Nrangoo
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 3,407
- 5,418
wewe ni mzigo , mpelekee mkeo hao mapacha acha kulialia hapa JF hamna wa kukusaidiaPambana kivyako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe ni mzigo , mpelekee mkeo hao mapacha acha kulialia hapa JF hamna wa kukusaidiaPambana kivyako
dah.braza mambo ya newton tenaHuenda hata hao watoto uliozaa na wife wako, pia nao ni watoto wa mchepuko wa Wife wako,
Every action has an equal opposite reaction.
Heko kwakoKama mjuavyo makazi ni Kerege Sasa kutokana na umbali kwenda kazini (Posta mpya CBD) nikaja kupanga chumba tena kimoja maeneo ya Kinondoni Studio.
Basi, nikapata mchepuko wa kupunguza ashki katikati ya wiki (huku na kule) akanasa mimba. Sasa kajifungua Jana (Jumapili) nikawa nipo na wife Kerege sikuweza kwenda kuwaona hospitali.
Alfajiri leo (Jumatatu) nikawahi Kairuki Hospitali nikiwa njiani Mzazi mwenzangu (mchepuko) akatuma text ana surprise yangu namuuliza nini? Hajibu, ile nafika hospitali nakuta manesi wameniandalia kiti kabisa cha kukaa.
Aisee dakika 2 baadae naletewa mapacha (nimefanana nao hatari) niwabebe na picha nikapigwa toka saa 12 asubuhi nimeduwaa siamini kilichotokea.
Nawaza mengi nahitaji msaada wa kisaikolojia ndugu zangu. Hii Hali sikuitegemea.
NB: Usharikani Kerege ni mzee wa Kanisa sijui Mchungaji akijua itakuaje?
Halafu kumbe ameongeza gharama maradufu....hahahahaha.....ama kweli mipango si matumizi!!Afadhali usingehamia Kerege maana dhumuni la mchakato mzima ilikuwa ni kuokoa gharama.
SikubalianiScientifically IQ ya mtu haitokani na genetics,IQ ya mtu ni malezi na mazingira aliyokulia,hakuna uhusiano kati ya iq na genetics.
Evi hakuna mifano mingine kila kitu wachaga mbona Ni watu wakawaida sanaHongera mkuu.
Kuchanganya damu ni nzuri kwa ustwari wa akili za watoto.
Tuige mfano kwa wenzetu wachaga wao unakuta mama anaona watoto wa mume ni wazito sana.
Anaamua kuchanganya na mushi ili kupata watoto wenye IQ kubwa zaidi hii ni nzuri sana.
Nadhani usubiri muda ukwende ukamtambulishe mkeo .
Binafsi sinaga uwoga kwenye maisha na kwa upande wangu hili ni jambo jepesi sana.
Hongera sana .
Vumilia jipange kulea maana hakuna situation ukaijeuza hapo,Kama mjuavyo makazi ni Kerege Sasa kutokana na umbali kwenda kazini (Posta mpya CBD) nikaja kupanga chumba tena kimoja maeneo ya Kinondoni Studio.
Basi, nikapata mchepuko wa kupunguza ashki katikati ya wiki (huku na kule) akanasa mimba. Sasa kajifungua Jana (Jumapili) nikawa nipo na wife Kerege sikuweza kwenda kuwaona hospitali.
Alfajiri leo (Jumatatu) nikawahi Kairuki Hospitali nikiwa njiani Mzazi mwenzangu (mchepuko) akatuma text ana surprise yangu namuuliza nini? Hajibu, ile nafika hospitali nakuta manesi wameniandalia kiti kabisa cha kukaa.
Aisee dakika 2 baadae naletewa mapacha (nimefanana nao hatari) niwabebe na picha nikapigwa toka saa 12 asubuhi nimeduwaa siamini kilichotokea.
Nawaza mengi nahitaji msaada wa kisaikolojia ndugu zangu. Hii Hali sikuitegemea.
NB: Usharikani Kerege ni mzee wa Kanisa sijui Mchungaji akijua itakuaje?
Hata mama yako naye?Mke ndio Nini? Takataka tu
Ni science gani hiyo uliyosoma ndugu , hakuna kitu kama hicho, nenda Israel utajua kwamba IQ hurithishwa toka kizazi mpaka kizazi via genetics za wazaziScientifically IQ ya mtu haitokani na genetics,IQ ya mtu ni malezi na mazingira aliyokulia,hakuna uhusiano kati ya iq na genetics.
Tunaangalia matunzo zaidi, ila malezi bora, ikiwamo mfano wa familia ya kikristu, wa baba, mama na watoto ndani ya nyumba hatuangalii!Vijana watapata matunzo 'first class'.
Si uni tag tuNitajulikana[emoji23][emoji23]
Sitaki ukooo b...m[emoji23][emoji23][emoji23][emoji126][emoji126][emoji126]Si uni tag tu
usitungize wachaga kwenye ujinga wako.Hongera mkuu.
Kuchanganya damu ni nzuri kwa ustwari wa akili za watoto.
Tuige mfano kwa wenzetu wachaga wao unakuta mama anaona watoto wa mume ni wazito sana.
Anaamua kuchanganya na mushi ili kupata watoto wenye IQ kubwa zaidi hii ni nzuri sana.
Nadhani usubiri muda ukwende ukamtambulishe mkeo .
Binafsi sinaga uwoga kwenye maisha na kwa upande wangu hili ni jambo jepesi sana.
Hongera sana .
Mama na mke Ni sawa?Hata mama yako naye?