Mchezo mchafu unaofanywa na benki kuwapora wateja pesa zao

Mchezo mchafu unaofanywa na benki kuwapora wateja pesa zao

Kuna kitu kinaitwa TPB weuweee...weka mbali na watoto

Kuanzia manager mpaka teller njaa kali

Ntawapa mkanda later on
Hahahaha naskia mama kavunja bodi juzi 😹😹😹 amesambaratisha utawala
 
Kwanza hapo ungeweza kupiga hela ndefu sana pale alipofoji sign yako ni kosa kubwa sana kisheria,upigaji bank upo sana
Huwaga tu sipendi mikato ya kukomoana, ila jamaa alizingua sana
 
Wanakula wote wampe adhabu ya nini! Juzi nimeenda kununua tu dawa pharmacy kubwa kabisa nikaambiwa bei kabisa naenda kulipia kwa cashier eti hataki kurudisha change, namuuliza change yangu eti kwani umeambiwa sh ngapi! Ndiyo kakanirudishia halafu ni kamdada, wanawake siku hizi nao wamekuwa majizi sana.

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Hivi mjue inabidi ifike kipindi tuwafungulie kesi hawa watu. Mimi yule mama kosa alilofanya ni kuniambia au umeficha hiyo nyingine? Hapo ndo mashetani yaliponipanda. Yaan nilichachukaaa. Ile kauli ilinifanya nijisikie mwizi wa hela za mzazi wangu. Aisee... natamani initokee tena nimeite na mwanasheria wangu[emoji23][emoji23][emoji23] yaan itokee basi
 
Nasisitiza tena,Hakuna pesa ya mtaje inayopotea Bank,yanayaotokea ni makosa ya ma bank teller tu na sio kwamba eti benki ni wezi.Teller katika mahesabu yake akikuta pesa imezidi,ile hela kuna suspense account inawekwa,na hauruhusiwi kuitumia hata kama ni elfu ,sababu wanaa assume kuna siku utakuja kuiulizia na utapewa,..Ikijulikana kuna pesa mtaja kazidisha na huku report,siku akija kudai hela yake,Teller atakwenda na maji.
Ukiona kuna shida kwenye pesa zako,nenda bank na slip zako utaruhudishiwa hela yako.
Issue ya statement ni makosa kwenye kui spool hiyo statement tu labda afisa kuna namna alikosea ila sio lengo la bank kumuibia mteja,Sababu ikijulikana benki kuu benki inaiba pesa za wateja,hiyo faini yake benki haiwezi kulipa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] yaan nilivurugwaaa. Yule teller akanambia eti mbona unang'ang'ania hiyo camera room. Mimi nilitaka tuu ajue siyo boya na basi. Nilitaka ajue najua engilishi hata cha kuombea maji na najuaga kuna kamera huko benki[emoji23][emoji23] kiujumla hiyo siku nilikua mchafu aisee... maybe alijua nimetoka uza mchicha ndo makusanyo. Halafu usisahau nikagonga kwenye meza kama wanavyofanyaga kwenye movie[emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli wewe miss pablo!!😂😂😂
 
Hivi mjue inabidi ifike kipindi tuwafungulie kesi hawa watu. Mimi yule mama kosa alilofanya ni kuniambia au umeficha hiyo nyingine? Hapo ndo mashetani yaliponipanda. Yaan nilichachukaaa. Ile kauli ilinifanya nijisikie mwizi wa hela za mzazi wangu. Aisee... natamani initokee tena nimeite na mwanasheria wangu[emoji23][emoji23][emoji23] yaan itokee basi
Upeleke hela halafu uziibe mwenye daa unaweza mpa mtu vitasa

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Bank wanapiga usipokuwa makini na hela zako........nilifanya miamala kama minne hivi,sasa kwa akili zao wakajua nitapoteza mahesabu hawakujua kwamba narecord salio la mwisho sehemu baada kama ya siku 3 nikaona imepelea jiwe zima(kilo moja aka laki),nikawapandia hewani kwamba kilo moja siioni na wala sijatoa,wakacheck wakasema baada ya masaa mawili itarudi ,nikasikilizia baada ya muda wakairudisha.
 
Nmb hawajawahi kuniibia nikagudua,lakini kwa huu uzi kuanzia leo naongeza umakini
 
[emoji23][emoji23][emoji23] wewe. Ni hela nyingi sana hiyi. Halaf si yngu. Nimekua kilaza kiasi hicho kweli?
Sure, ulichokifanya mie mwenyewe nimependa. Nafikiri ingekua ni mie pasingetosha kabisa
 
Nasisitiza tena,Hakuna pesa ya mtaje inayopotea Bank,yanayaotokea ni makosa ya ma bank teller tu na sio kwamba eti benki ni wezi.Teller katika mahesabu yake akikuta pesa imezidi,ile hela kuna suspense account inawekwa,na hauruhusiwi kuitumia hata kama ni elfu ,sababu wanaa assume kuna siku utakuja kuiulizia na utapewa,..Ikijulikana kuna pesa mtaja kazidisha na huku report,siku akija kudai hela yake,Teller atakwenda na maji.
Ukiona kuna shida kwenye pesa zako,nenda bank na slip zako utaruhudishiwa hela yako.
Issue ya statement ni makosa kwenye kui spool hiyo statement tu labda afisa kuna namna alikosea ila sio lengo la bank kumuibia mteja,Sababu ikijulikana benki kuu benki inaiba pesa za wateja,hiyo faini yake benki haiwezi kulipa.
Ofcoz hayo makosa ndio yanazalisha wizi au dhulma. Inakuwaje mnapigiana hesabu vizuri then unaweka hela nakuondoka, alaf baadae unaambiwa hela uliyoleta ni pungufu ulikosea kuhesabu? Wanafoji saini kisha wanatoa hela kwenye account yako, mbaya zaidi kwenye simu hauji ujumbe wa hiyo transaction. Wakishagundua walipokosea, ndio wanajifanya kukuomba msamaha, wakati hapo awali walikuwa wanasema kosa ni lako?
 
Aisee.. Kuna account yangu bank ya standard chartered,
Juzi nmeweka 190,000 kwa njia ya m pesa cha jabu hiyo bank wakafyeka 22,000 nzima. Mpaka sasa hivi nawaza wamekata kwa jili ya nini sipati jibu.
 
Nasisitiza tena,Hakuna pesa ya mtaje inayopotea Bank,yanayaotokea ni makosa ya ma bank teller tu na sio kwamba eti benki ni wezi.Teller katika mahesabu yake akikuta pesa imezidi,ile hela kuna suspense account inawekwa,na hauruhusiwi kuitumia hata kama ni elfu ,sababu wanaa assume kuna siku utakuja kuiulizia na utapewa,..Ikijulikana kuna pesa mtaja kazidisha na huku report,siku akija kudai hela yake,Teller atakwenda na maji.
Ukiona kuna shida kwenye pesa zako,nenda bank na slip zako utaruhudishiwa hela yako.
Issue ya statement ni makosa kwenye kui spool hiyo statement tu labda afisa kuna namna alikosea ila sio lengo la bank kumuibia mteja,Sababu ikijulikana benki kuu benki inaiba pesa za wateja,hiyo faini yake benki haiwezi kulipa.
Bro, mbona unawatetea sana hawa jamaa. Ndugu zako wanaelezea kilichowakuta ila wewe unakataa.

Hukuona yule jamaa ambaye alikuwa ana deposit hela bank na slip anazo lakini bank ilikuwa inakataa hajadeposit. Kesi ikaenda mahakamani na jamaa akashinda. Ikabidi mali za benki zipigwe mnada. Sikumbuki jina la benki lakini ilikuwa ni last year.
 
Bank wanapiga usipokuwa makini na hela zako........nilifanya miamala kama minne hivi,sasa kwa akili zao wakajua nitapoteza mahesabu hawakujua kwamba narecord salio la mwisho sehemu baada kama ya siku 3 nikaona imepelea jiwe zima(kilo moja aka laki),nikawapandia hewani kwamba kilo moja siioni na wala sijatoa,wakacheck wakasema baada ya masaa mawili itarudi ,nikasikilizia baada ya muda wakairudisha.
Mimi walitaka kunipiga kilo 5. Nilipowaijia juu wakairudisha fasta. sijui ni makosa ya kibinadamu au wanadhamiria?
 
Back
Top Bottom