Mchakato wa kulitoa meno Bunge ulianza kitambo, haya tunayoona ni matokeo tu ya process

Mchakato wa kulitoa meno Bunge ulianza kitambo, haya tunayoona ni matokeo tu ya process

Mkuu Nyakarungu 2020, wewe na wenzako ndiyo mlikuwa mnatuorodheshea majina ya wabunge ambao hawatarudi bungeni kwa gharama yoyote.
Mliwataja kwa majina baadhi yao:
Zitto.
Mbowe,
Mnyika,
Lema,
Nk.
Bahati mbaya sana Katibu mkuu na Mwenyekiti wenu wa chama wa wakati huo waliyasikia maombi yenu. Walitekeleza.
Leo nyi wenyewe ndiyo mnaolia lia.
Leo bunge halina tofauti na baraza la madiwani la manispaa ya Dodoma.
Vumilia ingawa inauma.
Are you sure?
 
Bunge halina meno, Spika anatetea mambo ya msingi lakini anaondolewa madarakani kihuni. Hii sio haki kabisa.

Tulipaswa kuwa na Bunge lenye mamlaka ambalo nalo lilitakiwa kumkataa rais ambae anatumia madaraka vibaya kuteua mawaziri wenye harufu ya ufisadi.

Rais anakataa kuhojiwa na Bunge bila sababu? Bunge linazidiwa nguvu bila sababu. Hii ni sababu hatuna wabunge wawakilishi wa wananchi.

Aliyeharibu uchaguzi wa 2020 ndio wa kulaumiwa maana Bunge halikuchaguliwa na wananchi na halina meno.
........ nge ...? Kiambishi cha kinyonge sana sana mkuu. Kwamba tumekwama kiasi hicho?

Baraza jipya: Watu wale wale, wao Hawajiajiri?
 
Bunge halina meno, Spika anatetea mambo ya msingi lakini anaondolewa madarakani kihuni. Hii sio haki kabisa.

Tulipaswa kuwa na Bunge lenye mamlaka ambalo nalo lilitakiwa kumkataa rais ambae anatumia madaraka vibaya kuteua mawaziri wenye harufu ya ufisadi.

Rais anakataa kuhojiwa na Bunge bila sababu? Bunge linazidiwa nguvu bila sababu. Hii ni sababu hatuna wabunge wawakilishi wa wananchi.

Aliyeharibu uchaguzi wa 2020 ndio wa kulaumiwa maana Bunge halikuchaguliwa na wananchi na halina meno.
Wewe umkatae kwa kigezo kipi hasa? Ukimkataa umchague nani?
 
Bunge halina meno, Spika anatetea mambo ya msingi lakini anaondolewa madarakani kihuni. Hii sio haki kabisa.

Tulipaswa kuwa na Bunge lenye mamlaka ambalo nalo lilitakiwa kumkataa rais ambae anatumia madaraka vibaya kuteua mawaziri wenye harufu ya ufisadi.

Rais anakataa kuhojiwa na Bunge bila sababu? Bunge linazidiwa nguvu bila sababu. Hii ni sababu hatuna wabunge wawakilishi wa wananchi.

Aliyeharibu uchaguzi wa 2020 ndio wa kulaumiwa maana Bunge halikuchaguliwa na wananchi na halina meno.
Kwani Rais ana mamlaka ya kumuondoa Spika madarakani? Kwenye barua ya Spika ya kujiuzulu wapi amesema amelazimishwa ama kushinikizwa? Mwenyewe amesema amejiuzuli kwa hiyari yake wewe unamlisha maneno yako.

Kwani asingejiuzulu Rais angemlazimisha? Spika siyo waziri useme Rais anaweza kumuondoa wakati wowote.
 
Pumbavu huna akili

3030288_IMG_1881.png


cat-with-mouse.jpg
 
Bunge halina meno, Spika anatetea mambo ya msingi lakini anaondolewa madarakani kihuni. Hii sio haki kabisa.

Tulipaswa kuwa na Bunge lenye mamlaka ambalo nalo lilitakiwa kumkataa rais ambae anatumia madaraka vibaya kuteua mawaziri wenye harufu ya ufisadi.

Rais anakataa kuhojiwa na Bunge bila sababu? Bunge linazidiwa nguvu bila sababu. Hii ni sababu hatuna wabunge wawakilishi wa wananchi.

Aliyeharibu uchaguzi wa 2020 ndio wa kulaumiwa maana Bunge halikuchaguliwa na wananchi na halina meno.
Unaona ni kweli kazi ya spika kupigia debe siasa fulani bila kuuliza bunge?? Nani anasema mawazo ya kibinafsi ya spika ni msimamo wa mhimili??
ajabu!
 
Kwani Rais ana mamlaka ya kumuondoa Spika madarakani? Kwenye barua ya Spika ya kujiuzulu wapi amesema amelazimishwa ama kushinikizwa? Mwenyewe amesema amejiuzuli kwa hiyari yake wewe unamlisha maneno yako.

Kwani asingejiuzulu Rais angemlazimisha? Spika siyo waziri useme Rais anaweza kumuondoa wakati wowote.
Use common sense
 
Mkuu Nyakarungu 2020, wewe na wenzako ndiyo mlikuwa mnatuorodheshea majina ya wabunge ambao hawatarudi bungeni kwa gharama yoyote.
Mliwataja kwa majina baadhi yao:
Zitto.
Mbowe,
Mnyika,
Lema,
Nk.
Bahati mbaya sana Katibu mkuu na Mwenyekiti wenu wa chama wa wakati huo waliyasikia maombi yenu. Walitekeleza.
Leo nyi wenyewe ndiyo mnaolia lia.
Leo bunge halina tofauti na baraza la madiwani la manispaa ya Dodoma.
Vumilia ingawa inauma.
Huyu jamaa ni mshenzi Sana anafikir hatujui uhuni wake aliokua analeta hapa jf
Meza imepinduliwa analia sasa
 
Bunge halina meno, Spika anatetea mambo ya msingi lakini anaondolewa madarakani kihuni. Hii sio haki kabisa.

Tulipaswa kuwa na Bunge lenye mamlaka ambalo nalo lilitakiwa kumkataa rais ambae anatumia madaraka vibaya kuteua mawaziri wenye harufu ya ufisadi.

Rais anakataa kuhojiwa na Bunge bila sababu? Bunge linazidiwa nguvu bila sababu. Hii ni sababu hatuna wabunge wawakilishi wa wananchi.

Aliyeharibu uchaguzi wa 2020 ndio wa kulaumiwa maana Bunge halikuchaguliwa na wananchi na halina meno.
Leo unamgeuka yule bedui kipenzi chenu!
 
Tulisema hapa lile bunge limejaa wahuni ni rubber stamp mkawa mnabisha sana

Yule jobo alikuwa na kibri kilichomithilika noma sana [emoji2]
 
Bunge halina meno, Spika anatetea mambo ya msingi lakini anaondolewa madarakani kihuni. Hii sio haki kabisa.

Tulipaswa kuwa na Bunge lenye mamlaka ambalo nalo lilitakiwa kumkataa rais ambae anatumia madaraka vibaya kuteua mawaziri wenye harufu ya ufisadi.

Rais anakataa kuhojiwa na Bunge bila sababu? Bunge linazidiwa nguvu bila sababu. Hii ni sababu hatuna wabunge wawakilishi wa wananchi.

Aliyeharibu uchaguzi wa 2020 ndio wa kulaumiwa maana Bunge halikuchaguliwa na wananchi na halina meno.
Hatutamsamehe Magufuli kamwee kwa hili..
 
Back
Top Bottom