BEZO
JF-Expert Member
- Jul 15, 2023
- 1,770
- 4,449
Hao boda boda wakiwazalisha wanawaachia mali zipi??Dada yupo sahihi. Huyo jamaa wakati anachepuka uwezo wa kufikiri kabla ya kutenda ulikuwa wapi?
Ukichepuka ukazaa na mtoto hakikisha umemwachia mali huyo mtoto wako haram.