Mchelea mwana kulia, hulia yeye. Tulimsifu kwa nyimbo na mapambio mwanetu, leo tunalia

Mchelea mwana kulia, hulia yeye. Tulimsifu kwa nyimbo na mapambio mwanetu, leo tunalia

Tanzania ni nchi safi sana ya kuishi, sijuwi kama tungekuwa na rais kama Lissu ama Zitto hii nchi ingekuwa shamba la nani kwa kweli. Yaani tulihitaji rais mwenye maono makali kama Magufuli na mwenye kuona mbele. Mtanzania hataki kufanya kazi eti anataka serikali imsaidie, shule ni bure hataki kwenda shule anaona bora akashinde madrasa isiyo na manufaa kwake. Siku zote wazungu hawatopenda kuona Afrika inaendelea au kuwa na msimamo, watafanya chini juu kutafuta mazwazwa kama kina Lissu na Zitto wawatumie kuchafua nchi zao. Adui wa Afrika ni mwafrika mwenyewe mwenye tamaa za kijinga.

cc: Tundu Lissu
Zitto Kabwe
Dogo Mbowe
 
Tanzania ni nchi safi sana ya kuishi, sijuwi kama tungekuwa na rais kama Lissu ama Zitto hii nchi ingekuwa shamba la nani kwa kweli. Yaani tulihitaji rais mwenye maono makali kama Magufuli na mwenye kuona mbele. Mtanzania hataki kufanya kazi eti anataka serikali imsaidie, shule ni bure hataki kwenda shule anaona bora akashinde madrasa isiyo na manufaa kwake. Siku zote wazungu hawatopenda kuona Afrika inaendelea au kuwa na msimamo, watafanya chini juu kutafuta mazwazwa kama kina Lissu na Zitto wawatumie kuchafua nchi zao. Adui wa Afrika ni mwafrika mwenyewe mwenye tamaa za kijinga.

cc: Tundu Lissu
Zitto Kabwe
Dogo Mbowe

Watanzania tuna jambo letu na rais wetu John Pombe Joseph Magufuli

Hao kina kina Lissu na Zitto walishabalishaga makabila na utaifa mioyoni mwao.

Hao wanajikuta wazungu kuliko wale wazungu wenyewe waache waendelee kusujudia wajukuu wa Hitler na King Leopold II

Screenshot_20201118-222615.jpg
 
Naye aonje maisha ya kuishi kama MASHETANI.
Huwezi kuwa mzazi halafu unawaombea mabalaa watu wa nyumbani mwako.
Nashauri watengeneze bajeti mpya, wafikirie na vyanzo vipya vya mapato

Bujibuji weee

Basi tusiombeane mabaya.... watanzania sisi ni ndugu, ninachojua kama ni kulia tutalia wote na kama ni kucheka basi tutacheka wote

Mungu ibariki Tanzania
 
Watanzania tuna jambo letu na rais wetu John Pombe Joseph Magufuli

Hao kina kina Lissu na Zitto walishabalishaga makabila na utaifa mioyoni mwao.

Hao wanajikuta wazungu kuliko wale wazungu wenyewe waache waendelee kusujudia wajukuu wa Hitler na King Leopold II

View attachment 1630525
This really hurts na wazungu wako kimya mpaka wakaweka soko kuu la Ulaya Brussels. Cha kushangaza Lissu na Zitto hawajali kuhusu hili, wao wanajali matumbo yao tu na their bank accounts. Yaani unakwenda kushitaki nchi yako kwa shetani, si ujinga huu? Hawa watu ni hatari sana kwa taifa letu.
 
Hii nchi tungekuwa na upendo wa aina hii Leo tungekuwa mbali mno

Haupo ndio maana tunaenda kusemeleana kwa watoa mikopo kule EU na USA

Ila usijali Bujibuji yatapita salama tuu haya. Siku sio nyingi tutaongea lugha moja na tutakua na upendo wa kweli
 
This really hurts na wazungu wako kimya mpaka wakaweka soko kuu la Ulaya Brussels. Cha kushangaza Lissu na Zitto hawajali kuhusu hili, wao wanajali matumbo yao tu na their bank accounts. Yaani unakwenda kushitaki nchi yako kwa shetani, si ujinga huu? Hawa watu ni hatari sana kwa taifa letu.

Tamaa zao zitawaangamiza, nazionea huruma familia zao watoto wao na wajukuu.. Hakuna kilichofichika ambacho hakitadhihirika
 
Tujifunze kujinenea mema. Tuwanenee watu wetu mema, tuineneee kesho yetu yale yaliyo mema.
Kauli mbaya zinaleta matokeo mabaya.
Kauli kama "MTAISHI KAMA MASHETANI" hakika hazifai.
Context, aiseee! Usidhani unaongea na waghilimishwa ubongo humu -- we are not brainwashed like you
 
Huyu mwana wetu, hatukumwambia alipokosea, aliamua kufanya lolote atakalo, na hata alipofanya mabaya tukamsifu kwamba huo uovu wake aufanyao ndio uanaume wenyewe.

Alianza kwa kuwatumia rafiki zake wa kutoka mbali tusiowajua kupoteza wadogo zake, akaenda mbali akafanya maovu makubwa, tukamsifu Sana kwamba yeye ni kidume.

Lakini Kuna ndugu walikuwa wakituasa na kutushauri kuwa huyu mtoto tunamuharibu, sisi hatukusikia, tukaendelea kupuliza filimbi na nyimbo mpya tukamtungia.

Sasa leo Vyombo vya Dola vimetukamata na kutuweka korokoroni ndipo sasa tunalia na kusaga meno.

Tunapiga magoti, tunaomba, Mungu ametuma ujumbe mfupi tu.

Mithali : Mlango 28​

16 Mkuu aliyepungukiwa na akili huwaonea watu sana;Bali achukiaye kutamani ataongeza siku zake.
Kwa jinsi tulivyomchoka na sema huyo Ni magufuli tu
 
Huyu mwana wetu, hatukumwambia alipokosea, aliamua kufanya lolote atakalo, na hata alipofanya mabaya tukamsifu kwamba huo uovu wake aufanyao ndio uanaume wenyewe.

Alianza kwa kuwatumia rafiki zake wa kutoka mbali tusiowajua kupoteza wadogo zake, akaenda mbali akafanya maovu makubwa, tukamsifu Sana kwamba yeye ni kidume.

Lakini Kuna ndugu walikuwa wakituasa na kutushauri kuwa huyu mtoto tunamuharibu, sisi hatukusikia, tukaendelea kupuliza filimbi na nyimbo mpya tukamtungia.

Sasa leo Vyombo vya Dola vimetukamata na kutuweka korokoroni ndipo sasa tunalia na kusaga meno.

Tunapiga magoti, tunaomba, Mungu ametuma ujumbe mfupi tu.

Mithali : Mlango 28​

16 Mkuu aliyepungukiwa na akili huwaonea watu sana;Bali achukiaye kutamani ataongeza siku zake.
Kweli jamaa ni mshenzi sana, hadi Ameua watu kwa mikono yake mwenyewe Dah sidhani kama hata Idi Amini aliwahi kufanya Ushenzi anaoufanya
 
Back
Top Bottom