Mchepuko umenizalia 'Twins' kwa surprise

Heko kwako
 
Evi hakuna mifano mingine kila kitu wachaga mbona Ni watu wakawaida sana
 
Vumilia jipange kulea maana hakuna situation ukaijeuza hapo,
 
Scientifically IQ ya mtu haitokani na genetics,IQ ya mtu ni malezi na mazingira aliyokulia,hakuna uhusiano kati ya iq na genetics.
Ni science gani hiyo uliyosoma ndugu , hakuna kitu kama hicho, nenda Israel utajua kwamba IQ hurithishwa toka kizazi mpaka kizazi via genetics za wazazi
 
Vijana watapata matunzo 'first class'.
Tunaangalia matunzo zaidi, ila malezi bora, ikiwamo mfano wa familia ya kikristu, wa baba, mama na watoto ndani ya nyumba hatuangalii!
 
Mkuu mzee wa kanisa...yaani miezi 9 ya mimba...alafu unasema hao watoto...Ni Surprise?..
Yaaani Umepata Mshangao wa watoto mapacha...
[emoji125][emoji125][emoji125]....Kerege wakufukuze TU...
 
usitungize wachaga kwenye ujinga wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…