Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Class class my foot...nyie semeni mlibahatisha tuu ila sio kwamba ndo mliwatolea hela unayosema ww...Class ya wachezaji wa yanga uwezi kulinganisha na wachezaji wa Simba ata siku Moja,,kushuka kwa viwango vyao akuondoi class waliyonayo ulijue hilo,,nitajie wachezaji wenu ata watano Wenye class kama wachezaji wa yanga!
Mpira ni biashara na biashara ni vita. Pamoja na urafiki lazima kuwe na mipaka ili uaminifu na weledi wa kazi ubaki. Maisha yana sheria zake ukijizima data utaumia.Ama kweli umbumbumbuni Kuna ma Mbumbumbu. Kama hufahamu maisha ya wachezaji na makocha ni ya kawaida kabisa na nitofauti na ushabiki wenu wa kishamba na chuki.
Wachezaji haijalishi mambo yenu ya timu pinzani, wao upinzani wao ni uwanjani tu na ndio maana mechi iki isha bila kujali Matokeo wanapongezana.
Na wanamaisha ya ukaribu Sana kuliko mashabiki.
Ni mchezaji wa Orlando Pirates kuna tetesi kuwa anakuja kucheza Simba kwa Mkopo, na dili limebakisha asilimia ndogo kukamilika, so huyo ni uhakika kuja dirisha dogo labda itokee vinginevyoKimvuidi ndo nani bi dada...
Tulibahatisha kwani nyie mlikuwa vipofu kubahatisha? Kila msimu mnakuwa vipofu tu uoni mna shida mahala? 80% ya wachezaji wanaosajiliwa yanga wanaclick, wanaoferi ni wachache,,na ndio maana wakafanya vizuri misimu 3 mtawalia,,nyie mlikuwa mmelala ama? Si mlikuwa mnasajili? Baada ya hapo mafanikio yenu yalikuwaje?Class class my foot...nyie semeni mlibahatisha tuu ila sio kwamba ndo mliwatolea hela unayosema ww...
Mchezaji expensive hapo kwn ni azizi..haya nambie mwingine..hao wengine viranga vyenu na mihemko kuwasajili eti kuikomoa simba...bado hamjamaliza madeni..mtakufa na madeni nyie...
Nimekuuliza na wakina mutale pia Wana urafiki na wachezaji wa yanga?Sasa kama hamna point umechangia kwa misingi gani?
Kwa hiyo unalazimisha kisa nimemtaja Ahoua, wengine woote niwataje humo humo? Kichwa gani hiko unachotumia?Nimekuuliza na wakina mutale pia Wana urafiki na wachezaji wa yanga?
Hebu huko wanaclick nini?? Mmesajili miaka mingapi?.si ndo hawahawa mliobahatisha misimu hii 3 wamecheza mpk wamejizeekea..haya kama wameclick basi ndo kama hao mliowachukua kutoka simba naona wameclick...mmesajli misajili mingi mibovuu...boka,mmesajili kina nani walw hata kucheza hawakucheza..kina okra..na wengine nimewashau..Tulibahatisha kwani nyie mlikuwa vipofu kubahatisha? Kila msimu mnakuwa vipofu tu uoni mna shida mahala? 80% ya wachezaji wanaosajiliwa yanga wanaclick, wanaoferi ni wachache,,na ndio maana wakafanya vizuri misimu 3 mtawalia,,nyie mlikuwa mmelala ama? Si mlikuwa mnasajili? Baada ya hapo mafanikio yenu yalikuwaje?
Jamaa analewa sana na akina pacome nilimuonaga havoc night spot masaki akipata kitu paleKumbe ana hang out daily...
Awekwe benchi
Uliangalia mpira au ulisimuliwa. Ngoma ni Kati ya wachezaji ealioonyesha kiwango kizuri mechi ya Jana Ila Ahoua na Kibu hawakujua kwanini wamepangwaYani unawaacha Mavambo na Mukwala nje unaanza na Ngoma na Ahoua wakati ile timu ndio inaonekana tishio kuliko zote kwenye kundi letu tena wako kwao, simba bado inahitaji maboresho ya kikosi wasibweteke kama majirani zao kujiona walishamaliza kusajili na wana kikosi kipana laiti kama dili la kina Foday Trawally, Abdelhay Forsy, Philippe Kinzumbi na Jonathan Alukwu lingetiki basi baada ya dirisha dogo simba ingekuwa moto wa kuotea mbali, ila wacha tuone kina Mpanzu na Kimvuidi watakuwa na nini cha kuoffer hapo msimbazi
Nilishawahi kusema Simba ichukue sana tahadhari na wachezaji wa Congo. Wameonyesha si wa kuwategemea sana hasa baada ya msimu 1 au 2 wakishaonyesha uwezo. Na kama ameshachezea Pirates kwenye CAFCL, sheria za CAF hazitambana akiingia Simba hili dirisha dogo ili kucheza CAFCC?Ni mchezaji wa Orlando Pirates kuna tetesi kuwa anakuja kucheza Simba kwa Mkopo, na dili limebakisha asilimia ndogo kukamilika, so huyo ni uhakika kuja dirisha dogo labda itokee vinginevyo
Mkuu Ngoma yuko vizuri ila kwa jana hakustahili kuchezeshwa Namba sitaUliangalia mpira au ulisimuliwa. Ngoma ni Kati ya wachezaji ealioonyesha kiwango kizuri mechi ya Jana Ila Ahoua na Kibu hawakujua kwanini wamepangwa
Namba sita alikuwa yule mnigeriaMkuu Ngoma yuko vizuri ila kwa jana hakustahili kuchezeshwa Namba sita
Kumbe kweli basi umesema ww mtani mzee wa bata basiiii...akae benchi kwa msisitizo..na kina pacome si washkaji zake kutoka Ivorycoast?Jamaa analewa sana na akina pacome nilimuonaga havoc night spot masaki akipata kitu pale
Jamaa analewa sana na akina pacome nilimuonaga havoc night spot masaki akipata kitu pale
Angefanya hivyo mwishoni mwa msimu kwenye break labda kwa mbaaaali ningekubali ila katikati ya msimu uko vitani unaenda kulewa na washindani wako?Kumbe kweli basi umesema ww mtani mzee wa bata basiiii...akae benchi kwa msisitizo..na kina pacome si washkaji zake kutoka Ivorycoast?
Ndio ni mwenzie yule wanatoka ivorycoast haoKumbe kweli basi umesema ww mtani mzee wa bata basiiii...akae benchi kwa msisitizo..na kina pacome si washkaji zake kutoka Ivorycoast?
Kwangu mimi shida ni kocha,alianza na Chasambi,akaja Kwa Ngoma sasa amehamia Kwa Awesu,rotation zake and muda wa kufanya sub haviendani hata kidogo alianza vzr hata sub zilikua sinaeleweka sasa amelewa sifa hata haoni sijajua amechoka kwakua ukifanya kitu mfululizo akili inachokaNakumbuka mwanzoni mwa msimu huu nilipongeza usajili mzuri waliofanya Simba ila nikatoa angalizo moja kuwa wachezaji wa Simba wapigwe marufuku kuzoeana na wachezaji wa Yanga nje ya uwanja.
Naelewa hawa wachezaji wana maisha nje ya uwanja na naelewa pia wengine wana historia zinazoingiliana kwa hiyo mahusiano nje ya uwanja hayaepukiki, ila ni vizuri tukajua uhalisia wa mpira wetu na tuambiane ukweli.
Nakumbuka kushangaa Aubin Kramo kuendeleza ukaribu na kina Yao na Pacome kiasi kwamba alikuwa anaenda hadi airport kumpokea Pacome. Mwisho wa siku wote tunajua story yake.
Huyu Ahoua naye siku zake pale Simba zinahesabika. Nasikia naye anaendeleza ukaribu na wachezaji hao hao wa Yanga. Nadhani viongozi wa Simba hawakuona haja ya kumpa mwongozo ila athari zake tunaziona sasa. Kocha Fadlu naye akiendeleza kumkumbatia ataondoka yeye kwanza halafu huyo Ahoua atamfuata.
Ifike wakati tuambiane ukweli wanasimba. Kuwa na mchezaji kama huyu uwanjani ni kujikaba wenyewe. Ni kuwapa pressure mabeki wako kwa dakika 90 maana mnakuwa siyo tishio kule mbele. Mwisho wa siku kina Ateba wanaonekana butu kumbe hawalishwi nafasi zozote za maana.
NYONGEZA: Pamoja na kwamba tunasema kocha asiingiliwe ila naye ni binadamu. Anaweza kuleta chuki binafsi katika kazi ikamfanya aharibu timu kwa kuwapiga pini wachezaji au kuwabeba wasiostahili. Yuko wapi Karabaka mchezaji aliyethibitisha ana bahati ya kufunga? Mbona Awesu hapangwi katika mechi anazoonekana kabisa anaweza kusaidia?
Wamejizeekea na kipigo umepigwa cha mbwa Koko mara 4 mfululizo,,utasema unayo timu wewe? Tokea muanze kusajili mmefanikiwa kwa wachezaji wangapi tuanzie hapo? Usajili Bora unaendana na mafanikio uwanjani sasa wewe misimu 3 yote unaishia patupu,,unaambulia nafasi ya 3 kucheza kikombe cha rede,,unaenda kusajili unaleta kina mutale na ahou eti ni vijana wa kusikilizia kama unga wa ngano,,ata kwa yanga hii iliyopunguza makali nitajie ni wachezaji wangapi wa Simba wanaingia kikosi cha kwanza cha yanga?Hebu huko wanaclick nini?? Mmesajili miaka mingapi?.si ndo hawahawa mliobahatisha misimu hii 3 wamecheza mpk wamejizeekea..haya kama wameclick basi ndo kama hao mliowachukua kutoka simba naona wameclick...mmesajli misajili mingi mibovuu...boka,mmesajili kina nani walw hata kucheza hawakucheza..kina okra..na wengine nimewashau..
Sahihi kabisa, sub zake ziko random sana. Kuna mtu alisema labda ana mapungufu ya kusoma mchezo. Labda anahitaji sauti ya tatu kumshauri maana anaweza kuwa anapata upofu kutokana na mapenzi binafsi kwa baadhi ya wachezaji kutokana na ucheshi wao kwake nje ya uwanja. Hii ipo katika sehemu zote za kazi.Kwangu mimi shida ni kocha,alianza na Chasambi,akaja Kwa Ngoma sasa amehamia Kwa Awesu,rotation zake and muda wa kufanya sub haviendani hata kidogo alianza vzr hata sub zilikua sinaeleweka sasa amelewa sifa hata haoni sijajua amechoka kwakua ukifanya kitu mfululizo akili inachoka
Wewe ajenda yako ni ya kuchafua watu kutafuta kichaka cha huruma na kusingizia vitu ambavyo avipo,,unazunguka zunguka tu badala ya kuwa muwazi kuwa mmeferi kwenye usajili mmesajili wachezaji wa viwango vya kucheza mechi za wakina mtibwa sugar unaanza kutafuta mtu wa kumuangushia zigo,,Kwa hiyo unalazimisha kisa nimemtaja Ahoua, wengine woote niwataje humo humo? Kichwa gani hiko unachotumia?
Kwanza kama wewe una shida zako na hao wachezaji wengine ungeanzisha wewe uzi wako usilazimishe hoja zako watu wengine waziongelee.