Mchepuko akikuuliza maswali yafuatayo kuhusu mmeo au mkeo unatakiwa umjibuje?

Mchepuko akikuuliza maswali yafuatayo kuhusu mmeo au mkeo unatakiwa umjibuje?

Ingewezekana kuanza upya wakati wa kuchagua wengi wasingafanya makosa ya kurudia kuchagua mke yule yule au mume yule yule [emoji108]

Wanandoa wengi wanaishi kimakandamkanda tu.
Exactly,umeongea point Sana mkuu,watu wanaojifanya wanawapenda wake zao kwa kuongea mbele za watu,lakin mioyo yao Ni tofaut kabisa
 
Truth always sets one free,Ni Bora umwambie ukweli ili mwenyewe ajifanyie maamuzi atakayoona Ni sahihi.

Kwa binafsi yangu akiniuliza maswali ya hivyo bila Shaka nitamjibu nampenda mke wangu na yeye ndo kila kitu ninachohitaji Hapa Duniani.Basi litakuwa Ni jukumu lake yeye mwenyewe ( mchepuko) aamue aidha aendelee kuwa nami au aniache,coz at this rate hata akiniacha Sina Cha kupoteza nitarudi kwa mke au nitatafuta mchepuko mwingine.Case closed.
Nguvu ya mbususu ni kubwa kuliko unavyozani,yaan assume akuulize ukiwa tayar mshedede umeuingza ndani ya k utamjibu vibaya harafu uuchomoe mshedede wako uondoke?? Acha kujimwambafai mkuu
 
Kuhoji itakusaidia kumjua mtu wako yukoje,Ana akili gani,pia Ana uwezi gani wa kiuchumi nk,,Sasa Kama huulizi huoni kuwa unaweza ukadate na maagaidi mkuu,Cha kwanza kujua kwa mchepuko Ni mke wake au mme wake yukoje,then unajilinganisha na wew,hii itakusaidia hata kiusalama au kujiamin
Mmmmmh sijafikia huko[emoji16]
 
Hiyo inwezekana vp?

Typical mwanaume akichepuka na mke wa mtu hana mda wa kuuliza hayo maswali

Typical mwanaume akiisaliti ndo yake Kwa kutembea na mchepuko hamrusuh huyo mchepuko kuizungumzia familia yake iwe Kwa mazuri au mabaya
Huna uelewa mzuri kuhusu tabia za watu!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sharti la kwanza...Mchepuko anatakiwa kujua mkeo/mumeo ni wa thamani kuliko yeye.

Pili, mkeo/mumeo Hana madhaifu yeyote ni basi tu wewe shetani kakupitia na umekubali akupitie ndio maana upo nae.

Tatu, ya nyumbani kwako, watoto na mke/mume hayamuhusu, akipata muda wa kuwa na wewe autumie vizuri na wewe maswali apeleke mahakamani.

Nne, Atambue hataweza kukutenganisha na mke/mumeo.

Tano, asijaribu Kwa namna yeyote kufanya chokochoko Kwa mke/mumeo maana mahusiano yenu ndio yataishia hapo na utamkana mara tatu kabla jogoo hajawika.
Huu ni uongo kabsa
 
Back
Top Bottom