Naomba tuakate ubishi kirahiiiisi,tujitambulishe na tuulizane maswali tutaona karateka domo ni nani,haya na wewe bwata sasa.. et na wewe unajua karate. em nenda kaharishe huko .hata wanajua hawapo kubishana hapa shwain
Mwabeja sana...ngoja niweke stance ya Kupiga pigo mola la wurakeni...Yap yap, turekebishe kidogo,:- Jordan tsuki, chudan tsuki, gedan tsuki, mawash tsuki, tet sui , gyaku ken tsuki,
Na ndicho kilichotokea kwa Marehemu Jimmy castro na Zero walianzia kutambiana mitaani wakaamua wakayamalize jukwaani .bahati mbaya sana organizer wote walikuwa ni mashabiki hakuna aliyefikiria madhara yatakayo tokea tena nakumbuka kwenye vile vichapo alikuwepo mzee makwaia wa kuhenga kama mgeni rasmi pale ddc magomeni kondoa .Karate ni mchezo hatari sana na kimsingi huwa hauna mapambano ya jukwaani,
Watu hawajui wanaongea nn,
Labda makarateka waamue kufanya igizo tu,
Sasa mchezo km shotokan unawapambanishaje watu ulingoni,ukiwapambanisha jiandae watu kuumizana na hata vilema na kuuana,
Hebu jenga picha ya pressure points anazofundishwa mtu ili kuua kabsa ama kuumiza vibaya zitumike jukwaani effectively unadhani patatokea nn,
Huwa kuna mashindano ya kata,kion,comb,labda na sparling,na free ju kumite,
Lkn si mapambano ya kutumia kila kitu kila sehemu 100%free lazima italeta shida,kumbuka mchezo huu wa shotokan karate do ulianzishwa kwa dhamira ya kujilinda
Yap, uko sawa kabisa, sulemani kumcha na Abdalah Mkamba walikuwa wakitikisa Musoma na Mwanza.Yap bila kumsahau selemani kumcha
Yap, uko sawa kabisa, sulemani kumcha na Abdalah Mkamba walikuwa wakitikisa Musoma na Mwanza.Yap bila kumsahau selemani kumcha
Yap, uko sawa kabisa, sulemani kumcha na Abdalah Mkamba walikuwa wakitikisa Musoma na Mwanza.Yap bila kumsahau selemani kumcha
Luckily but sadly nilihudhuria mapambano yote mawili nilikuwa team Zero na Khalifa !tena nakumbuka Khalifa alihudhuria tu pambano la castro na zero .baada ya castro kumfanyia humiliating defeat zero akaanza kutamba na kutusi team zero ndio Khalifa kwa uchungu akampa challenge castro na castro akakubali kichapo kukawa na sherehe kubwa manzese darajani na ilala pia huzuni manzese uzuri kwa castro.Mkuu inafaa kufatilia karate ni mchezo wa aina gani. Hakuna mcheza karate anaeweza kupigwa na mtu asie mtaalam wa ngumi mtaani. Ndo maana kukaanzishwa kick boxer. Kwa kua ili karate iwe mchezo wa jukwaani inabidi uwekewe sheria nyingi sana. Watu kadhaa walipoteza maisha kutokana na mchezo huu. Tanzania kulikua na master zero ambae alifariki kutokana na madhara aliyoyapata baada ya pambano na jimmy Castro. Kuna Jimmy Castro alifariki baada ya kupata madhara ya pambano na Khalifa kiumbe moto. Ndo ikakatazwa kupigana karate kama karate. Ni kick boxer Au karate iwe kama maonyesho
Yule mzee verry respected!Na yule bingwa alikuwa anaitwa Mawala black belt 3rd DAN enzi zile pale YMCA DAR bado yupo?
Santana died like 4 yrs ago! Yule alikuwa rogue karateka hata wanafunzi wake walikuwa watata sana!Hivi Santana bado yuko?
Akina sempai Gola
Mkuu hawajulikani humu tu lakini huko mitaani ni full respect!ila kitaifa hapana .Ila inasikitisha sana kua mtu kama Kiumbe moto na watu kama hao leo hawajulikani na mtu anaweza kuja kuongea atakavyo juu yao. Ilikua tuwape heshima. Tuwaenzi[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Krav maga u need to be real quick and precisely !moves zake ziko tight cordinated kwa full effect na iko very effective kwa wale vibaka wana ambush watu ovyo!Pale huwa huwa hatu defend bt ni
ku eliminate the threat
Tafuta krav maga
Nakubaliana na wewe kuna jamaa yangu alikaa china miaka 15 anaijua kung fu na aliwahi kuniambia kuna dawa huwa wanatumia mfano za kupaaMkuu karate ni mchezo wa kijapani ambao unahusisha miondoko kadha wa kadha ya mikono katika kujilinda na kushambulia.
Judo nao ni mchezo wa kijapani ambao upo kama sumo ila huu una husisha kupigana lock, kuangusha angusha ni kama mieleka fulani hivi.
Kung fu - Huu ndio mchezo wa wanaume sasa asili yake ni China.
Kimuonekano ni soft sana lakini impact yake ni devastating.
Kwenye Kung fu ndio Unakuta forms aina mbali mbali kama shaolin ambapo ndani yake kuna michezo kama Snake, eagle claw, tiger claw, crane, mantis, monkey etc
Pia kwenye Kung fu inategemeana na mchezo wa sehemu na sehemu, koo na koo etc ndio maana kuna michezo kama drunken dragon (my favorite), Wing Chun (my favorite), Wu-Shu etc.
ambayo ilianzishwa na tamaduni za watu fulani.
Na mtu alie iva vizuri kwenye Kung fu karate na michezo mingine yote hawawezi kufua dafu hapo.
Mtu alie cheza Kung fu yeye na mchezo wanakua kitu kimoja.
Na walio fanikiwa kwenda deep kuna hadi UCHAWI humo.
Mi nacheza mchezo wa hela .hata maadili ya michezo hii huyajui utabaki unachezesha miguu tu na viunoNaomba tuakate ubishi kirahiiiisi,tujitambulishe na tuulizane maswali tutaona karateka domo ni nani,
Mm nimecheza shotokan karate na Nina green belt nafukuzia blue,
Haya mwenzangu unacheza mchezo gani na upo level gani,
Tuanzie hapo kisha tuchimbe zaidi
Naona mkuu umeamua kunitajia jirani yangu kabisa(sensei ringo), sasa ana mwanae saivi kama hayuko china basi japani au bara europa anakinukinukisha kama vyoo vya baa ila hata me huu mchezo naupenda sana tatizo naogopa msamba tu ndo ugomvi wanguMkuu hawajulikani humu tu lakini huko mitaani ni full respect!ila kitaifa hapana .
Watu wa rika la khalifa wapo bado na madojo pori mitaani kuna mmoja yupo face book fikiri kiringo (usimchanganye na sensei ringo)huyu anapiga refresher kwa wakongwe wenzake waliostaafu, kama mzee ulipitia na unataka kujikumbusha mtafute !
Brother respect kwako sana.Krav maga u need to be real quick and precisely !moves zake ziko tight cordinated kwa full effect na iko very effective kwa wale vibaka wana ambush watu ovyo!
Kama umepitia martial art unaweza kujifunza on you tube tutorial nomechukua some nasty moves nimezimaster sijapata wa kumtest ila kama meinkempf atakubali my challenge i will be happy !
Njooo na fact tena brother , nakuheshim hizi chaleng mnazopeana zinaweza hamasisha watu warudishe michezo ulingoni hata kama ni kibubu.....Napita nitarudi