Mcheza karate mahiri zaidi aliyetikisa mchezo wa karate Tanzania. Khalifa Kiumbe Moto (Chief Kiumbe)

Mcheza karate mahiri zaidi aliyetikisa mchezo wa karate Tanzania. Khalifa Kiumbe Moto (Chief Kiumbe)

haya na wewe bwata sasa.. et na wewe unajua karate. em nenda kaharishe huko .hata wanajua hawapo kubishana hapa shwain
Naomba tuakate ubishi kirahiiiisi,tujitambulishe na tuulizane maswali tutaona karateka domo ni nani,
Mm nimecheza shotokan karate na Nina green belt nafukuzia blue,
Haya mwenzangu unacheza mchezo gani na upo level gani,
Tuanzie hapo kisha tuchimbe zaidi
 
Karate ni mchezo hatari sana na kimsingi huwa hauna mapambano ya jukwaani,
Watu hawajui wanaongea nn,
Labda makarateka waamue kufanya igizo tu,
Sasa mchezo km shotokan unawapambanishaje watu ulingoni,ukiwapambanisha jiandae watu kuumizana na hata vilema na kuuana,
Hebu jenga picha ya pressure points anazofundishwa mtu ili kuua kabsa ama kuumiza vibaya zitumike jukwaani effectively unadhani patatokea nn,
Huwa kuna mashindano ya kata,kion,comb,labda na sparling,na free ju kumite,
Lkn si mapambano ya kutumia kila kitu kila sehemu 100%free lazima italeta shida,kumbuka mchezo huu wa shotokan karate do ulianzishwa kwa dhamira ya kujilinda
Na ndicho kilichotokea kwa Marehemu Jimmy castro na Zero walianzia kutambiana mitaani wakaamua wakayamalize jukwaani .bahati mbaya sana organizer wote walikuwa ni mashabiki hakuna aliyefikiria madhara yatakayo tokea tena nakumbuka kwenye vile vichapo alikuwepo mzee makwaia wa kuhenga kama mgeni rasmi pale ddc magomeni kondoa .
Ndio maana walioiva mchezo ule kukurushia ngumi utasubiri sana mpaka utaamua kumtia kidole ndio utakuwa umelikoroga mazima!
 
Mkuu inafaa kufatilia karate ni mchezo wa aina gani. Hakuna mcheza karate anaeweza kupigwa na mtu asie mtaalam wa ngumi mtaani. Ndo maana kukaanzishwa kick boxer. Kwa kua ili karate iwe mchezo wa jukwaani inabidi uwekewe sheria nyingi sana. Watu kadhaa walipoteza maisha kutokana na mchezo huu. Tanzania kulikua na master zero ambae alifariki kutokana na madhara aliyoyapata baada ya pambano na jimmy Castro. Kuna Jimmy Castro alifariki baada ya kupata madhara ya pambano na Khalifa kiumbe moto. Ndo ikakatazwa kupigana karate kama karate. Ni kick boxer Au karate iwe kama maonyesho
Luckily but sadly nilihudhuria mapambano yote mawili nilikuwa team Zero na Khalifa !tena nakumbuka Khalifa alihudhuria tu pambano la castro na zero .baada ya castro kumfanyia humiliating defeat zero akaanza kutamba na kutusi team zero ndio Khalifa kwa uchungu akampa challenge castro na castro akakubali kichapo kukawa na sherehe kubwa manzese darajani na ilala pia huzuni manzese uzuri kwa castro.
 
Ila inasikitisha sana kua mtu kama Kiumbe moto na watu kama hao leo hawajulikani na mtu anaweza kuja kuongea atakavyo juu yao. Ilikua tuwape heshima. Tuwaenzi[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Mkuu hawajulikani humu tu lakini huko mitaani ni full respect!ila kitaifa hapana .
Watu wa rika la khalifa wapo bado na madojo pori mitaani kuna mmoja yupo face book fikiri kiringo (usimchanganye na sensei ringo)huyu anapiga refresher kwa wakongwe wenzake waliostaafu, kama mzee ulipitia na unataka kujikumbusha mtafute !
 
Yupo jamaa mmoja huko Musoma anaitwa Tumaini Kisubo, hapa Tanzania hakuna wa kumfikia labda China
 
Pale huwa huwa hatu defend bt ni


ku eliminate the threat


Tafuta krav maga
Krav maga u need to be real quick and precisely !moves zake ziko tight cordinated kwa full effect na iko very effective kwa wale vibaka wana ambush watu ovyo!
Kama umepitia martial art unaweza kujifunza on you tube tutorial nomechukua some nasty moves nimezimaster sijapata wa kumtest ila kama meinkempf atakubali my challenge i will be happy !
 
Mkuu karate ni mchezo wa kijapani ambao unahusisha miondoko kadha wa kadha ya mikono katika kujilinda na kushambulia.
Judo nao ni mchezo wa kijapani ambao upo kama sumo ila huu una husisha kupigana lock, kuangusha angusha ni kama mieleka fulani hivi.

Kung fu - Huu ndio mchezo wa wanaume sasa asili yake ni China.
Kimuonekano ni soft sana lakini impact yake ni devastating.
Kwenye Kung fu ndio Unakuta forms aina mbali mbali kama shaolin ambapo ndani yake kuna michezo kama Snake, eagle claw, tiger claw, crane, mantis, monkey etc
Pia kwenye Kung fu inategemeana na mchezo wa sehemu na sehemu, koo na koo etc ndio maana kuna michezo kama drunken dragon (my favorite), Wing Chun (my favorite), Wu-Shu etc.
ambayo ilianzishwa na tamaduni za watu fulani.
Na mtu alie iva vizuri kwenye Kung fu karate na michezo mingine yote hawawezi kufua dafu hapo.
Mtu alie cheza Kung fu yeye na mchezo wanakua kitu kimoja.
Na walio fanikiwa kwenda deep kuna hadi UCHAWI humo.
Nakubaliana na wewe kuna jamaa yangu alikaa china miaka 15 anaijua kung fu na aliwahi kuniambia kuna dawa huwa wanatumia mfano za kupaa
 
Naomba tuakate ubishi kirahiiiisi,tujitambulishe na tuulizane maswali tutaona karateka domo ni nani,
Mm nimecheza shotokan karate na Nina green belt nafukuzia blue,
Haya mwenzangu unacheza mchezo gani na upo level gani,
Tuanzie hapo kisha tuchimbe zaidi
Mi nacheza mchezo wa hela .hata maadili ya michezo hii huyajui utabaki unachezesha miguu tu na viuno
 
Mkuu hawajulikani humu tu lakini huko mitaani ni full respect!ila kitaifa hapana .
Watu wa rika la khalifa wapo bado na madojo pori mitaani kuna mmoja yupo face book fikiri kiringo (usimchanganye na sensei ringo)huyu anapiga refresher kwa wakongwe wenzake waliostaafu, kama mzee ulipitia na unataka kujikumbusha mtafute !
Naona mkuu umeamua kunitajia jirani yangu kabisa(sensei ringo), sasa ana mwanae saivi kama hayuko china basi japani au bara europa anakinukinukisha kama vyoo vya baa ila hata me huu mchezo naupenda sana tatizo naogopa msamba tu ndo ugomvi wangu

Huu mchezo kwakifupi nauheshimu sana kwasababu nishawah shuhudia kakaangu akikalisha ffu 6 ila difwenda zilipojazana ikawa patashika nguo kuchanika

Salute kwa ambao mpo kwenye tasnia hiyo tayari.
 
Krav maga u need to be real quick and precisely !moves zake ziko tight cordinated kwa full effect na iko very effective kwa wale vibaka wana ambush watu ovyo!
Kama umepitia martial art unaweza kujifunza on you tube tutorial nomechukua some nasty moves nimezimaster sijapata wa kumtest ila kama meinkempf atakubali my challenge i will be happy !
Brother respect kwako sana.

Una jua martial art ni kama maji moto, ukiacha kuyachochoea yana poa.

Very impresed na nyie wakongwe , nimekubali facts na jinsi mlivyokuwa mnatoa details.

Una muda gani katika mchezo??

Mkanda sio ishu , zile dojo za mtaani zimetoa watu mafundi sana, sababu hiii michezo ni usahihi wa vitendo, nguvu, stamina na spid.


Academy nyingi sana wanazingua tofauti na zamani
 
Back
Top Bottom