Mchezaji kutokea Mkoani Kigoma akutana na Leonel Messi uso kwa uso uwanjani

Mchezaji kutokea Mkoani Kigoma akutana na Leonel Messi uso kwa uso uwanjani

Kigoma Region Tanzania

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2021
Posts
230
Reaction score
611
Huyu ndio Mwana Kigoma
Makali ya Bernad Kamungo yalianzia hapa katika uwanja huu wa Nyarugusu, kwenye ardhi ya mkoa wa Kigoma.

Alizaliwa January 1, 2002, Kasulu kijiji cha Nyarugusu.

366066065_682428273916908_7356563164060115375_n.jpg

...........
Hapa ni Kigoma Kasulu,
Huu ndio uwanja wa Nyarugusu ambapo makali ya Bernard Kamungo yalianzia hapa, kwasababu yeye alizaliwa hapa Kigoma, ni Mwana Kigoma.

350138034_1035061914141803_7216957065391501662_n.jpg

..........
Uwanja wa Nyarugusu Kasulu, uwanja uliomkuza na kumlea MwanaKigoma Bernard Kamungo.

TZ.png

................
Bernard Kamungo, namba 30 BHN
Hapa sasa alikua amefika Marekani kutokea Kigoma, Nyarugusu

18056754_187669838419401_9219360345841867318_n.jpg

................
Kwa mara ya kwanza Tanzania ikaanza kung'aa nchini Marekani kupitia michezo, Bernard Kamungo akaanza kuipeperusha bendera ya Tanzania na kugonga vichwa vya habari nchini Marekani. Huyu ni mwana Kigoma.

361948327_697321499109078_7140602956191950844_n.jpg

................
Wachezaji tisa wa Tanzania wanaocheza nje ya Nchi kwenye picha moja.

» Bernard Kamungo (jezi no 5)
'Mwenye bleach' kutoka katika klabu ya FC Dallas ya ligi kuu Nchini Marekani inakuwa mara yake ya kwanza kuitwa Taifastars
🇹🇿
. Mtoto wa Kigoma

354056574_671347988339336_8162706075171581653_n.jpg

..................

Bernard Kamungo (Mtoto wa Kigoma, shujaa wa Lake Tanganyika) akiwa na Mbwana Samata katika kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania.

366081985_704719948369233_6629445628442053460_n (1).jpg

..............
Huyu ndio mwanakigoma na Mshambuliaji wa Kimataifa wa timu ya Tanzania anayekipiga katika klabu ya FC Dallas inayoshiriki Ligi Kuu ya Marekani, Bernard Kamungo ameendelea kuwa gumzo kutokana na uwezo wake ambapo aliifungia timu yake goli katika sare ya 4-4 dhidi ya Inter Miami CF anayochezea Lionel Messi.

Kutoka kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu mkoani Kigoma alikocheza soka mtaani hadi kucheza soka nchini Marekani, safari yake inaonekana kama filamu ya michezo yenye mabonde na milima.

Kamungo alisajiliwa Dallas FC mwaka 2022 ambapo yeye na familia yake walihamia Texas, Marekani mwaka 2016.

Nyota huyo ameendelea kuwa na msimu mzuri ambapo Januari 2023 aliitwa katika kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania.

Kutoka kigoma Tanzania Hadi marekani na kuwa mfalme wa FC Dallas
Kutoka kucheza chandim Hadi kucheza na Lionel Andrés Messi, na kuonesha upinzani mkubwa walipokutana uwanjani.
Anaitwa Bernad Kamungo mshambuliaji wa FC Dallas na timu ya Taifa ya Tanzania.

363438878_312456977948250_7161363273452449725_n.jpg
 
Huyu ndio Mwana Kigoma
Makali ya Bernad Kamungo yalianzia hapa katika uwanja huu wa Nyarugusu, kwenye ardhi ya mkoa wa Kigoma.

Alizaliwa January 1, 2002, Kasulu kijiji cha Nyarugusu.

View attachment 2711820
...........
Hapa ni Kigoma Kasulu,
Huu ndio uwanja wa Nyarugusu ambapo makali ya Bernard Kamungo yalianzia hapa, kwasababu yeye alizaliwa hapa Kigoma, ni Mwana Kigoma.

View attachment 2711823
..........
Uwanja wa Nyarugusu Kasulu, uwanja uliomkuza na kumlea MwanaKigoma Bernard Kamungo.

View attachment 2711827
................
Bernard Kamungo, namba 30 BHN
Hapa sasa alikua amefika Marekani kutokea Kigoma, Nyarugusu

View attachment 2711830
................
Kwa mara ya kwanza Tanzania ikaanza kung'aa nchini Marekani kupitia michezo, Bernard Kamungo akaanza kuipeperusha bendera ya Tanzania na kugonga vichwa vya habari nchini Marekani. Huyu ni mwana Kigoma.

View attachment 2711832
................
Wachezaji tisa wa Tanzania wanaocheza nje ya Nchi kwenye picha moja.

» Bernard Kamungo (jezi no 5)
'Mwenye bleach' kutoka katika klabu ya FC Dallas ya ligi kuu Nchini Marekani inakuwa mara yake ya kwanza kuitwa Taifastars
🇹🇿
. Mtoto wa Kigoma

View attachment 2711834
..................

Bernard Kamungo (Mtoto wa Kigoma, shujaa wa Lake Tanganyika) akiwa na Mbwana Samata katika kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania.

View attachment 2711837
..............
Huyu ndio mwanakigoma na Mshambuliaji wa Kimataifa wa timu ya Tanzania anayekipiga katika klabu ya FC Dallas inayoshiriki Ligi Kuu ya Marekani, Bernard Kamungo ameendelea kuwa gumzo kutokana na uwezo wake ambapo aliifungia timu yake goli katika sare ya 4-4 dhidi ya Inter Miami CF anayochezea Lionel Messi.

Kutoka kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu mkoani Kigoma alikocheza soka mtaani hadi kucheza soka nchini Marekani, safari yake inaonekana kama filamu ya michezo yenye mabonde na milima.

Kamungo alisajiliwa Dallas FC mwaka 2022 ambapo yeye na familia yake walihamia Texas, Marekani mwaka 2016.

Nyota huyo ameendelea kuwa na msimu mzuri ambapo Januari 2023 aliitwa katika kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania.

Kutoka kigoma Tanzania Hadi marekani na kuwa mfalme wa FC Dallas
Kutoka kucheza chandim Hadi kucheza na Lionel Andrés Messi, na kuonesha upinzani mkubwa walipokutana uwanjani.
Anaitwa Bernad Kamungo mshambuliaji wa FC Dallas na timu ya Taifa ya Tanzania.

View attachment 2711841
Naona uliyeandika hapa utakuwa wa kigoma. Huyu Ni sifa za Taifa Zima Ila zingekuwa mbaya ndio zingekuwa za wanakigoma pekee kwenye uzuri ama sifa Ni Taifa Kama Taifa na sio kigoma Kama kigoma
 
Huyu ndio Mwana Kigoma
Makali ya Bernad Kamungo yalianzia hapa katika uwanja huu wa Nyarugusu, kwenye ardhi ya mkoa wa Kigoma.

Alizaliwa January 1, 2002, Kasulu kijiji cha Nyarugusu.

View attachment 2711820
...........
Hapa ni Kigoma Kasulu,
Huu ndio uwanja wa Nyarugusu ambapo makali ya Bernard Kamungo yalianzia hapa, kwasababu yeye alizaliwa hapa Kigoma, ni Mwana Kigoma.

View attachment 2711823
..........
Uwanja wa Nyarugusu Kasulu, uwanja uliomkuza na kumlea MwanaKigoma Bernard Kamungo.

View attachment 2711827
................
Bernard Kamungo, namba 30 BHN
Hapa sasa alikua amefika Marekani kutokea Kigoma, Nyarugusu

View attachment 2711830
................
Kwa mara ya kwanza Tanzania ikaanza kung'aa nchini Marekani kupitia michezo, Bernard Kamungo akaanza kuipeperusha bendera ya Tanzania na kugonga vichwa vya habari nchini Marekani. Huyu ni mwana Kigoma.

View attachment 2711832
................
Wachezaji tisa wa Tanzania wanaocheza nje ya Nchi kwenye picha moja.

» Bernard Kamungo (jezi no 5)
'Mwenye bleach' kutoka katika klabu ya FC Dallas ya ligi kuu Nchini Marekani inakuwa mara yake ya kwanza kuitwa Taifastars
🇹🇿
. Mtoto wa Kigoma

View attachment 2711834
..................

Bernard Kamungo (Mtoto wa Kigoma, shujaa wa Lake Tanganyika) akiwa na Mbwana Samata katika kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania.

View attachment 2711837
..............
Huyu ndio mwanakigoma na Mshambuliaji wa Kimataifa wa timu ya Tanzania anayekipiga katika klabu ya FC Dallas inayoshiriki Ligi Kuu ya Marekani, Bernard Kamungo ameendelea kuwa gumzo kutokana na uwezo wake ambapo aliifungia timu yake goli katika sare ya 4-4 dhidi ya Inter Miami CF anayochezea Lionel Messi.

Kutoka kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu mkoani Kigoma alikocheza soka mtaani hadi kucheza soka nchini Marekani, safari yake inaonekana kama filamu ya michezo yenye mabonde na milima.

Kamungo alisajiliwa Dallas FC mwaka 2022 ambapo yeye na familia yake walihamia Texas, Marekani mwaka 2016.

Nyota huyo ameendelea kuwa na msimu mzuri ambapo Januari 2023 aliitwa katika kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania.

Kutoka kigoma Tanzania Hadi marekani na kuwa mfalme wa FC Dallas
Kutoka kucheza chandim Hadi kucheza na Lionel Andrés Messi, na kuonesha upinzani mkubwa walipokutana uwanjani.
Anaitwa Bernad Kamungo mshambuliaji wa FC Dallas na timu ya Taifa ya Tanzania.

View attachment 2711841
Sawa Mugabo.. tumekuelewa
 
Anatuwakilisha vyema kijana,hongera kwake...
 
Waafrika wengi wakipata namna ya kufika huko wataenda wengi, tuna wachezaji wengi wazuri, na wengi hawajui wapi pa kuanzia ili waweze kufika mbali. Ni vizuri kuwepo na wakala watakaokuwa wanachukua wanamichezo wenye vipaji, na kuwafanikishia ndoto zao.​
 
Wanakigoma vipi? Mtu kazaliwa Kambi ya wakimbizi hebu fanya kufafanua vizuri ni Raia wa Nchi gani kama ni Mrundi au bana Congolese tujue
 
Hongera nyingi kwake. Natamani kumuona aking'ara pia kwenye timu ya Taifa. Maana ndiyo kwanza nimemsikia leo.
 
Nyarugusu ni Kambi ya Wakimbizi ipo Makere,Wilaya ya Kasulu.Kinachotokea ni kwamba mitaani hasa pale Makere ambako Kambi ipo kumejaa Wakongo na Warundi ambao wamehama Kambini na wanaishi mitaani walikopanga na wanaendelea na maisha yao.Kama alihamia Marekani basi ni wale wanaopelekwaga huko nje kupitia msaada wa Shirika la Kimarekani la IOM
 
Naona uliyeandika hapa utakuwa wa kigoma. Huyu Ni sifa za Taifa Zima Ila zingekuwa mbaya ndio zingekuwa za wanakigoma pekee kwenye uzuri ama sifa Ni Taifa Kama Taifa na sio kigoma Kama kigoma
Mwandishi wa hii mada ni useless in GENTAMYCINE voice yeye kaona KIGOMA ni NCHI kumbe Kigoma ni MKOA mboni M.A.Samatta watu wa Mbagara hawajipigii chapuo kua ni Mwana Mbagara sijui fyokofyokofyokonyoko
 
Back
Top Bottom