Mchekeshaji alivyomuhadaa mbabe wa vita Putin

Mchekeshaji alivyomuhadaa mbabe wa vita Putin

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Hakika Wana Ukraine wanapaswa kutembea kifua mbele hadi hivi sasa mpira ni mapumziko wamesha mchapa mtu tatu kwa nunge.

Hii vita watu waliichukulia poa akiwemo anayedaiwa kuwa mbabe wa vita Vladimir Putin, kutokana na ubutu wa jeshi la Ukraine wengi wetu tulijua ndani ya muda mfupi Putin na majeshi yake watakuwa wamesha iteka Kyiv.

Rais wa Ukraine akili kubwa, kwa kujua ubutu wa jeshi lake dhidi ya majeshi ya Russia, alikuja na mkakati madhubuti hii kwenye football tunaita kupaki basi, Putin na majeshi yake wakaingia kwenye mtego wamepigwa magoli ya kaunta ataki wamebaki wameduwaa hawaamini macho yao wameduwaaa chaliii.

Mpaka sasa sioni dalili za Putin kuiteka Kyiv, atapita wapi? Angani akitokeza uso tu analo ardhini ndio balaaa, hii ni fedhea kubwa kwa Putin wasiwasi wangu tunaweza kumpoteza mbabe huyu kwa aibu kubwa.
 
Mshua Putin alivyo tangaza oparation kijeshi basi nikajua hii ngoma anaimuduna ndani ya week tuu Ukrain itakuwa isha milikiwa asee...

Lakini mpaka asaivi naskia kwenye vyombo vya habari kuwa wao washaanza kufarakana mpaka na Ma General wao wamekuwa na Presha.

Hatakama ila Ukrain ina stail kupongezwa.

Vonskey anahitaji kupongezwa kwa level yake dhidi ya Rusia

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Hakika Wana Ukraine wanapaswa kutembea kifua mbele hadi hivi sasa mpira ni mapumziko wamesha mchapa mtu tatu kwa nunge.

Hii vita watu waliichukulia poa akiwemo anayedaiwa kuwa mbabe wa vita Vladimir Putin, kutokana na ubutu wa jeshi la Ukraine wengi wetu tulijua ndani ya muda mfupi Putin na majeshi yake watakuwa wamesha iteka Kyiv.

Rais wa Ukraine akili kubwa, kwa kujua ubutu wa jeshi lake dhidi ya majeshi ya Russia, alikuja na mkakati madhubuti hii kwenye football tunaita kupaki basi, Putin na majeshi yake wakaingia kwenye mtego wamepigwa magoli ya kaunta ataki wamebaki wameduwaa hawaamini macho yao wameduwaaa chaliii.

Mpaka sasa sioni dalili za Putin kuiteka Kyiv, atapita wapi? Angani akitokeza uso tu analo ardhini ndio balaaa, hii ni fedhea kubwa kwa Putin wasiwasi wangu tunaweza kumpoteza mbabe huyu kwa aibu kubwa.

Kwa maelezo yako bila shaka moscow imebaki magofu[emoji16]
 
Mshua Putin alivyo tangaza oparation kijeshi basi nikajua hii ngoma anaimuduna ndani ya week tuu Ukrain itakuwa isha milikiwa asee...

Lakini mpaka asaivi naskia kwenye vyombo vya habari kuwa wao washaanza kufarakana mpaka na Ma General wao wamekuwa na Presha.

Hatakama ila Ukrain ina stail kupongezwa.

Vonskey anahitaji kupongezwa kwa level yake dhidi ya Rusia

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app

Oparation haina mda maalumu ni mpaka lengo litakapofikia bwashee,
 
Wakati mwingine ni mkakati wa vita tu huo
Basi hata upande wa pili wanamikakati yao kimyakimya ndo maana upande wa propaganda za media hawapeleki nguvu sana huko, wao ni vitendo tu
 
Ila sisi wa Ukraine tunashinda vita na ndio tunaongoza kulia lia putin yeye ni kazikazi
 
Hakika Wana Ukraine wanapaswa kutembea kifua mbele hadi hivi sasa mpira ni mapumziko wamesha mchapa mtu tatu kwa nunge.

Hii vita watu waliichukulia poa akiwemo anayedaiwa kuwa mbabe wa vita Vladimir Putin, kutokana na ubutu wa jeshi la Ukraine wengi wetu tulijua ndani ya muda mfupi Putin na majeshi yake watakuwa wamesha iteka Kyiv.

Rais wa Ukraine akili kubwa, kwa kujua ubutu wa jeshi lake dhidi ya majeshi ya Russia, alikuja na mkakati madhubuti hii kwenye football tunaita kupaki basi, Putin na majeshi yake wakaingia kwenye mtego wamepigwa magoli ya kaunta ataki wamebaki wameduwaa hawaamini macho yao wameduwaaa chaliii.

Mpaka sasa sioni dalili za Putin kuiteka Kyiv, atapita wapi? Angani akitokeza uso tu analo ardhini ndio balaaa, hii ni fedhea kubwa kwa Putin wasiwasi wangu tunaweza kumpoteza mbabe huyu kwa aibu kubwa.
Ukaona umeandika point......!!!!

Jinga fulani jingani
 
Basi hata upande wa pili wanamikakati yao kimyakimya ndo maana upande wa propaganda za media hawapeleki nguvu sana huko, wao ni vitendo tu

Ila wabongo kwa ushabiki, tunawakilisha:

IMG_20220302_115525_094.jpg
 
Back
Top Bottom