macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Kwani sheria (hata Tanzania) inazuia urafiki wa mwanamme na msichana mwenye miaka chini ya 18? Au neno urafiki ndilo lililokuchanganya? Hujui kuna urafiki bila kufanya mapenzi?Mchezaji mpira maarufu Sadio Mane juzi amefunga ndoa na mchumba wake. Binti mdogo mwenye umri Mwenye umri wa miaka 18
mwamba ameamua kuoa dogo dogo kuwahi bikira kabisa kabla wahuni hawajaitoa.
Cha kushangaza wanasema ni long time girl friend wake. Nawaza tu mahusiano walianza binti akiwa na miaka mingapi ?
Unawaza ngonoMchezaji mpira maarufu Sadio Mane juzi amefunga ndoa na mchumba wake. Binti mdogo Mwenye umri wa miaka 18
mwamba ameamua kuoa dogo dogo kuwahi bikira kabisa kabla wahuni hawajaitoa.
Cha kushangaza wanasema ni long time girl friend wake. Nawaza tu mahusiano walianza binti akiwa na miaka mingapi ?
Watu wamekariri 18Age of consent in Senegal is 16 years old
Sijazungumzia humu, nimezungumzia kuanzia huko kwenye media. Ukisoma picha aliyoweka mleta mada, nao wameweka suala la umri. Yaan ni mazingira kwamba hii ishu ya umri ndio iwe mada.Kwenye habari media zinaandika umri wa binti.. habari hii humu imeletwa kutoka kwenye media zingine
Ha ha hapo penye long timeMchezaji mpira maarufu Sadio Mane juzi amefunga ndoa na mchumba wake. Binti mdogo Mwenye umri wa miaka 18
mwamba ameamua kuoa dogo dogo kuwahi bikira kabisa kabla wahuni hawajaitoa.
Cha kushangaza wanasema ni long time girl friend wake. Nawaza tu mahusiano walianza binti akiwa na miaka mingapi ?
Alishtuka wazungu wajasiriamali
Pisi za kisenegal sio mchezo ziliwah kuja kipind niko home arusha sio mchezo zilikuja kutalii18 sawa kabisa ila Binti ni mrembo aise
Akuangalie nani sasa bro.....View attachment 2866703Hivi Kama huna hela upo Pumbu na Ngai KE anaweza kukuangalia kihivi kweli ?
Ndiye huyu aisee.MaashAllah! Wanapendeza
Natumai huyu ndio yule Sadio alisema atakuwa Mchamungu na mwenye hofu ya Mungu.
Wamefanya sunna njema, ikawe kheri.
View attachment 2866703Hivi Kama huna hela upo Pumbu na Ngai KE anaweza kukuangalia kihivi kweli ?
Ati nini? Pungu na ngai 🤣🤣🤣🤣🤣 wee umenivubja mbavuView attachment 2866703Hivi Kama huna hela upo Pumbu na Ngai KE anaweza kukuangalia kihivi kweli ?