Mchepuko akikuuliza maswali yafuatayo kuhusu mmeo au mkeo unatakiwa umjibuje?

Ingewezekana kuanza upya wakati wa kuchagua wengi wasingafanya makosa ya kurudia kuchagua mke yule yule au mume yule yule [emoji108]

Wanandoa wengi wanaishi kimakandamkanda tu.
Exactly,umeongea point Sana mkuu,watu wanaojifanya wanawapenda wake zao kwa kuongea mbele za watu,lakin mioyo yao Ni tofaut kabisa
 
Nguvu ya mbususu ni kubwa kuliko unavyozani,yaan assume akuulize ukiwa tayar mshedede umeuingza ndani ya k utamjibu vibaya harafu uuchomoe mshedede wako uondoke?? Acha kujimwambafai mkuu
 
Mmmmmh sijafikia huko[emoji16]
 
Hiyo inwezekana vp?

Typical mwanaume akichepuka na mke wa mtu hana mda wa kuuliza hayo maswali

Typical mwanaume akiisaliti ndo yake Kwa kutembea na mchepuko hamrusuh huyo mchepuko kuizungumzia familia yake iwe Kwa mazuri au mabaya
Huna uelewa mzuri kuhusu tabia za watu!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Huu ni uongo kabsa
 
[emoji23][emoji23] mi huwa nawapa hela tuu kupunguza maswali!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…