Mchezaji mpira maarufu Senegal Sadio Mane afunga ndoa na mchumba wake, binti wa miaka 18

Mchezaji mpira maarufu Senegal Sadio Mane afunga ndoa na mchumba wake, binti wa miaka 18

Mchezaji mpira maarufu Sadio Mane juzi amefunga ndoa na mchumba wake. Binti mdogo mwenye umri Mwenye umri wa miaka 18

mwamba ameamua kuoa dogo dogo kuwahi bikira kabisa kabla wahuni hawajaitoa.

Cha kushangaza wanasema ni long time girl friend wake. Nawaza tu mahusiano walianza binti akiwa na miaka mingapi ?
Kwani sheria (hata Tanzania) inazuia urafiki wa mwanamme na msichana mwenye miaka chini ya 18? Au neno urafiki ndilo lililokuchanganya? Hujui kuna urafiki bila kufanya mapenzi?
 
Mchezaji mpira maarufu Sadio Mane juzi amefunga ndoa na mchumba wake. Binti mdogo Mwenye umri wa miaka 18

mwamba ameamua kuoa dogo dogo kuwahi bikira kabisa kabla wahuni hawajaitoa.

Cha kushangaza wanasema ni long time girl friend wake. Nawaza tu mahusiano walianza binti akiwa na miaka mingapi ?
Unawaza ngono

Sadio I aired patiently
 
Mchezaji mpira maarufu Sadio Mane juzi amefunga ndoa na mchumba wake. Binti mdogo Mwenye umri wa miaka 18

mwamba ameamua kuoa dogo dogo kuwahi bikira kabisa kabla wahuni hawajaitoa.

Cha kushangaza wanasema ni long time girl friend wake. Nawaza tu mahusiano walianza binti akiwa na miaka mingapi ?
Ha ha hapo penye long time
Ila inawezekana Mzee.
huwa inatokea sana mbona,,,,,, unakuta kuna katoto umekaacha Miaka kadhaa pengine unakaona kama kadogo Kako.....ila kenyewe kanakukubali hakasikii hili Wala Lile.....
mwanzoni unaweza chukulia poa tu ila muda unavyokwenda unaweza jikuta "hakuna mkate mgumu" from no weaaaa mnajikuta status imebadilka na maisha yanaendelea ....

Upo wap bint M..........aaaaah hakika nimekukumbuka sana .........tuliamini siku Moja ningekua kama sadio mane na wewe uwe kama mchumba wa sadio ila haikuwa hivyo.......muda uliamua yote ........ Ila popote ulipo lolote likupate........nimeshaoa kwa sasa mwingine Pambana na Hali Yako.
 
Back
Top Bottom