Mchezaji yupo tayari kucheza Yanga kwa mshahara mdogo kuliko uwezo wake ila anaifia timu, Kuna siri gani wanaitumia Yanga?

Mchezaji yupo tayari kucheza Yanga kwa mshahara mdogo kuliko uwezo wake ila anaifia timu, Kuna siri gani wanaitumia Yanga?

round kick

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2025
Posts
345
Reaction score
1,145
Kuna muda inakera sana unakuta wachezaji wa timu nyingine hawapo loyal na team zao, timu ikifungwa wanachukulia poa tu, wachezaji wanarogana ndani ya team, n.k.

Ukija upande wa Yanga hali ni tofauti, wachezaji wengi tumewaona wapo tayari kuifia uwanjani, wapo tayari kuvumilia kupigwa bench misimu nenda rudi kwa matumaini ya kuja kucheza, wapo tayari kulipwa kidogo ilimradi tu wacheze Yanga, wachezaji wana hisia kali sana timu inaposhinda au kufungwa.

Labda ndio maana Yanga hata iwe vibaya namna gani haijawahi kushuka zaidi ya nafasi ya tatu.

Kuna siri gani wanaitumia Yanga ?
 
Kuna muda inakera sana unakuta wachezaji wa timu nyingine hawapo loyal na team zao, timu ikifungwa wanachukulia poa tu, n.k.

Ukija upande wa Yanga hali ni tofauti, wachezaji wengi tumewaona wapo tayari kuifia uwanjani, wapo tayari kuvumilia kupigwa bench misimu nenda rudi kwa matumaini ya kuja kucheza, wapo tayari kulipwa kidogo ilimradi tu wauchezee Yanga

Labda ndio maana Yanga hata iwe vibaya namna gani haijawahi kushuka zaidi ya nafasi ya tatu.
🤭
 
Kuna muda inakera sana unakuta wachezaji wa timu nyingine hawapo loyal na team zao, timu ikifungwa wanachukulia poa tu, n.k.

Ukija upande wa Yanga hali ni tofauti, wachezaji wengi tumewaona wapo tayari kuifia uwanjani, wapo tayari kuvumilia kupigwa bench misimu nenda rudi kwa matumaini ya kuja kucheza, wapo tayari kulipwa kidogo ilimradi tu wacheze Yanga, wachezaji wana hisia kali sana timu inaposhinda au kufungwa.

Labda ndio maana Yanga hata iwe vibaya namna gani haijawahi kushuka zaidi ya nafasi ya tatu.
Yani kutoka sare na singida gate ndo mnaleta maneno ya uchochezi,je mgefungwa? Ligi bado sana bana
 
Siri ipo kwa uongozi na benchi la ufundi. Unapomtazama Mzize anapambana utadhani timu ya mjombaake ujue amekaa na engr Hersi akapatiwa maneno 'kuntu' yanayompa hamasa kubwa sana. Hata akiwa uwanjani akigeuka jukwaani anamwona Hersi yule pale! Unadhani ataacha kupambana? Kwa kifupi ukaribu wa uongozi wa timu na wachezaji ni jambo muhimu sana kwa team perfomance.Hata wewe ukiwa shule Headmaster akawa anakusimamia kazi fulani lazima utajituma tofauti ukiwa mwenyewe.
 
Siri ipo kwa uongozi na benchi la ufundi. Unapomtazama Mzize anapambana utadhani timu ya mjombaake ujue amekaa na engr Hersi akapatiwa maneno 'kuntu' yanayompa hamasa kubwa sana. Hata akiwa uwanjani akigeuka jukwaani anamwona Hersi yule pale! Unadhani ataacha kupambana? Kwa kifupi ukaribu wa uongozi wa timu na wachezaji ni jambo muhimu sana kwa team perfomance.Hata wewe ukiwa shule Headmaster akawa anakusimamia kazi fulani lazima utajituma tofauti ukiwa mwenyewe.
Huo upambanaji sikuuona walipocheza na MC Algiers. Walikuwa wanacheza kama wameshinda
 
Kosa alifanya kocha kutokana na ugeni wake, kumuweka Pacome bench na kumchezesha Musonda. Ni kosa la kimbinu si kosa la timu nzima
Hiyo ndio ikawafanya wengne wasipambane kisa pacome kaanzia benchi?
 
Siri ipo kwa uongozi na benchi la ufundi. Unapomtazama Mzize anapambana utadhani timu ya mjombaake ujue amekaa na engr Hersi akapatiwa maneno 'kuntu' yanayompa hamasa kubwa sana. Hata akiwa uwanjani akigeuka jukwaani anamwona Hersi yule pale! Unadhani ataacha kupambana? Kwa kifupi ukaribu wa uongozi wa timu na wachezaji ni jambo muhimu sana kwa team perfomance.Hata wewe ukiwa shule Headmaster akawa anakusimamia kazi fulani lazima utajituma tofauti ukiwa mwenyewe.
Thread closed

Umemaliza Kila kitu

Ni hivi .....Yanga wanatumia modern management tactics ambapo wanatumia kitu inaitwa " MBO ...( Management by objectives)

Ambapo Kuna kuwa na clear supervision of top management (eng hersi na makamu wake ). So hii inafanya timu iwe kama family Kila mtu anajua president ananiona

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Musonda siyo machezaji halali anayelipwa mshahara na Yanga?
Wachezaji wote wako sawa, na ukizama kwa kina hapo utopoloni utakuta huyo Musonda unayemuona uchochoro analipwa hela ndefu kuliko mzize anaye kinukisha.
Kinachomfanya Mzize avumilie mshahara kiduchu yanga ni historia yake.
Mwendesha boda boda anayepata faida alfu 10 kwa siku pamoja misukosuko ya kukoswa koswa kugongwa, ukipata mshahara wa sh milioni 2 kwa mwezi hiyo ni hatua.
Mzize asifanye maamuzi kwa kukulupuka, mtaani pagumu sana.
 
Hiyo ndio ikawafanya wengne wasipambane kisa pacome kaanzia benchi?
Timu ni muunganiko, mmoja akikosekana kuna kitu kinapungua kwa timu nzima, Pacome hufungua makufuli na Musonda anaingia ndani, kukosekana Pacome was a big mistake maana ndie huanzisha mashambulizi toka katikati , ngoja kwenye derby utamfahamu vizuri Pacome ana kazi gani uwanjani, naona penati mbili za Yanga kwenye derby, tena kipindi cha kwanza Yanga 3 kolo 0 na mbio zenu za ubingwa zitaishia hapo 8/3
 
Yanga na Simba ni brand builtfor many years kama coca cola ama chai ya pale KT SHOP..
 
Kuna muda inakera sana unakuta wachezaji wa timu nyingine hawapo loyal na team zao, timu ikifungwa wanachukulia poa tu, wachezaji wanarogana ndani ya team, n.k.

Ukija upande wa Yanga hali ni tofauti, wachezaji wengi tumewaona wapo tayari kuifia uwanjani, wapo tayari kuvumilia kupigwa bench misimu nenda rudi kwa matumaini ya kuja kucheza, wapo tayari kulipwa kidogo ilimradi tu wacheze Yanga, wachezaji wana hisia kali sana timu inaposhinda au kufungwa.

Labda ndio maana Yanga hata iwe vibaya namna gani haijawahi kushuka zaidi ya nafasi ya tatu.

Kuna siri gani wanaitumia Yanga ?
Yanga haijawahi kuwa nafasi ya 3
 
Back
Top Bottom