Wengine ni wahanga! Nakubaliana na wewe by 100% fact kabisaSio lipo tu! Uchawi upo, kurudishana nyuma kupo hasa kwa Nguvu za Giza! Kuwa makini na ndugu jamaa na marafiki Mana mchawi hawezi kukudhuru Kama ajui Siri na background yako...
Hata vitabu vya dini vimeelekeza wasiachwe waishiMchawi hana faida kwenye Jamii inatakiwa auwawe
Tunaumizana sana.Nakazia maarifa.
Hata Bwana Yesu alipata kusema maneno yafuatayo, (nanukuu)
"Adui wa mtu ni wale wa nyumbani mwake".
Sawa ukiwapuuzia wachawi na ukimtegemea mungu pia unaweza toboa.. Wachawi wanakanuni moja hawataki kujaribiwa ukionesha unawachokonoa na vikinga vyako wanahamia kwako wote uwone kama hawajakufilisi ila ukiwapuuzia wanakupotezea wanakuona mjinga hauna madhara kwaoSipo hapa kumshawishi mtu aingie kwenye ushirikina, sipo hapa kudharau Imani ya dini ya mtu yoyote... Ila Nipo hapa kusema ukweli...
Watu wanatupa moyo kuhusu mafanikio, wengi wao husema kufanya kazi kwa bidii ndio njia ya mafanikio! Wao huita hiyo ndio Siri!
Lakini Ndugu zangu nipo hapa kuwapa Siri ingine ya mafanikio! Sio kuua mzazi wa kutoa kafara Ila Ni kukulinda...Katina mafanikio au katika biashara yoyote.
Mtu asikuambie mtaji wa laki Tano ndio ulionifanya niwe na nyumba na magari! Tena wanasema nilifanya kazi Sana kwa bidii, na siri ya mafanikio yangu Ni kufanya kazi kwa bidiii! Huo Ni uongo mtupu...
Siri za mafanikio zipo kwenye Siri ya ushirikina moja, Ni wewe kujikinga kupitia ushirikina! Au kukinga biashara yako kwa ushirikina, usipozingatia Ayo maisha yako yatakuwa chini miaka nenda miaka rudi huku ukiona wengine wanashaini
Mchawi kazi yake sio kuroga tu kazi yake ingine Ni kurudisha nyuma maisha yako....
Karibuni 2022.
Umenifurahisha Sana kwenye kazi ya huo mti shambaSawa usijari!
Unaweza kuwa na biashara Fulani sawa sawa na mtu X...
Wewe ukawa mchapakazi Sana Tena mwenye Hofu ya Mungu ..
Lakini mfanyabiashara X akawa na mtaji wa kawaida Sana Tena Sana.. rakini baada ya muda unashangaa anakupiga gape. Hapo huwa Kuna Siri! Ila Wengi hawataki kusema na wanaficha, Hakuna motivation speaker anaezungumzia kuhusu chuma ulete wao wanaamini katika pay yourself first ya the richest man in the Babylon....
Usione utajiri wa Mo ukajua Ni kurithi tu, ukiacha Mali Kuna vitu vingi sana amerithi...
So wewe Kama mfanyabiashara au mfanyakazi lazima uwe na akili ya kuchangamka...
Nina ndugu yangu Ana hardware zaidi za 10 dar es salaam.
Na migodi shinyanga, Ana mashamba mengi sana...
Ila kila mwaka lazima aende kwa wataalamu kujitapishwa dawa za limbwata anazopewa na wake zake guess what???
Wewe na ukapuku wako bado unamwamini mwanamke!!!!
Uchawi upo hasa wa kurudishana nyuma...
Nakupa my experience!
Nilikuwa na tabia ya kutumi fedha hovyo na pesa yangu huwa inapotea bila kuacha impact yoyote...
Nilijitahidi kusoma Sana vitabu na kubadilisha tabia lakini wapi kitabu Kama... The richest man in the Babylon... Poor Dad rich dad... The mirrioner in the next door na The money formula!!!
Bila manufaaa... Ila baada ya kwenda kwa mtaalamu kujisafisha nilibaini kuwa... Kuna ndugu zangu wanaamini Mimi nitakuja kuwa faraja kwa mzazi wangu
Kwaiyo wkaamua kuweka mazingira kuwa hela yangu isiwe na mchango wowote kwangu na kwa mama Yangu....
Nilikuwa sivai vizuri, sinywi pombe Sina makundi na makundi na hela sina...
Nakupa Siri, huwa Kuna mashetani wao kuja wakati una pesa kukushawishi kwa matumizi yasio na mbele Wala nyuma...
Hii Siri huwezi kusikika kwa mfanyabiashara Au motivation speaker yoyote..
Mwisho#
Miti imeubwa na Mungu Kama Tiba... Tumieni mitishamba...
Mfano baada ya kuweka au kulaza gari lako car parking kwa Malipo Kuna dawa ya mti Shamba unaweka kwenye gari. Au pikipiki
Mwizi akija wewe una amua afe baada ya siku moja .. au akute jiwe kubwa.....
Huoni Nina reduce cost ya kulaza gari kwa kununua mti Shamba????
Mwisho [emoji2]
Na TANGA mkuu usisahau .Sikupi connection Ila nakupa Siri ....
Dar es salaam Hakuna mganga kuna Wafanyabiashara..
Dar es salaam Hakuna miti...
Utajiri nenda iringa
mapeNzi nenda mbeya/Tabora
Kinga ya mwili kigoma/ sumbawanga...
Iyo ndio connection yangu kwako.
Kwasababu Yesu Alisema kamwe huwezi kuwa mtu wangu na ukawa rafiki wa dunia. Na Dunia na watu wake watawasulubu vibaya(it means hamtaishi vizuri shida zitakuwa zenu kwa Sana) kama Dunia ilimfanya Yeye vile unadhani itakuwaje waja wake. Na. Ndo maana wa dunia hii ndo wenye mafanikio sababu wameamua kunipenda Dunia. So usishangae mashoga na wahuni wote wa dunia hii wakiwa na maisha mazuri kuliko watu wa Mungu.Ni
Kwanii imekua ivo?
Umeniwahi mkuu! Huyu bwana yaelekea ana hoja nzito lakini anacheza na mzunguko mrefu.Mr p_ njoo kwanza twende taratibu eb twambie experience yako kwenye icho unachokisema tafadhali kwa faida ya wengi
Tena nakazia!Uchawi upo kuna siku mama alihudhuria sherehe kwa rafiki yake ambaye ni Jirani yetu.Muda ulipoenda kidogo mama aliondoka kwenye sherehe.Wakati anatoka alimuona ndugu wa Jirani ambae ni kama mzee wa ukoo akiokota udongo kisha aliiuchukua na kuuhifadhi kwenye mfuko yule baba baada ya kuokota udongo aliondoka pale.Nyumbani kwa Jirani siku zote matatizo yalikuwa hayakauki watoto wake wote hamna aliyeolewa na wakiolewa baada ya muda wanarudi home.Mtoto wake wa kiume alipata kazi hajakaa sawa akafukuzwa na kurudi home.Muda mwingine matatizo na mikosi huletwa na watu wa karibu kabisa kwenye maisha yako!
Hawezi kuchukua pesa yako Bank! Ila anaweza kukupa maradhi yanayoweza kumaliza kiasi chote Cha pesa ulichoweka bank...Hivi mchawi anaweza kukuibia hela ulizoweka benki?
Mkuu inaonekana uko vizuri sana kwenye hii sekta, je wewe binafsi umepata mafanikio gani yanayoonekana baada ya kujikita kwenye mambo haya kwa undani??Sikupi connection Ila nakupa Siri ....
Dar es salaam Hakuna mganga kuna Wafanyabiashara..
Dar es salaam Hakuna miti...
Utajiri nenda iringa
mapeNzi nenda mbeya/Tabora
Kinga ya mwili kigoma/ sumbawanga...
Iyo ndio connection yangu kwako.
Binadamu wabaya sana sanaSipo hapa kumshawishi mtu aingie kwenye ushirikina, sipo hapa kudharau Imani ya dini ya mtu yoyote... Ila Nipo hapa kusema ukweli...
Watu wanatupa moyo kuhusu mafanikio, wengi wao husema kufanya kazi kwa bidii ndio njia ya mafanikio! Wao huita hiyo ndio Siri!
Lakini Ndugu zangu nipo hapa kuwapa Siri ingine ya mafanikio! Sio kuua mzazi wa kutoa kafara Ila Ni kukulinda...Katina mafanikio au katika biashara yoyote.
Mtu asikuambie mtaji wa laki Tano ndio ulionifanya niwe na nyumba na magari! Tena wanasema nilifanya kazi Sana kwa bidii, na siri ya mafanikio yangu Ni kufanya kazi kwa bidiii! Huo Ni uongo mtupu...
Siri za mafanikio zipo kwenye Siri ya ushirikina moja, Ni wewe kujikinga kupitia ushirikina! Au kukinga biashara yako kwa ushirikina, usipozingatia Ayo maisha yako yatakuwa chini miaka nenda miaka rudi huku ukiona wengine wanashaini
Mchawi kazi yake sio kuroga tu kazi yake ingine Ni kurudisha nyuma maisha yako....
Karibuni 2022.
Mafanikio Nilio yapata Ni kukupa wewe huu ujumbe ili uchangamke... Uanze kuchangamka..Mkuu inaonekana uko vizuri sana kwenye hii sekta, je wewe binafsi umepata mafanikio gani yanayoonekana baada ya kujikita kwenye mambo haya kwa undani??
Una utajiri wa kiasi gani kufiki leo hii
Naona umejipanga kweli kweliMafanikio Nilio yapata Ni kukupa wewe huu ujumbe ili uchangamke... Uanze kuchangamka..
Otherwise tuendeleeee kupambana mafanikio yanasiri nyingi Sana.
Umesahau namba mkuu.Sipo hapa kumshawishi mtu aingie kwenye ushirikina, sipo hapa kudharau Imani ya dini ya mtu yoyote... Ila Nipo hapa kusema ukweli...
Watu wanatupa moyo kuhusu mafanikio, wengi wao husema kufanya kazi kwa bidii ndio njia ya mafanikio! Wao huita hiyo ndio Siri!
Lakini Ndugu zangu nipo hapa kuwapa Siri ingine ya mafanikio! Sio kuua mzazi wa kutoa kafara Ila Ni kukulinda...Katina mafanikio au katika biashara yoyote.
Mtu asikuambie mtaji wa laki Tano ndio ulionifanya niwe na nyumba na magari! Tena wanasema nilifanya kazi Sana kwa bidii, na siri ya mafanikio yangu Ni kufanya kazi kwa bidiii! Huo Ni uongo mtupu...
Siri za mafanikio zipo kwenye Siri ya ushirikina moja, Ni wewe kujikinga kupitia ushirikina! Au kukinga biashara yako kwa ushirikina, usipozingatia Ayo maisha yako yatakuwa chini miaka nenda miaka rudi huku ukiona wengine wanashaini
Mchawi kazi yake sio kuroga tu kazi yake ingine Ni kurudisha nyuma maisha yako....
Karibuni 2022.