Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,761
- 4,535
Alishindwa Herode, Hitler, Ottoman, Farao ndio wakuja ataweza kweli.Hivi kuna mtu anayeshindana na dunia kweli?
Hakuna binadamu aliyewahi ishinda dunia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alishindwa Herode, Hitler, Ottoman, Farao ndio wakuja ataweza kweli.Hivi kuna mtu anayeshindana na dunia kweli?
Kweli jamaa ni mshenzi sana, hadi Ameua watu kwa mikono yake mwenyewe Dah sidhani kama hata Idi Amini aliwahi kufanya Ushenzi anaoufanya
Ndio walivyoAugust kumbe yalikua mengi Ila chadema walibebea lao kama vile siku nzima walijadiliwa wao
Miguu yenyewe umeiona siku hizi? Nafikiri ameshambuliwa na polioAnarusha miguu kwenye jeneza
Ndio walivyoAugust kumbe yalikua mengi Ila chadema walibebea lao kama vile siku nzima walijadiliwa wao
Kumbe weye ni mkirsto wa kusali tu siyo mkristo wa kumpenda na kumtafuta MUNGU!? Basi wachukie tu ili roho yako, nafsi yako na mwili wako vipoe!J2 unakuta limepiga magoti kanisani na camera kibao, amenifanya niichukie dini ya kikristo sn yeye na Ndugai
Nadhani unamaanila Kula! na sio Kura! Kura ni kile kitendo ulichofanya tarehe 28 oct na Kula ni ile hali ya kupeleka mkono wenye kitu kinywani!!"Hii sio awamu ya kura raha"
unakosoa lafudhi ya mwenyekiti wa chama?Nadhani unamaanila Kula! na sio Kura! Kura ni kile kitendo ulichofanya tarehe 28 oct na Kula ni ile hali ya kupeleka mkono wenye kitu kinywani!!
Ukristo hauna shida kabisa ndugu yangu ila udhehebu uliopachikwa ukristo ndio wenye shida.J2 unakuta limepiga magoti kanisani na camera kibao, amenifanya niichukie dini ya kikristo sn yeye na Ndugai
Pasikali kaji bebisha kila siku kumsifia jiwe mitandaoni wapi, labda mwaka huu atapata kauteuzi.[emoji51][emoji51][emoji51][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16]
Hahahahaaaaaa.Yaani nacheka kama mazuri vile.
Endelea tu kucheka tuContext, aiseee! Usidhani unaongea na waghilimishwa ubongo humu -- we are not brainwashed like you
Suleiman at his best”Heri kijana maskini mwenye hekima, Kuliko mfalme mzee mpumbavu”. ~Asema Bwana.
Ata akiamua kutu nyonga atu nyonge tu hatuna nenoHakuna mtu atapata raha
Upo sahihi mkuuUkristo hauna shida kabisa ndugu yangu ila udhehebu uliopachikwa ukristo ndio wenye shida.
Kabisa mtu akitaka kuujua ukristo katika ukweli na uhalisia wake ni lazima awe mfuasi wa Kristo na siyo madhehebu yaliyopachikwa bango la "kikristo".Kiukweli shetani ana mbinu nyingi sana katika jitihada zake za kuwapoteza wanadamu.Upo sahihi mkuu
Haya madhehebu ya kitapeliKabisa mtu akitaka kuujua ukristo katika ukweli na uhalisia wake ni lazima awe mfuasi wa Kristo na siyo madhehebu yaliyopachikwa bango la "kikristo".Kiukweli shetani ana mbinu nyingi sana katika jitihada zake za kuwapoteza wanadamu.
Na mke wako asikie kabisa mwaka huu hakuna raha
Madrasa, maana yake darasa, sasa. Shule haendi anaenda madrasa, madrasa nayo ni shule, lugha isikuchanganye nduguTanzania ni nchi safi sana ya kuishi, sijuwi kama tungekuwa na rais kama Lissu ama Zitto hii nchi ingekuwa shamba la nani kwa kweli. Yaani tulihitaji rais mwenye maono makali kama Magufuli na mwenye kuona mbele. Mtanzania hataki kufanya kazi eti anataka serikali imsaidie, shule ni bure hataki kwenda shule anaona bora akashinde madrasa isiyo na manufaa kwake. Siku zote wazungu hawatopenda kuona Afrika inaendelea au kuwa na msimamo, watafanya chini juu kutafuta mazwazwa kama kina Lissu na Zitto wawatumie kuchafua nchi zao. Adui wa Afrika ni mwafrika mwenyewe mwenye tamaa za kijinga.
cc: Tundu Lissu
Zitto Kabwe
Dogo Mbowe