Ukitaka kujua bei za magari andika
www.Audi Q 7.olx.co.za au ukitaka BM na magari mengine badilisha tuu hapo kwenye aina ya magari rate mara nyingi ni 160 mpaka 170 kwa rand moja ni kuzidisha tuu hapo utaona bei ya Tsh ukitaka range rover hivyo hivyo...kuhusu kodi kama hiyo gari imetengenezwa SA na umepita wizara yao ya export and trade pretoria Sunnyside kodi inapungua sana tuu..ipo gumtree car sales pia kwa truck ni truck and moving machine.co.za ila ni kwa kuangalia tuu sio kulipa maana wanigeria wameingilia mitandao ukitaka gari mpaka uende uione kabisaa ndio uwalipe hata pesa ukiiacha Tanzania unalipia..