Mchengelwa uongeze siku za kuandisha daftari la Serikali za Mitaa, Yanga na Simba zimeathiri zoezi

Younga ndo nini!?... Hivi mmekunywa nini leo!?,kila anayeanzisha thread ni mwendo wa kuchapia tu..
Spelling erro
 
Wengine tushajiandikisha. Tunasubiri siku ya uchaguzi tukipe ushindi wa kishindo Chama Cha Mapinduzi. Wewe baki eti uandikishaji umebuma halafu utegemee chama chako kishinde! KUMBAVU!!!
Umeona watu hawaendiki kujiandikisha alafu badae wanasema wameibiwa kura
 
Kutokupiga kura c haki ya msingi nayo, kama sijamuona wakuja niwakilisha kati ya hao walio kua nominated, nitaenda kupiga kura kua nampigia nani
 
Hamuhitaji kura, nyie tume ya uchaguzi na vyombo vya dola ndio tegemeo lenu. Watu wajinga tu ndio watajitokeza kushiriki huo uhuni wa kuwahalalisha ccm kukaa madarakani kwa shuruti.
Ni jambo jema kwamba HAMTASHIRIKI. Hata mwaka 2019 mligomea hivi hivi na wenyeviti HALALI walipatikana na wakaa uongozini hadi muda wao umeisha! Ahahahahaha!!!
 
Reactions: Tui
Umeona watu hawaendiki kujiandikisha alafu badae wanasema wameibiwa kura
Wajinga sana. CCM inahamasisha watu wakajiandikishe na ina maana watakaokwenda ni wale watakaoipa CCM kura. Wao wanahamasisha watu wasijiandikishe. Maana yake wanaowaunga mkono hawatajiandikisha. Baada ya uchaguzi utawasikia wanalialia wameibiwa kura. Ujinga kabisa!
 
Reactions: Tui

Umeona watu hawaendiki kujiandikisha alafu badae wanasema wameibiwa kura
Uandikishaji wa kipumbavu sana! Hupewi hata kitambulisho? Jinga umri TU na jina? Maccm ni magaidi!
 
Ni jambo jema kwamba HAMTASHIRIKI. Hata mwaka 2019 mligomea hivi hivi na wenyeviti HALALI walipatikana na wakaa uongozini hadi muda wao umeisha! Ahahahahaha!!!
Uko sahihi, hao wenyeviti hata kuitisha mikutano ya mapato na matumizi hawathubutu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…