Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walio mtukuza jiweWasanii wa miziki ni wapumbavu sana.
Umeona eee!Picha linaanza,; wakashauriana wazuie "SMS ZENYE NENO LISSU/TUNDU LISSU", halafu wakashauriana wazime "INTENRET, WHATSAPP, TWITTER, INSTAGRAM".
Wananchi walivyo hamia kwenye VPN, wakaitisha kikao cha dharura na kuazimia kuzima na "PLAYSTORE".
Ili wakiiba kura, dunia isijue, wananchi wasijue. Dunia iamini CCM imeshinda kwa kishindo. Wakajiona wana akili kuliko dunia nzima aisee.
#Ujuha Uliotukuka.
Huo si ushauri.Washauri wake anawapangia kipi na namna ya kumshauri
Uongozi mbovu mno huu.Huyu mwana wetu, hatukumwambia alipokosea, aliamua kufanya lolote atakalo, na hata alipofanya mabaya tukamsifu kwamba huo uovu wake aufanyao ndio uanaume wenyewe.
Alianza kwa kuwatumia rafiki zake wa kutoka mbali tusiowajua kupoteza wadogo zake, akaenda mbali akafanya maovu makubwa, tukamsifu Sana kwamba yeye ni kidume.
Lakini Kuna ndugu walikuwa wakituasa na kutushauri kuwa huyu mtoto tunamuharibu, sisi hatukusikia, tukaendelea kupuliza filimbi na nyimbo mpya tukamtungia.
Sasa leo Vyombo vya Dola vimetukamata na kutuweka korokoroni ndipo sasa tunalia na kusaga meno.
Tunapiga magoti, tunaomba, Mungu ametuma ujumbe mfupi tu.
Mithali : Mlango 28
16 Mkuu aliyepungukiwa na akili huwaonea watu sana;Bali achukiaye kutamani ataongeza siku zake.
Anaamini eti yeye ndio kiongozi bora kuliko wote tangu kuumbwa kwa ulimwenguUongozi mbovu mno huu.
Maisha ya Dunia yamekupofusha wewe, madrasa isiyo na nini ?? Hivi nyie CCM mna tatizo gani lakini ?? Ukifa ukawekwe kwenye moto sawa na ule moto wa firauni.Tanzania ni nchi safi sana ya kuishi, sijuwi kama tungekuwa na rais kama Lissu ama Zitto hii nchi ingekuwa shamba la nani kwa kweli. Yaani tulihitaji rais mwenye maono makali kama Magufuli na mwenye kuona mbele. Mtanzania hataki kufanya kazi eti anataka serikali imsaidie, shule ni bure hataki kwenda shule anaona bora akashinde madrasa isiyo na manufaa kwake. Siku zote wazungu hawatopenda kuona Afrika inaendelea au kuwa na msimamo, watafanya chini juu kutafuta mazwazwa kama kina Lissu na Zitto wawatumie kuchafua nchi zao. Adui wa Afrika ni mwafrika mwenyewe mwenye tamaa za kijinga.
cc: Tundu Lissu
Zitto Kabwe
Dogo Mbowe
"Hii sio awamu ya kura raha"
Mkuu wewe ni Msabato? Sijui huwa wanajisikiaje mtu ukisema Mlango wa....Mithali : Mlango 28
16 Mkuu aliyepungukiwa na akili huwaonea watu sana;Bali achukiaye kutamani ataongeza siku zake.
Mimi sio Msabato, Mimi ni kuhani ila sio KayafaMkuu wewe ni Msabato? Sijui huwa wanajisikiaje mtu ukisema Mlango wa....
Hi ni sawa na ugomvi na mkeo unauhamishia ofisini. Usikate tamaa bado unaakili timamu unaweza kuswitch fikra zako kuangalia mambo kwa macho ya rohoni.J2 unakuta limepiga magoti kanisani na camera kibao, amenifanya niichukie dini ya kikristo sn yeye na Ndugai
Tumewapanua Chadema, uliza Lissu na Zitto watakuambia kwani wanashindwa kunya kwa sasaKama nyie ni mabingwa wa kupanua, kawapanueni mnaowaita mabeberu
Kwa uandishi huu, nadhani bahati yake ipo karibu!Pasikali kaji bebisha kila siku kumsifia jiwe mitandaoni wapi, labda mwaka huu atapata kauteuzi.
Unaisoma au siyo[emoji4][emoji4]na bado, nyumbu nyie.J2 unakuta limepiga magoti kanisani na camera kibao, amenifanya niichukie dini ya kikristo sn yeye na Ndugai
Na mke wako asikie kabisa mwaka huu hakuna raha
Miguu yenyewe umeiona siku hizi? Nafikiri ameshambuliwa na polio
Kwenye neno raha weka "laha" Mkuu ili nukuu ile iwe vema!!! Daaah sijui huko aliko ana hali gani...Mimi Nina kula raha sana kuliko mtu yeyote Tanzania, nakula raha kwelikweli.