Habari wadau,
Nimeona yanga leo tumemfukuza kocha Kaze.
Hii haijatosha. Niliwahi kuandika kwenye uzi wa Enyimba success case study maneno haya.
Mimi ni mwanayanga ila naona kabisa simba atatwaa caf champions league mapema kuliko yanga yangu kwa staili yetu ya kuwapa vyeo kina Msolla.
Wazee kama Msolla kwa mfano ukweli kabisa mabadiliko hayataki ila anazuga anayataka kwa mbinu ya kuyachelewesha ili ale pesa za yanga mpaka anazeeka na kustaafu. Msolla sio mjinga kuchelewesha mabadiliko, anajua yakija haraka cheo chake kitafutwa na yeye atakosa ajira.
Enyimba wa igbo waliamua kumpa timu mzee Kalu na akaifanya timu iwe kigogo Africa.
Mamelodi pia waliamua kumpa timu mzee Motsepe.
Yanga GSM hawezi kuweka hela za kutosha sababu hajapewa timu kama Mo alivyopewa Simba.
Msolla na Mwakalebela wasepe timu apewe tajiri mmoja iwe kama yake rasmi.
Mazembe haijaanzishwa na Moise Katumbi ila wanachama walimpa timu mwekezaji Moise Katumbi mafanikio yakaja
Mamelodi haijaanzishwa na Motsepe ila wanachama walimpa timu mwekezaji Motsepe mafanikio yakaja
Enyimba haijaanzishwa na Kalu, ila wanachama walimpa timu mwekezaji Kalu mafanikio yakaja.
Simba wameshampa Mo mafanikio tunayaona wote.
YANGA NA SISI NI ZAMU YA KUMPA TIMU MWEKEZAJI, MSOLLA NA MWAKALEBELA VYEO VYAO VIFUTWE WASEPE
Nimeona yanga leo tumemfukuza kocha Kaze.
Hii haijatosha. Niliwahi kuandika kwenye uzi wa Enyimba success case study maneno haya.
Mimi ni mwanayanga ila naona kabisa simba atatwaa caf champions league mapema kuliko yanga yangu kwa staili yetu ya kuwapa vyeo kina Msolla.
Wazee kama Msolla kwa mfano ukweli kabisa mabadiliko hayataki ila anazuga anayataka kwa mbinu ya kuyachelewesha ili ale pesa za yanga mpaka anazeeka na kustaafu. Msolla sio mjinga kuchelewesha mabadiliko, anajua yakija haraka cheo chake kitafutwa na yeye atakosa ajira.
Enyimba wa igbo waliamua kumpa timu mzee Kalu na akaifanya timu iwe kigogo Africa.
Mamelodi pia waliamua kumpa timu mzee Motsepe.
Yanga GSM hawezi kuweka hela za kutosha sababu hajapewa timu kama Mo alivyopewa Simba.
Msolla na Mwakalebela wasepe timu apewe tajiri mmoja iwe kama yake rasmi.
Mazembe haijaanzishwa na Moise Katumbi ila wanachama walimpa timu mwekezaji Moise Katumbi mafanikio yakaja
Mamelodi haijaanzishwa na Motsepe ila wanachama walimpa timu mwekezaji Motsepe mafanikio yakaja
Enyimba haijaanzishwa na Kalu, ila wanachama walimpa timu mwekezaji Kalu mafanikio yakaja.
Simba wameshampa Mo mafanikio tunayaona wote.
YANGA NA SISI NI ZAMU YA KUMPA TIMU MWEKEZAJI, MSOLLA NA MWAKALEBELA VYEO VYAO VIFUTWE WASEPE