Mchawi kazi yake ni kuroga urudi nyuma, jilinde

Sawa ukiwapuuzia wachawi na ukimtegemea mungu pia unaweza toboa.. Wachawi wanakanuni moja hawataki kujaribiwa ukionesha unawachokonoa na vikinga vyako wanahamia kwako wote uwone kama hawajakufilisi ila ukiwapuuzia wanakupotezea wanakuona mjinga hauna madhara kwao
 
Ulifanikiwa kwani ulijua maisha ni mchezo, ukishikwa shati unapiga kipepsi cha uhakika hata kuvunja meno ya mtu. Hatarudia tena kukushika shati na unasonga mbele. Mambo ya kusema namuachia Mungu yamepitwa na wakati. Asante kwa waraka wako ulioshiba, mwenye masikio na asikie! Happy new year!
 
Umenifurahisha Sana kwenye kazi ya huo mti shamba
 
Ni

Kwanii imekua ivo?
Kwasababu Yesu Alisema kamwe huwezi kuwa mtu wangu na ukawa rafiki wa dunia. Na Dunia na watu wake watawasulubu vibaya(it means hamtaishi vizuri shida zitakuwa zenu kwa Sana) kama Dunia ilimfanya Yeye vile unadhani itakuwaje waja wake. Na. Ndo maana wa dunia hii ndo wenye mafanikio sababu wameamua kunipenda Dunia. So usishangae mashoga na wahuni wote wa dunia hii wakiwa na maisha mazuri kuliko watu wa Mungu.
 
Uchawi upo kuna siku mama alihudhuria sherehe kwa rafiki yake ambaye ni Jirani yetu.Muda ulipoenda kidogo mama aliondoka kwenye sherehe.Wakati anatoka alimuona ndugu wa Jirani ambae ni kama mzee wa ukoo akiokota udongo kisha aliiuchukua na kuuhifadhi kwenye mfuko yule baba baada ya kuokota udongo aliondoka pale.Nyumbani kwa Jirani siku zote matatizo yalikuwa hayakauki watoto wake wote hamna aliyeolewa na wakiolewa baada ya muda wanarudi home.Mtoto wake wa kiume alipata kazi hajakaa sawa akafukuzwa na kurudi home.Muda mwingine matatizo na mikosi huletwa na watu wa karibu kabisa kwenye maisha yako!
 
Tena nakazia!
Wachawi Wana njia hii Moja ya kukomesha maisha yako.

Mfano unaishi kigoma, Ila umepata kazi... Na hao wachawi hawataki ufanikiwe kupitia hiyo kazi.

Wanachofanya Ni hivi!
Kuna Aina ya msalaba au chapa ya msalaba mgongoni kwako!

Ambayo iyo alama Ni nembo yako ambayo kila mchawi akiiona kazi yake Ni kuanza kukurudisha nyuma na usiku inatoa mwanga mkali na kuvutia wachawi wengi...

Ndio maana unaweza Hama nyumba na nyumba mkoa na mkoa Ila shida ipo pale pale

Tambua tayari umebandikwa alama ambayo Ni kitambulisho Cha kila mchawi akurudishe nyuma.

Ndio hivyo aisee.
 
Hivi mchawi anaweza kukuibia hela ulizoweka benki?
Hawezi kuchukua pesa yako Bank! Ila anaweza kukupa maradhi yanayoweza kumaliza kiasi chote Cha pesa ulichoweka bank...

Mfano...
Soksi yako au nguo ya mkeo ya ndani ikutumika ipasavyo inaweza kumfanya mkeo akawa na kifafa ..

Au soksi yako unaweza kukufanya uwe chizi na familia yako ikauza nyumba yako na pesa zako bank zikaiisha

Afu ndio unapona
Wao Wana furani umerudi nyuma Tayar, [emoji2]
 
Sikupi connection Ila nakupa Siri ....
Dar es salaam Hakuna mganga kuna Wafanyabiashara..

Dar es salaam Hakuna miti...

Utajiri nenda iringa
mapeNzi nenda mbeya/Tabora
Kinga ya mwili kigoma/ sumbawanga...

Iyo ndio connection yangu kwako.
Mkuu inaonekana uko vizuri sana kwenye hii sekta, je wewe binafsi umepata mafanikio gani yanayoonekana baada ya kujikita kwenye mambo haya kwa undani??
Una utajiri wa kiasi gani kufikia leo hii?
 
Binadamu wabaya sana sana
 
Mkuu inaonekana uko vizuri sana kwenye hii sekta, je wewe binafsi umepata mafanikio gani yanayoonekana baada ya kujikita kwenye mambo haya kwa undani??
Una utajiri wa kiasi gani kufiki leo hii
Mafanikio Nilio yapata Ni kukupa wewe huu ujumbe ili uchangamke... Uanze kuchangamka..

Otherwise tuendeleeee kupambana mafanikio yanasiri nyingi Sana.
 
Umesahau namba mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…