Magwangala
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 2,836
- 2,138
Inawezekana wewe una umri mdogo kiasi hujui kuwa Simba wameshacheza fainali kombe la CAF na kucheza nusu fainali klabu bingwaNimekudharau kwa hoja zako mfu,,kwaiyo uwa mnafungwa na uchawi sio ubora? Kama uwa mnanunuliwa ili kuuza mechi basi inaonyesha ni kwa kiasi Gani amna viongozi Wala timu!! Kama yanga anawanunua kuanzia mhindi wenu mpaka mashabiki iyo ni hatari,,na wamewapiga mechi 4 mfululizo bado mmerizika tu kuendelea kuuza mechi zenu iyo si ni hatari!!
Kombe la looser ulishindwa ata kuvuka robo fainali ukaishia kuchoma moto uwanja wa watu,,Yani unapeleka ushirikina mpaka kwenye nchi za watu na bado ukatwangwa na kutupwa nje ya michuano,,kama unao ubavu na unaiamini timu yako fika fainali tuone waliyofika wenzako!