Mchezo mchafu unaofanywa na benki kuwapora wateja pesa zao

Mchezo mchafu unaofanywa na benki kuwapora wateja pesa zao

Nami kuna siku nilienda weka hela. Nilizitenga mafungu mafungu. Yaan nilitumia lisaa kwa utulivu sana pale bank. Na nilikua nimedress kama beki 3. Halafu nimenyoa. Ghafla teller ananambia imepelea 2m... yaan tena anaanza kunibunia eti utakua umekosea kuhesabu. Yaan natetemeka. Bora angesema imepelea elf 20. Yaan mil 2 nzima? Na vile nilikua rafu ile siku ndo akazidi kuniharass.
Na mimi nikambadilikia nioamwambia nazijua tabia zenu. Naomba twende camera room na baada ya hapo namtaka branch manager wenu maana naona huduma mnagawa kwa kuangalia outlook za watu. Akawa kama anakaza na mimi sasa nikaongeza loudspeaker. Nikagonga na meza. Nikauliza kwanguvu qhere is rhe branch meneja office... i want to see the camera room alsoo.. weee akaanza tetemeka. Yule dada anaanza nibembeleza anieleweshe. Nikamwambia camera ndo zitanielewesha.. nikaonyeshwa meneja chaap nikamfata. Nikamwelezea scenario. Akaniomba sana nitulie. Tukaenda kwa lile dirisha la yule mama wa makamo nikakuta ameshaandika amount yote... nikamwuliza mbele ya meneja hii 2mil ulosema imepelea umeidownload eh? Nikamwomba ahudumie watu kwa kutokuangalia mavazi. Hii bank ovyo sana. Yaan imeoza sana siku hizi. Sasa sijui kama huwa wanapewaga adhabu ama lah.
Aisee ndio nasanuka kumbee equity wslinipigaga kwa style kitambo kdgo lkni pole 2 milioni sio poa
 
Equity hizi habari sijawahi zisikia. Sijui Kama bank zingine wanahuduma Kama ya equity.

Ukiweka hela ama hela ikiingia kwenye account yako sms inaingia amount iliyowekwa. Me nikiweka tu nasikilizia SMS na kuconfirm nayo ndo naondoka kwa teller.

Ama nikitaka kujua movement ya miamala yangu, App yao inasaidia sana. Inasema everything unapiga tu hesabu mwenyewe Kama kila kitu Kiko sawa if not inaonyesha ilitolewa wapi.
 
Aisee ndio nasanuka kumbee equity wslinipigaga kwa style kitambo kdgo lkni pole 2 milioni sio poa
Na hazikua zangu. You can imagine. Unapoteza imani ya mzazi hivihivi unajiona. Halafu yalikua masaa ya jioni muda wa kufunga. Kwahiyo akachukulia hiyo advantage. Nikikuambia nilikua rafu nilikua rafu kweli maana ilikua ya kukurupushana. Hii bank toka jamaa astaafu imekua hovyo sana. Nataman sana kujua adhabu wanapewa nini. Na inayopaswa ni kufukuzwa. Lazima ujitoe ufahamu.
 
Inategemea anafanya kazi gani, kuna madaraja pia. Lakini alama UN huwa inatumika ndivyo sivyo wao wanashirikiana na mashirika mengine mengi madogomadogo ambayo wanayafadhili kuendesha miradi, kwa taratibu zao magari wanayowapa hayo mashirika na hata official documents zote zinaandikwa UN

Sasa ndio watu wa nje wasiojua huita wafanyakazi wa mashirika hayo kama wafanyakazi wa UN
Asante kwa ufafanuzi mkuu, nilikuwa nasubiri jibu mujarabu kama hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu ndugu zangu
Naomba kushea na nyie jambo hili

Leo nilikua mahakamn kwa ajili ya shughuli zangu nikakutana na mama mmoja anafatilia mirathi ya mumewe
Katika mazungumzo yetu akanidokeza jambo moja ambalo nimeshangaa sana

Anasema baada ya shauri la mirathi kuisha alipewa barua inayomtambulisha kua msimamizi ili akafatilie pesa na mambo mengine

Mumewe alikua ni mfanyakaz wa umoja wa mataifa UN

Alianza na bank aliokua anachukulia mshahara mumewe
Alivofika baada ya kuwaonesha document walimwambia angoje kidogo wafanyie kaz
Baada ya muda kidogo wakamuita na kumpa bank statement ambayo alitakiwa apeleke mahakamani

Bank statement ilionesha acount ilikua na laki moja na sent kias
Akaondoka mpka mahakaman na kukabidhi bank statement kwa karan
Anasema karani hakua na imani na kias cha pesa kilichopo kwenye acount ya marehem kwa sababu document zilionesha alikua analipwa milion 2 kwa mwezi

Karan wa mahakama ikabidi apige cm bank na kuhoji maswali kadhaa kuhusu utata huo
Bank walimjibu kwamba walikosea na kwamba taarifa sahihi acount ina milion mbili na point

Inavoonekana huu mchezo bank wanaucheza sana ,
Fikilia wangapi wamedhulumiwa kwa mtindo km huuu
😡
Sasa hiyo inawezekana vp. Wakati bank statement ni automatically. Inatolewa na bank system na kwa vyovyote vile bank statement itaonyesha balansi halisi ya mteja. Labda kama kuna mtu wa bank alifanya fraud kwa kutoa pesa wakati mteja alikwisha fariki na hiyo Miamala ya kutoa ni lazima ingeonekana ndani ya bank statement. Kiufupi ulichokiandika hapa kina uwalakini..
 
Mimi ilinitokea, nilipekeka 300,000/= kwenye a/c yangu, iligongwa mihuri yote na sahihi ya mpokeaji( huyo dada namfahamu kwa sura, kwa kua nina mazoea ya kwenda hiyo bank. Cha ajabu siku nakwenda ku withdraw pesaATM inanimbi insufficient fund, nikaangalia bal nikakuta wameniwekea 30,000/ nilifuatilia kwa branch manager, yule dada aliitwa (aliyezipokea) nikaambiwa baada ya nusu saa niangalie bal nitakuta imerekebishwa, na kweli ikawa hivyo. Wizi upo sana kwenye bank
Ni matatizo ya kawaida sana hayo kawaida... narudia; KAWAIDA SANA ndo maana kunakuwa na kitengo maalumu kwa ajili ya ku-doublecheck vouchers vs entries.

Sema kosa lake hapo ni moja! Katika hali ya kawaida hapo angekuwa na the so-called OVER ya Sh. 270K... enzi zetu, ukishakuwa na Over, haulali hadi uone imetokana na nini!

Moja ya sababu ya Over ndo hiyo... ku-drop Zero wakati wa ku-Type, kuweka DR wakati mtu kakupa pesa ya ku-deposit!!!

Sema vijana wa sasa, wakiona OVER, wanatia ndani huku wakijiandaa kurudishia mteja akija kushtuka!! But sometimes, yule anaye-doubleck akiwa mzembe, Over inaweza kuji-offset with what's so called SHORT!!
 
Mkuu si unapotezea tu kwani na wewe huibi katika nafasi yako? Huko ofisini hupigi panga? Kila mtu bongo ni mwizi katika nafasi yake. Ukiibiwa potezea tu. Cha kufariji huyo aliyekuubia naye atalizwa na aliyemliza naye atalizwa karma ipo kwa iyo usijali songa mbele
Unaongea as if upo ndotoni. Umefikiria vizuri kabla hujaandika mkuu?
 
Habari zenu ndugu zangu
Naomba kushea na nyie jambo hili

Leo nilikua mahakamn kwa ajili ya shughuli zangu nikakutana na mama mmoja anafatilia mirathi ya mumewe
Katika mazungumzo yetu akanidokeza jambo moja ambalo nimeshangaa sana

Anasema baada ya shauri la mirathi kuisha alipewa barua inayomtambulisha kua msimamizi ili akafatilie pesa na mambo mengine

Mumewe alikua ni mfanyakaz wa umoja wa mataifa UN

Alianza na bank aliokua anachukulia mshahara mumewe
Alivofika baada ya kuwaonesha document walimwambia angoje kidogo wafanyie kaz
Baada ya muda kidogo wakamuita na kumpa bank statement ambayo alitakiwa apeleke mahakamani

Bank statement ilionesha acount ilikua na laki moja na sent kias
Akaondoka mpka mahakaman na kukabidhi bank statement kwa karan
Anasema karani hakua na imani na kias cha pesa kilichopo kwenye acount ya marehem kwa sababu document zilionesha alikua analipwa milion 2 kwa mwezi

Karan wa mahakama ikabidi apige cm bank na kuhoji maswali kadhaa kuhusu utata huo
Bank walimjibu kwamba walikosea na kwamba taarifa sahihi acount ina milion mbili na point

Inavoonekana huu mchezo bank wanaucheza sana ,
Fikilia wangapi wamedhulumiwa kwa mtindo km huuu
😡
Hata Tigo pesa ni hivyo hivyo, Nadhani dawa ni kumpa mke namba ya siri ya Sim banking, ili siku imetokea tatizo anatoa tu laini anaweka kwenye simu yake na kuuliza salio
 
Mshahara mkubwa na kuweka akiba ni vitu viwili tofauti

Kuweka akiba kunahitaji nidhamu ya hali ya juu na kujikanya nafsi yako zaidi ya mahakama inavyojikanya kabla haijapokea ushahidi wa mtoto mdogo ambao haujaungwa mkono na ushahidi mwingine

Kuna watu mapedesheee watu maarufu, wafanya kazi waliokuwa wanatunza wasanii wa bendi kwenye mabaa kabla ya utawala wa magufuli, wakifa wanafamilia kutokana na umaharufu wao hukimbilia kadi za benki mweee hakuna kitu

So tusisingizie benki tuu , tukumbuke kuweka akiba, ukishakuwa mlevi wa mikopo ya benki na vikoba sahau kitu kinachoitwa akiba
Hili nalo neno
 
Mkuu si unapotezea tu kwani na wewe huibi katika nafasi yako? Huko ofisini hupigi panga? Kila mtu bongo ni mwizi katika nafasi yake. Ukiibiwa potezea tu. Cha kufariji huyo aliyekuubia naye atalizwa na aliyemliza naye atalizwa karma ipo kwa iyo usijali songa mbele
Haya mawazo duni sana, yaani wewe kuwa mwivi unadhani watu wote ni wevi...
 
Nami kuna siku nilienda weka hela. Nilizitenga mafungu mafungu. Yaan nilitumia lisaa kwa utulivu sana pale bank. Na nilikua nimedress kama beki 3. Halafu nimenyoa. Ghafla teller ananambia imepelea 2m... yaan tena anaanza kunibunia eti utakua umekosea kuhesabu. Yaan natetemeka. Bora angesema imepelea elf 20. Yaan mil 2 nzima? Na vile nilikua rafu ile siku ndo akazidi kuniharass.
Na mimi nikambadilikia nioamwambia nazijua tabia zenu. Naomba twende camera room na baada ya hapo namtaka branch manager wenu maana naona huduma mnagawa kwa kuangalia outlook za watu. Akawa kama anakaza na mimi sasa nikaongeza loudspeaker. Nikagonga na meza. Nikauliza kwanguvu qhere is rhe branch meneja office... i want to see the camera room alsoo.. weee akaanza tetemeka. Yule dada anaanza nibembeleza anieleweshe. Nikamwambia camera ndo zitanielewesha.. nikaonyeshwa meneja chaap nikamfata. Nikamwelezea scenario. Akaniomba sana nitulie. Tukaenda kwa lile dirisha la yule mama wa makamo nikakuta ameshaandika amount yote... nikamwuliza mbele ya meneja hii 2mil ulosema imepelea umeidownload eh? Nikamwomba ahudumie watu kwa kutokuangalia mavazi. Hii bank ovyo sana. Yaan imeoza sana siku hizi. Sasa sijui kama huwa wanapewaga adhabu ama lah.
Ni crdb?

Adhabu hawapewi coz teller na manager lao moja, ile hela huwa wanagawana
 
Naona unataka kuubariki uovu,hivi unazani watu wanafanana,kuna watu wanapata hela zao kihalali hawaibi hata senti ya mtu.Kwa hiyo style yako tutakuwa tunajenga kizazi cha ajabu sana cha wizi kilicho kosa uaminifu.
Huyo naye Ni mwizi tu
 
Back
Top Bottom