Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Analia huku anatoa kipigo.Anaelia kila siku na kulazimisha kuonewa huruma anajulikana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Analia huku anatoa kipigo.Anaelia kila siku na kulazimisha kuonewa huruma anajulikana
Hakika Wana Ukraine wanapaswa kutembea kifua mbele hadi hivi sasa mpira ni mapumziko wamesha mchapa mtu tatu kwa nunge.
Hii vita watu waliichukulia poa akiwemo anayedaiwa kuwa mbabe wa vita Vladimir Putin, kutokana na ubutu wa jeshi la Ukraine wengi wetu tulijua ndani ya muda mfupi Putin na majeshi yake watakuwa wamesha iteka Kyiv.
Rais wa Ukraine akili kubwa, kwa kujua ubutu wa jeshi lake dhidi ya majeshi ya Russia, alikuja na mkakati madhubuti hii kwenye football tunaita kupaki basi, Putin na majeshi yake wakaingia kwenye mtego wamepigwa magoli ya kaunta ataki wamebaki wameduwaa hawaamini macho yao wameduwaaa chaliii.
Mpaka sasa sioni dalili za Putin kuiteka Kyiv, atapita wapi? Angani akitokeza uso tu analo ardhini ndio balaaa, hii ni fedhea kubwa kwa Putin wasiwasi wangu tunaweza kumpoteza mbabe huyu kwa aibu kubwa.
Mpaka sasa Russia sidhani kama anacha kujivunia kwenye hii vita,otherwise wameji expose hata kwa maadui zao kuonyesha ni jinsi gani majeshi ya Russia wanakosa basic battle tactics,mfano the way walikuwa wanapita barabarani wazi kabisa na msafara wa vifaru tena viko karibu karibu bila hata air support imeonyesha udhaifu sana...Hi imefanya kila mara Russia wame easy target kwa ambush,Hadi sasa inasemekana Russia wameshapotesa wanajeshi zaid ya 15000,idadi kubwa kama waliokufa enzi za uvamizi wa Soviet Afghanistani.
Na silaha za west zinaendelea kumwagika Ukraine,Hii vita itachukua muda mrefu kuliko ilivyotarajiwa na madhara yatakuwa makubwa zaidi.
Hakuna operation mbaya kama kuvamia nchi ya watu hata kama ni ndogo huwa ni balaa kama utakuta watu wake wanamshikamano. Ndio maana beberu akitaka kuvamia anawachonganisha mnagawika kisha anaingia, hii operation Russia hawezi kushinda labda aingamize ukraine yote na si vinginevyo. Uzalendo uliokomaa ni zaidi ya silaha zote na wingi wa majeshi, watu wakiamua kusimama kupigania nchi yao kwa jasho na damu huwawezi watu watambue hilo, ukraine ulitolewa wito wa kulinda na kupigania uhuru na heshima ya nchi yao hupiti kizembe maana nchi nzima inakuwa vitaniMpaka sasa Russia sidhani kama anacha kujivunia kwenye hii vita,otherwise wameji expose hata kwa maadui zao kuonyesha ni jinsi gani majeshi ya Russia wanakosa basic battle tactics,mfano the way walikuwa wanapita barabarani wazi kabisa na msafara wa vifaru tena viko karibu karibu bila hata air support imeonyesha udhaifu sana...Hi imefanya kila mara Russia wame easy target kwa ambush,Hadi sasa inasemekana Russia wameshapotesa wanajeshi zaid ya 15000,idadi kubwa kama waliokufa enzi za uvamizi wa Soviet Afghanistani.
Na silaha za west zinaendelea kumwagika Ukraine,Hii vita itachukua muda mrefu kuliko ilivyotarajiwa na madhara yatakuwa makubwa zaidi.
Kwakweli kipigo hadi watu wanapagawa wanataka kuroga kabisaAnalia huku anatoa kipigo.
Si warushe sasa wanalialia nini,,,,,,,mnajifariji halafu mwisho wa siku mnalia kuonewa huruma........we tuma tu .......kufika mwisho hadi mrusi amalize yake ukraine hata miaka 20 ijayo ngoma itambae tuUkituwekea picha na sisi tutaleta picha za upande wa Ukraine,hatutafika mwisho,..
Tunachzungumzia hapa russia ground operation hadi sasa imeonyesha udhaifu sana,kurusha missile angani kila nci inaweza hilo,sio kitu cha kujivunia maana matokeo yake wameua watu 5000 wasio ha hatia kule Maiupol haisa sasa,kutumia missiles kwa wingi ni ishara ya kufeli kwa ground operations
Ooops kumbe nabishana na layman,.Si warushe sasa wanalialia nini,,,,,,,mnajifariji halafu mwisho wa siku mnalia kuonewa huruma........we tuma tu .......kufika mwisho hadi mrusi amalize yake ukraine hata miaka 20 ijayo ngoma itambae tu
7iHatari.
Alikuwa mbabe kwelikweli.
Sawa hatchman.........kwa msaada wa watu wa marekani piiiiga hao mashoga PutinOoops kumbe nabishana na layman,.
have a good day bro.
N muda unavyozidi kwenda ndio vita huwa vinakuwa vigumu zaidi,refer USA Iraq na Afghan,vita ilikuwa ngumu kadri muda ulivyokuwa unaenda na walikuwa wanapoteza wanajeshi wengi zaidi.Hakuna operation mbaya kama kuvamia nchi ya watu hata kama ni ndogo huwa ni balaa kama utakuta watu wake wanamshikamano. Ndio maana beberu akitaka kuvamia anawachonganisha mnagawika kisha anaingia, hii operation Russia hawezi kushinda labda aingamize ukraine yote na si vinginevyo. Uzalendo uliokomaa ni zaidi ya silaha zote na wingi wa majeshi, watu wakiamua kusimama kupigania nchi yao kwa jasho na damu huwawezi watu watambue hilo, ukraine ulitolewa wito wa kulinda na kupigania uhuru na heshima ya nchi yao hupiti kizembe maana nchi nzima inakuwa vitani
Russia kutumia ballastic missile haikuwa planned fire support ndio maana mabomu mengi yamelipua makazi ya watu hapa Russia kachemka, ipo hivi vikundi hasimu vinaweza kuwa vinapambana kwa umbali flani hivyo silaha za msaada zinaweza kutumika ila kupata control na kusonga mbele, watu wengi wanakalili sana ila uwezo wa medani hapa Russia amedebweda mpaka propaganda au media war amezidiwa sanaUkituwekea picha na sisi tutaleta picha za upande wa Ukraine,hatutafika mwisho,..
Tunachzungumzia hapa russia ground operation hadi sasa imeonyesha udhaifu sana,kurusha missile angani kila nci inaweza hilo,sio kitu cha kujivunia maana matokeo yake wameua watu 5000 wasio ha hatia kule Maiupol haisa sasa,kutumia missiles kwa wingi ni ishara ya kufeli kwa ground operations
Wanazuoni wansema Putin ali under estimate reaction ya NATO na West,hakutegemea wangempa support kubwa namna hii Zelensky,alitegemea akipiga mkwara basi west wataogopa kuipa support Ukraine,ikawa tofauti kabisa wanampa hela na silaha za kutosha,na pia hakutegemea sanctions zitakuwa kali kiasi hiki,hata Russia ndani kwenyewe kuna watuwazito wanaanza kutilia mashaka future ya russia kama wakiendelea kutengwa na West.Russia kutumia ballastic missile haikuwa planned fire support ndio maana mabomu mengi yamelipua makazi ya watu hapa Russia kachemka, ipo hivi vikundi hasimu vinaweza kuwa vinapambana kwa umbali flani hivyo silaha za msaada zinaweza kutumika ila kupata control na kusonga mbele, watu wengi wanakalili sana ila uwezo wa medani hapa Russia amedebweda mpaka propaganda au media war amezidiwa sana
Kwani vita vimepiganiwa wapi?
Ya nini akaumize nguvu kazi yake,Ilhali ana mbadala wakumwadhibu nyoka akiwa angani.Ukituwekea picha na sisi tutaleta picha za upande wa Ukraine,hatutafika mwisho,..
Tunachzungumzia hapa russia ground operation hadi sasa imeonyesha udhaifu sana,kurusha missile angani kila nci inaweza hilo,sio kitu cha kujivunia maana matokeo yake wameua watu 5000 wasio ha hatia kule Maiupol haisa sasa,kutumia missiles kwa wingi ni ishara ya kufeli kwa ground operations
Mabeberu wameondelea kuwa bora kwenye medani za ujasusi na hujuma, na kwa sasa yanajianda kumuadhibu zaidi putin na serikalii yake, kinachowapa nguvu mabeberu ni power diversification ndio maana mikwara yote lakini wameendelea kutoa supportWanazuoni wansema Putin ali under estimate reaction ya NATO na West,hakutegemea wangempa support kubwa namna hii Zelensky,alitegemea akipiga mkwara basi west wataogopa kuipa support Ukraine,ikawa tofauti kabisa wanampa hela na silaha za kutosha,na pia hakutegemea sanctions zitakuwa kali kiasi hiki,hata Russia ndani kwenyewe kuna watuwazito wanaanza kutilia mashaka future ya russia kama wakiendelea kutengwa na West.
Putin is a butcher- Biden.
Hitler hakuangalia raia, alifumua wote raia wanajeshi, urusi angekuwa kama Hitler Ukrain ingekaa Siku mbili tu.