mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 6,290
- 8,600
Kuna mtu mpumbavu Kama wewe utopolo mshenzi mkubwa wewePumbavu kaa kimya
Tutawanyoosha mbwa nyie
Ukitaka hama nchi au kunywa sumu ufe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu mpumbavu Kama wewe utopolo mshenzi mkubwa wewePumbavu kaa kimya
Mtanyooka tuu Bushmen nyie lazima mkachunge ng'ombePumbavu huna akili
Achana nae mshenzi huyo ana stressWewe umkatae kwa kigezo kipi hasa? Ukimkataa umchague nani?
Tumia akili ukiwa hapa dunianiHuyu jamaa ni mshenzi Sana anafikir hatujui uhuni wake aliokua analeta hapa jf
Meza imepinduliwa analia sasa
Nyie Sasa ndiyo mtumie maana wakati wenu hamkutumia akili wapumbavu wakubwa nyie mlifikir mtadumu mileleTumia akili ukiwa hapa duniani
Acha kutumia makalio kufikiriNyie Sasa ndiyo mtumie maana wakati wenu hamkutumia akili wapumbavu wakubwa nyie mlifikir mtadumu milele
Mliona wengine ni mbuz tuu sasa tutawanyoosha mbwa nyie
Na hatufanyi kosa tena tumejifunza kutokana na makosa
Mawaziri kwa mujibu wa Katiba tuliyonayo ni wanasiasa.shida macho ya mkuu yanaangalia kwa watu wale wale wakati kuna watu wengi kwenye taasisi ambao wanaweza kusimamia hii nchi vizuri sioni uhalisia katika wizara mtu anatolewa wizara hapa anapelekwa kule kwenye wizara nyingine ,je hii nchi ina watu haohao? Wakati kwenye vyuo wamejaa madactari,maprof na wakufunzi mbalimbali ambao wana maono mapya sioni sababu yakusema unaweka baraza jipya la mawaziri wakati mawaziri ni walewale na wapo kwenye system miaka nenda rudi.....! #Tunahitajimapinduzi
Yazoeeni maisha chini ya Samia. Magufuli is gone. Alimkasirisha Mungu kwa wizi wa kura na kupandikiza wabunge wake wa kuja kumpitisha awe Rais wa maisha. Let him rot in hellBunge halina meno, Spika anatetea mambo ya msingi lakini anaondolewa madarakani kihuni. Hii sio haki kabisa.
Tulipaswa kuwa na Bunge lenye mamlaka ambalo nalo lilitakiwa kumkataa rais ambae anatumia madaraka vibaya kuteua mawaziri wenye harufu ya ufisadi.
Rais anakataa kuhojiwa na Bunge bila sababu? Bunge linazidiwa nguvu bila sababu. Hii ni sababu hatuna wabunge wawakilishi wa wananchi.
Aliyeharibu uchaguzi wa 2020 ndio wa kulaumiwa maana Bunge halikuchaguliwa na wananchi na halina meno.
We mpuuzi usie na akili kaa kimyaYazoeeni maisha chini ya Samia. Magufuli is gone. Alimkasirisha Mungu kwa wizi wa kura na kupandikiza wabunge wake wa kuja kumpitisha awe Rais wa maisha. Let him rot in hell
Maprof kama Kabudi!. Wa jalalani. Muheshimiwa mungu?shida macho ya mkuu yanaangalia kwa watu wale wale wakati kuna watu wengi kwenye taasisi ambao wanaweza kusimamia hii nchi vizuri sioni uhalisia katika wizara mtu anatolewa wizara hapa anapelekwa kule kwenye wizara nyingine ,je hii nchi ina watu haohao? Wakati kwenye vyuo wamejaa madactari,maprof na wakufunzi mbalimbali ambao wana maono mapya sioni sababu yakusema unaweka baraza jipya la mawaziri wakati mawaziri ni walewale na wapo kwenye system miaka nenda rudi.....! #Tunahitajimapinduzi
Teh teh teh....😂😂😂...kweli kila masika ina mbu wake....hawa mataga masika yao ilishapita ila bado wanashupaza shingo.We zuzu nani asiyekujua hapa jukwaani, baada ya buku 7 kukatika mrija wake unahangaika sana. Ndio maisha yalivyo, pole taga
Wewe ni MATAGA ambae akili huwa zinakuja na kukata kama umeme wa Tanzania😁😁😁
Bunge halina meno, Spika anatetea mambo ya msingi lakini anaondolewa madarakani kihuni. Hii sio haki kabisa.
Tulipaswa kuwa na Bunge lenye mamlaka ambalo nalo lilitakiwa kumkataa rais ambae anatumia madaraka vibaya kuteua mawaziri wenye harufu ya ufisadi.
Rais anakataa kuhojiwa na Bunge bila sababu? Bunge linazidiwa nguvu bila sababu. Hii ni sababu hatuna wabunge wawakilishi wa wananchi.
Aliyeharibu uchaguzi wa 2020 ndio wa kulaumiwa maana Bunge halikuchaguliwa na wananchi na halina meno.
Huna lolote zaidi ya chuki dhidi ya hayati JPM. Simamia ukweli penye kweli na penye makosa kusoa.Japo umeileta kinafiki, lakini yule dhalimu aliharibu sana heshima ya box la kura. Na kwa vile CCM imeishiwa ushawishi hiyo ndio itabaki kuwa njia yao kuu ya kubaki madarakani. Sasa hivi mama wa kikojani anachagua wezi wa Msoga line bila hofu, maana hategemei box la kura kukaa madarakani. Enzi za JK CCM walianza kuheshimu wananchi, maana box la kura lilianza kutoa matokeo hatari kwao. Dhalimu kwa kujua ukweli huo, akatumia madaraka yake kunajisi uchaguzi.
Madhara ya ule uhayawani wake mliokuwa mnausifia, ni wananchi kupuuza box la kura, na iwapo CDM wataendelea kususia kushiriki chaguzi, wapiga kura watakuwa wachache kupita maelezo, hapo CCM itaendelea kutawala kihuni maana inajua hakuna wa kuwahoji.
Ndiyo madhara ya Bunge kuwa la Chama kimoja! Supika ameondolewa na wana CCM wenyewe!Bunge halina meno, Spika anatetea mambo ya msingi lakini anaondolewa madarakani kihuni. Hii sio haki kabisa.
Tulipaswa kuwa na Bunge lenye mamlaka ambalo nalo lilitakiwa kumkataa rais ambae anatumia madaraka vibaya kuteua mawaziri wenye harufu ya ufisadi.
Rais anakataa kuhojiwa na Bunge bila sababu? Bunge linazidiwa nguvu bila sababu. Hii ni sababu hatuna wabunge wawakilishi wa wananchi.
Aliyeharibu uchaguzi wa 2020 ndio wa kulaumiwa maana Bunge halikuchaguliwa na wananchi na halina meno.
Huna lolote zaidi ya chuki dhidi ya hayati JPM. Simamia ukweli penye kweli na penye makosa kusoa.
Umeandika utafikiri umekatika kichwa, hata kama ni mahaba sio kwa kiwango chako, kaa chini utafakari utopolo uliouandika.Kusema bunge halina meno ni dhana potofu. Kwani wabunge wanazuiwa kutoa maoni? Wabunge wanazuia kutafuta maendeleo ya wananchi wao?.
Bunge linakosaje meno wakati wabunge hawajazuiliwa kufanya shughuli zao?.
Hakuna mchakato kama huo kisa eti Ndugai kulazimishwa kujiuzulu.Umeandika utafikiri umekatika kichwa, hata kama ni mahaba sio kwa kiwango chako, kaa chini utafakari utopolo uliouandika.