya Donbass ndani ya Ukraine kuanza tarehe 23 na 27 september

Mchakato wa kuimega rasmi ardhi ya Donbass ndani ya Ukraine kuanza tarehe 23 na 27 september

Jipe moyo mwenzako Putin leo rasmi katangaza kuongeza jeshi la akiba, maana ni kwamba hana tena jeshi la kutosha wengi wameliwa vichwa sasa anaokota watu mtaani kuwavisha uniform za kijeshi na wao waende kukiona cha moto kule Donbas Ukrean
Yule mbabe wa Tik Tok amestaafu baaada ya kwenda na kupiga mapicha yake ya selfie kule Mauripaul na kukimbia na USA walikuwa wanataka wamkamate wampeleke Alaska alivyoshitukia akakimbia na kustaafu
 
Vita Ni akili na mbinu alichoplan Putin kimetimia we jiulize kila operation na Russia unapoteza kwanini upambane na.putin ambaye muda wote anawin Vita
Crimea ilichukuliwa
Kharson ,Donna's inaondoka mpaka anakarabati majengo aliyoyavunja kwa mizinga, hao Askari 300,000 wa nyongeza Ni commando wanaohamia hapo na misilaha yao kulinda sehemu mpya za Russia,
Russia tayari Ni kubwa kuliko Taifa lolote duniani 17millions square kilometres, (USA & China ukikombine ndiyo wanaifikia Russia) na bado anaongeza 15% ya ardhi ya Ukraine Tena yenye minerals, ardhi ya rutuba, bandari muhimu na kubwa, maeneo ya viwanda etc (kwa upuuuzi wa zelewsky ) anayetumiaa na USA , na hapa ndio tumegundua Hawa wazungu hawana akili kabisa,
Viva Putin, ukiwa na akili unaweza kufanya lolote na kufanikiwa,
Kasambaratisha uchumi wa Ulaya vibaya mno, kamdhalilisha USA Kwa kushindwa kusaidia Europe etc
Viva Putin, akili mingi Mwenyezi Mungu akupe umri na afya, Alluta continua
Uko ambapo vita vinapiganiwa mpaka tunsongea mpaka sahivi ni mwekezaji gani ataenda kuwekeza acha ujinga umeongea Kana kwamba vita vimeisha
 
duh kumbe vilaza ni wengi , kimataifa hilo eneo litaendelea kuwa sehem ya Ukraine , na huyo Putin anaiundia Urusi matatizo ya baadae , Japan ana eneo lake ndan ya Urusi , pia Finland ana eneo lake ndan ya Urusi , pia Ukraine ina eneo ndan ya Urusi , pia Georgia hivo hivo pia Moldova , hiz nchi zimeizunguka Urusi yaweza ikawa miaka hata 1000 ila Putin anaitengenezea Urusi migogoro ya kudumu , Rus kyiev iliangushwa kwa sabab kama hz ilikuwa ikijitanua dhidi ya majirani hivyo uvamiz wa wamongol ulikuwa mwepes sabab alisaidia na Ottoman empire waliokuwa wakadai maeneo yao , pia Poland waliokuwa wameporwa maeneo yao , pia jamii nyingine za jiran ziliwasaidia wamongol kuiangusha Rus kyiev taifa ambalo miaka 1000 baadae halijawai kunyanyuka tena , the same way Putin anaipeleka Urusi walipotokea Rus Kyiev
Unaposema kimataifa unamaanisha ni USA na allies wake? Umoja wa mataifa ungekuwepo ungeishatatua tatizo la palestina.
 
Uko ambapo vita vinapiganiwa mpaka tunsongea mpaka sahivi ni mwekezaji gani ataenda kuwekeza acha ujinga umeongea Kana kwamba vita vimeisha
Nyie waafrika endeleeni na akili zenu za kuongea tu...tuwaache wawekezaje wenye fund zao waamue wanawekeza wapi..
 
Back
Top Bottom