Mchelea mwana kulia, hulia yeye. Tulimsifu kwa nyimbo na mapambio mwanetu, leo tunalia

Umeona eee!
 
Uongozi mbovu mno huu.
 
Maisha ya Dunia yamekupofusha wewe, madrasa isiyo na nini ?? Hivi nyie CCM mna tatizo gani lakini ?? Ukifa ukawekwe kwenye moto sawa na ule moto wa firauni.
 

Mithali : Mlango 28​

16 Mkuu aliyepungukiwa na akili huwaonea watu sana;Bali achukiaye kutamani ataongeza siku zake.
Mkuu wewe ni Msabato? Sijui huwa wanajisikiaje mtu ukisema Mlango wa....
 
J2 unakuta limepiga magoti kanisani na camera kibao, amenifanya niichukie dini ya kikristo sn yeye na Ndugai
Hi ni sawa na ugomvi na mkeo unauhamishia ofisini. Usikate tamaa bado unaakili timamu unaweza kuswitch fikra zako kuangalia mambo kwa macho ya rohoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…