Mchepuko akikuuliza maswali yafuatayo kuhusu mmeo au mkeo unatakiwa umjibuje?

Mchepuko akikuuliza maswali yafuatayo kuhusu mmeo au mkeo unatakiwa umjibuje?

Halafu kuna atleast two types of cheating. Kuna cheating just for sex na mahusiano ya hivi hayadumu unakuta mwezi tu yameisha au ni one night stand na ni kwasababu mume hamuonyeshi upendo huyo mchepuko. Na kuna emotional cheating, mume anakuwa kweli anampenda huyo mchepuko, mahusiano yanakuwa ya muda mrefu miezi miaka, so lazima mume ataongelea ndugu zake, watoto hata mke, ndo mke wa pili anatokea hapa au official nyumba ndogo imepangishiwa au kujengewa kabisa na mtoto juu
 
Halafu kuna atleast two types of cheating. Kuna cheating just for sex na mahusiano ya hivi hayadumu unakuta mwezi tu yameisha au ni one night stand na ni kwasababu mume hamuonyeshi upendo huyo mchepuko. Na kuna emotional cheating, mume anakuwa kweli anampenda huyo mchepuko, mahusiano yanakuwa ya muda mrefu miezi miaka, so lazima mume ataongelea ndugu zake, watoto hata mke, ndo mke wa pili anatokea hapa au official nyumba ndogo imepangishiwa au kujengewa kabisa na mtoto juu
Umeongea point Sana mkuu
 
Sasa Kuna hao pasua kichwa wa kuuliza eti mi na mumeo Nani zaidi? watu wa hivi Ni kuwakazia au sio?
Unawakazia vip mkuu?? Lazma utawajibu tu. Tafit zinaonesha kuwa wanaume wanaipenda Sana michepuko kuliko wake zao,maana weng wao wameoa si kwa kupenda,ko mchepuko akikuuliza huku kakupakulia mbususu nzur nzur Ni lazma umjibu maswali yake
 
Unamuwekea asilimia ngapi uhakika wa kuolewa?Vijana wenyewe wa kiume wamekuwa wapenda dezo na kulelewa hawataki kuoa.
Vijana kutokuoa mnasababisha nyiny wanawake. Kwann nyiny mnawapa mbususu kabla hata hajatoa hata mahari?? ko ukishamwonjesha tu lazma atacompare Radha yake na kuona Kuna kasoro then anakula mitin
 
Vijana kutokuoa mnasababisha nyiny wanawake. Kwann nyiny mnawapa mbususu kabla hata hajatoa hata mahari?? ko ukishamwonjesha tu lazma atacompare Radha yake na kuona Kuna kasoro then anakula mitin
Kuwa makini.Au avatar inakudanganya.Elewa maelezo.
 
Sijafika level hiyo ya kuanza kuhoji eti mie na mkeo unampenda nani zaidi[emoji23],

Wakati najua kuwa anampenda mkewe zaidi ndiyo maana kamuoa/ndoa,
Kama huhoji bas unakosea mkuu
 
Habarini za asubuhi wadau wa jukwaa hili! Bila Shaka weng wenu Ni wazma, wenye changamoto pia nawapa pole.

Nisiwapotezee muda niende kwenye mada:

Bila Shaka wazoefu wa michepuko mshawahi kukutana na maswali mengi Sana kutoka kwa mchepuko wako yanayohusu familia yako wakiwemo mke na watoto. Pia Kama mnavyojua kwa sis wanaume michepuko huwa tunaibembeleza Sana na huonesha Waz kuwa tunaipenda kuliko wake zetu.

Mchepuko akikuuliza maswali haya utamjibu nn?

• Namzidi nini mkeo au mmeo mpaka umeamua kunipenda?
•Kati ya mimi na mmeo au mkeo Nani anakuridhisha Zaidi kimapenzi?

Sio kila swali litajibiwa.

Mchepuko akija na maswali ya kipuuzi kama haya huwa sijibu
 
Ukishajua kuhusu family ya mchepuko itakusaidia nini??

Mwanaume mpumbavu tu ndiye mwenye huo muda wa kukaa na mchepuko kuanza kuongelea family yake.
Kuhoji itakusaidia kumjua mtu wako yukoje,Ana akili gani,pia Ana uwezi gani wa kiuchumi nk,,Sasa Kama huulizi huoni kuwa unaweza ukadate na maagaidi mkuu,Cha kwanza kujua kwa mchepuko Ni mke wake au mme wake yukoje,then unajilinganisha na wew,hii itakusaidia hata kiusalama au kujiamin
 
Ukishajua kuhusu family ya mchepuko itakusaidia nini??

Mwanaume mpumbavu tu ndiye mwenye huo muda wa kukaa na mchepuko kuanza kuongelea family yake.
Mchepukaje asieulizia kuhusu mke au mme wa mchepuko wake huyo ni mjinga namba moja,
 
Unawakazia vip mkuu?? Lazma utawajibu tu. Tafit zinaonesha kuwa wanaume wanaipenda Sana michepuko kuliko wake zao,maana weng wao wameoa si kwa kupenda,ko mchepuko akikuuliza huku kakupakulia mbususu nzur nzur Ni lazma umjibu maswali yake


Ni kweli kabisa,
Sio wanandoa wote wanawapenda wenzi wao kiivyo.

Wengi tu wanajutia kuoana nao.

Wanabaki kuishi kulea watoto tu lakini penzi la kweli hakunaga!
 
Ingewezekana kuanza upya wakati wa kuchagua wengi wasingafanya makosa ya kurudia kuchagua mke yule yule au mume yule yule [emoji108]

Wanandoa wengi wanaishi kimakandamkanda tu.
 
Truth always sets one free,Ni Bora umwambie ukweli ili mwenyewe ajifanyie maamuzi atakayoona Ni sahihi.

Kwa binafsi yangu akiniuliza maswali ya hivyo bila Shaka nitamjibu nampenda mke wangu na yeye ndo kila kitu ninachohitaji Hapa Duniani.Basi litakuwa Ni jukumu lake yeye mwenyewe ( mchepuko) aamue aidha aendelee kuwa nami au aniache,coz at this rate hata akiniacha Sina Cha kupoteza nitarudi kwa mke au nitatafuta mchepuko mwingine.Case closed.
 
Back
Top Bottom