Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Makatuni naomba ujiheshimuWewe ni MATAGA ambae akili huwa zinakuja na kukata kama umeme wa Tanzania😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makatuni naomba ujiheshimuWewe ni MATAGA ambae akili huwa zinakuja na kukata kama umeme wa Tanzania😁😁😁
Acha ujinga, weka kumbukumbu sawa.Hahaha taga wewe hatari si ulikiwa unashangilia ule uchafuzi?
shida macho ya mkuu yanaangalia kwa watu wale wale wakati kuna watu wengi kwenye taasisi ambao wanaweza kusimamia hii nchi vizuri sioni uhalisia katika wizara mtu anatolewa wizara hapa anapelekwa kule kwenye wizara nyingine ,je hii nchi ina watu haohao? Wakati kwenye vyuo wamejaa madactari,maprof na wakufunzi mbalimbali ambao wana maono mapya sioni sababu yakusema unaweka baraza jipya la mawaziri wakati mawaziri ni walewale na wapo kwenye system miaka nenda rudi.....! #TunahitajimapinduziBunge halina meno, Spika anatetea mambo ya msingi lakini anaondolewa madarakani kihuni. Hii sio haki kabisa.
Tulipaswa kuwa na Bunge lenye mamlaka ambalo nalo lilitakiwa kumkataa rais ambae anatumia madaraka vibaya kuteua mawaziri wenye harufu ya ufisadi.
Rais anakataa kuhojiwa na Bunge bila sababu? Bunge linazidiwa nguvu bila sababu. Hii ni sababu hatuna wabunge wawakilishi wa wananchi.
Aliyeharibu uchaguzi wa 2020 ndio wa kulaumiwa maana Bunge halikuchaguliwa na wananchi na halina meno.
Unamaanisha nini?2015-2020 mataga wengi walitokea upinzani.
Acha ujinga, weka kumbukumbu sawa.
Non senseWe zuzu nani asiyekujua hapa jukwaani, baada ya buku 7 kukatika mrija wake unahangaika sana. Ndio maisha yalivyo, pole taga
Upinzani mkubwa kutoka kwa vijana ndani ya chama cha ccm ni mataga yaliyotengenezwa 2015 - 2020Unamaanisha nini?
Mh?Upinzani mkubwa kutoka kwa vijana ndani ya chama cha ccm ni mataga yaliyotengenezwa 2015 - 2020
Wewe ndiyo Ndugai!Unayemtetea ni miongoni mwa walioharibu michakato ya chaguzi za 2019/2020,kulivuruga Bunge na kuumiza upinzani nchini.Bunge halina meno, Spika anatetea mambo ya msingi lakini anaondolewa madarakani kihuni. Hii sio haki kabisa.
Tulipaswa kuwa na Bunge lenye mamlaka ambalo nalo lilitakiwa kumkataa rais ambae anatumia madaraka vibaya kuteua mawaziri wenye harufu ya ufisadi.
Rais anakataa kuhojiwa na Bunge bila sababu? Bunge linazidiwa nguvu bila sababu. Hii ni sababu hatuna wabunge wawakilishi wa wananchi.
Aliyeharibu uchaguzi wa 2020 ndio wa kulaumiwa maana Bunge halikuchaguliwa na wananchi na halina meno.
Hawana madhara kwa sasa maana hawashughulikiwi wanashushughulikiwa wenye mbwa sababu hawana uchungu na mbwa wao hata upige vipi mbwa wenye mbwa hawatoki wanajikausha.
Kwani we umeacha lini kujadili kwa maslahi ya chama?Jikite kwenye mada,jadili kwa maslahi ya taifa.
Mawaziri walioteuliwa wako saaaaaaaaafi kabisa labda we una matatizo. Jpm ndo aliteua kwa kuangalia ukabila na usu ku.maBunge halina meno, Spika anatetea mambo ya msingi lakini anaondolewa madarakani kihuni. Hii sio haki kabisa.
Tulipaswa kuwa na Bunge lenye mamlaka ambalo nalo lilitakiwa kumkataa rais ambae anatumia madaraka vibaya kuteua mawaziri wenye harufu ya ufisadi.
Rais anakataa kuhojiwa na Bunge bila sababu? Bunge linazidiwa nguvu bila sababu. Hii ni sababu hatuna wabunge wawakilishi wa wananchi.
Aliyeharibu uchaguzi wa 2020 ndio wa kulaumiwa maana Bunge halikuchaguliwa na wananchi na halina meno.
Huo ndio ukweli huyu naye ni miongoni mwao.Yeyote aliyeshiriki kulihujumu taifa letu hatokuwa salama na ndio wanaomlilia Ndugai.Wote ni zao la batili na alishiriki maamuzi batili kama lile shambulio la area D na yote yaliyofuatia,kuudhofisha upinzani,kuwabeba wabunge 19 hewa nk.Hahaha taga wewe hatari si ulikiwa unashangilia ule uchafuzi?
Anaepaswa kujiheshimu ni huyu Mmama kwenye hii video ambae ni MATAGA mwenzako😁😁😁Makatuni naomba ujiheshimu
Mkuu Nyakarungu 2020, wewe na wenzako ndiyo mlikuwa mnatuorodheshea majina ya wabunge ambao hawatarudi bungeni kwa gharama yoyote.Bunge halina meno, Spika anatetea mambo ya msingi lakini anaondolewa madarakani kihuni. Hii sio haki kabisa.
Tulipaswa kuwa na Bunge lenye mamlaka ambalo nalo lilitakiwa kumkataa rais ambae anatumia madaraka vibaya kuteua mawaziri wenye harufu ya ufisadi.
Rais anakataa kuhojiwa na Bunge bila sababu? Bunge linazidiwa nguvu bila sababu. Hii ni sababu hatuna wabunge wawakilishi wa wananchi.
Aliyeharibu uchaguzi wa 2020 ndio wa kulaumiwa maana Bunge halikuchaguliwa na wananchi na halina meno.