Mchepuko Nimeunulia gari aina ya VX8 baada ya kulichoka kasema hakuna nilichomfanyia

AπŸ™πŸ™
 

Umeona uje field jf sio 🀣🀣🀣
 
Watu mnakumbukumbu Leo kazi ninayo vx8 imeniponza
 
Mtoe kwenye toyota
Mpe tena hata li Audi Q7 huko. Hakika atakurudia na shukurani.
Nilishajiapisha sitokuja tena kutumia nguvu nyingi kumfurahisha mwanamke.

Kumbe unavyozidi kujitutumua ndivyo hadhi yako inashuka kwake na kukuona siyo kitu.

Wanawake hawapendi hukurumiwa.

Hata kwenye mgegedo wanawake wanataka mwanaume ufanye rafu rafu tu.

Ngachoka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…