Mchakato wa kulitoa meno Bunge ulianza kitambo, haya tunayoona ni matokeo tu ya process

Are you sure?
 
........ nge ...? Kiambishi cha kinyonge sana sana mkuu. Kwamba tumekwama kiasi hicho?

Baraza jipya: Watu wale wale, wao Hawajiajiri?
 
Wewe umkatae kwa kigezo kipi hasa? Ukimkataa umchague nani?
 
Kwani Rais ana mamlaka ya kumuondoa Spika madarakani? Kwenye barua ya Spika ya kujiuzulu wapi amesema amelazimishwa ama kushinikizwa? Mwenyewe amesema amejiuzuli kwa hiyari yake wewe unamlisha maneno yako.

Kwani asingejiuzulu Rais angemlazimisha? Spika siyo waziri useme Rais anaweza kumuondoa wakati wowote.
 
Unaona ni kweli kazi ya spika kupigia debe siasa fulani bila kuuliza bunge?? Nani anasema mawazo ya kibinafsi ya spika ni msimamo wa mhimili??
ajabu!
 
Use common sense
 
Huyu jamaa ni mshenzi Sana anafikir hatujui uhuni wake aliokua analeta hapa jf
Meza imepinduliwa analia sasa
 
Leo unamgeuka yule bedui kipenzi chenu!
 
Tulisema hapa lile bunge limejaa wahuni ni rubber stamp mkawa mnabisha sana

Yule jobo alikuwa na kibri kilichomithilika noma sana [emoji2]
 
Hatutamsamehe Magufuli kamwee kwa hili..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…