Trillions of usd WaIslam wa dunia yote/ nzima wanakuza uchumi wa Saudiarabia.Kujifunza Kwa ndugu zetu
Duh! Unachanganya mambo, unazungumzia kwenda sehemu za kufurahia maisha au unazungumzia masuala ya kiimani?Trillions of usd WaIslam wa dunia yote/ nzima wanakuza uchumi wa Saudiarabia.
Badala ya WaIslam wa Tanganyika,Kenya,Rwanda ....... kwenda kufurahia maisha Serengeti au Rubondo yanakwenda kichwa kichwa Macca kukuza uchumi wa waarabu.
Miafrika ni mijitu ya hovyo sana.Eti inaamini ukienda Washington au Nanjilinji huendi peponi!.
Hawajui wajanja walichomeka hicho kipengele cha kuhiji kwasababu za kiuchumi na si vinginevyo.
Haaaaa yaani mafuta yakikatika fedha za Hijja zitaendelea kumiminika.Watu wana akili sana.Hijja ama Hajj ina faida kubwa sana kwa nchi ya saudi arabia.
Baada ya mafuta.. chanzo cha pili cha mapato utalii wa kidini ambao ni Hijja.
Na hiyo ndio sababu saudi arabia inapenda sana waislamu duniani waongezeke wawe wengi.
Maana wanajua kuna nguzo wamewawekea kwamba lazima watembelee saudi arabia na kuleta hela zao via utalii yaani waislam wote lazima waje hijja ndio watakamilisha nguzo tano za uislamu
Yaani wewe unaamini Mungu yuko Macca tu si Kibiti au Mchambawima.Duh! Unachanganya mambo, unazungumzia kwenda sehemu za kufurahia maisha au unazungumzia masuala ya kiimani?
Huyo aliyeweka toka karne hizo yeye alikuwa na hesabu zipi kwa kipindi hicho?Ila aliyeweka Hijja ya Mecca na Madina, na ile ya Israel aliwaza mbali sana!
Tena kama hiyo ya Uarabuni imewekwa kabisa kwenye Nguzo 5 za Uislam! Yaani inashauriwa kwa Waislam kuhakikisha wanatimiza hizo Nguzo zote 5 za Uislam!!
Sisi hayo mambo ya data hatuyajui, hayo ni mambo ya elimu duniaTofauti na nchi nyingi Kusini Kwa jangwa la Sahara zinazotegemea ufadhili na Tozo. Nchi ya Saudi Arabia Ina vyanzo vingi vya mapato ikiwemo HIJJA kila mwaka. Nani anaweza kutuwekea data za mchango wa HIJJA kila mwaka kwenye lato la Taifa hili kubwa duniani?
We mse............ hija sio utalii ni ibadaTrillions of usd WaIslam wa dunia yote/ nzima wanakuza uchumi wa Saudiarabia.
Badala ya WaIslam wa Tanganyika,Kenya,Rwanda ....... kwenda kufurahia maisha Serengeti au Rubondo yanakwenda kichwa kichwa Macca kukuza uchumi wa waarabu.
Miafrika ni mijitu ya hovyo sana.Eti inaamini ukienda Washington au Nanjilinji huendi peponi!.
Hawajui wajanja walichomeka hicho kipengele cha kuhiji kwasababu za kiuchumi na si vinginevyo.
Mungu yupo kote ndio maana huko Saudia wanaenda mara moja tu kwa maisha yao yote na kwa mwenye uwezo tu.Yaani wewe unaamini Mungu yuko Macca tu si Kibiti au Mchambawima.
Kwahiyo Mungu ni mbaguzi.Mungu yupo kote ndio maana huko Saudia wanaenda mara moja tu kwa maisha yao yote na kwa mwenye uwezo tu.
Wewe Pimbi hizi dini zilizoletwa na majahazi zimefubaza akili yako.Hijja ni utalii kama utalii usiwe mjinga na mpuuzi.Wacha kukuza uchumi wa waarabu.We mse............ hija sio utalii ni ibada
Watu wana akili kweli, sio sie tunajivunia mali asili nyingi ila tunaongoza kwa umasikini, sio ajabu hata Tanzania ndio ingekuwa nchi ambayo watu huja kufanya hijja bado tusingefaidika ungekuta huduma mbovu na mapato yangekuwa madogo na yasingenufaisha nchi.Haaaaa yaani mafuta yakikatika fedha za Hijja zitaendelea kumiminika.Watu wana akili sana.
Pole sana,nimeamini siyo kila kitu unaweza ukawa unakijuaTrillions of usd WaIslam wa dunia yote/ nzima wanakuza uchumi wa Saudiarabia.
Badala ya WaIslam wa Tanganyika,Kenya,Rwanda ....... kwenda kufurahia maisha Serengeti au Rubondo yanakwenda kichwa kichwa Macca kukuza uchumi wa waarabu.
Miafrika ni mijitu ya hovyo sana.Eti inaamini ukienda Washington au Nanjilinji huendi peponi!.
Hawajui wajanja walichomeka hicho kipengele cha kuhiji kwasababu za kiuchumi na si vinginevyo.
Sasa kama ni utalii tatizo lipo wapi? Mbona wazungu hawaambiani wasije afrika kutalii kutakuza uchumi wa afrika?Wewe Pimbi hizi dini zilizoletwa na majahazi zimefubaza akili yako.Hijja ni utalii kama utalii usiwe mjinga na mpuuzi.Wacha kukuza uchumi wa waarabu.
Sasa unaongea mambo ya maana,usiwe mjinga kama wafia diniWatu wana akili kweli, sio sie tunajivunia mali asili nyingi ila tunaongoza kwa umasikini, sio ajabu hata Tanzania ndio ingekuwa nchi ambayo watu huja kufanya hijja bado tusingefaidika ungekuta huduma mbovu na mapato yangekuwa madogo na yasingenufaisha nchi.