Mchezo mchafu unaofanywa na benki kuwapora wateja pesa zao

Mchezo mchafu unaofanywa na benki kuwapora wateja pesa zao

Nami kuna siku nilienda weka hela. Nilizitenga mafungu mafungu. Yaan nilitumia lisaa kwa utulivu sana pale bank. Na nilikua nimedress kama beki 3. Halafu nimenyoa. Ghafla teller ananambia imepelea 2m... yaan tena anaanza kunibunia eti utakua umekosea kuhesabu. Yaan natetemeka. Bora angesema imepelea elf 20. Yaan mil 2 nzima? Na vile nilikua rafu ile siku ndo akazidi kuniharass.
Na mimi nikambadilikia nioamwambia nazijua tabia zenu. Naomba twende camera room na baada ya hapo namtaka branch manager wenu maana naona huduma mnagawa kwa kuangalia outlook za watu. Akawa kama anakaza na mimi sasa nikaongeza loudspeaker. Nikagonga na meza. Nikauliza kwanguvu qhere is rhe branch meneja office... i want to see the camera room alsoo.. weee akaanza tetemeka. Yule dada anaanza nibembeleza anieleweshe. Nikamwambia camera ndo zitanielewesha.. nikaonyeshwa meneja chaap nikamfata. Nikamwelezea scenario. Akaniomba sana nitulie. Tukaenda kwa lile dirisha la yule mama wa makamo nikakuta ameshaandika amount yote... nikamwuliza mbele ya meneja hii 2mil ulosema imepelea umeidownload eh? Nikamwomba ahudumie watu kwa kutokuangalia mavazi. Hii bank ovyo sana. Yaan imeoza sana siku hizi. Sasa sijui kama huwa wanapewaga adhabu ama lah.
qhere is rhe branch meneja office... i want to see the camera room alsoo..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sipatii picha ulivokua unabwatuka
 
Kwanini watu hawaweki hela majumbani ? Huku naona ndiyo bora zaidi,kama ukiwa unachelea kupata ukungu,unakuwa unatoa unazungusha unarudisha mpya hivyo hivyo.

Kuna watu wanatunza hela zao majumbani mwao.
 
Kwanini watu hawaweki hela majumbani ? Huku naona ndiyo bora zaidi,kama ukiwa unachelea kupata ukungu,unakuwa unatoa unazungusha unarudisha mpya hivyo hivyo.

Kuna watu wanatunza hela zao majumbani mwao.
wanahofia usalama
 
Acha kabisa adi za marehemu wanapiga aisee
 
Bank wahuni sana. Mwaka jana mwanzoni nilienda kuweka 1.3M kwenye account yangu ya NMB. Tukahesabu fresh, then baada ya kumaliza nikasepa.

Baadae yule teller wakati anafunga mahesabu, akawa inapelea laki 1. Kila akijaribu kuangalia ile loss inatokea wapi, hapati jibu. Mwisho wa siku akapitisha wazo kuwa mimi hela niliyopeleka ilikuwa 1.2M na sio 1.3M. Akajaribu kunipigia simu, sikuwa hewani. Kwavile alikuwa anataka kufunga hesabu, akaandika slip mpya, inayoonesha nimeweka 1.2M then akafoji sahihi yangu. Kwakifupi akatoa laki moja kwenye account yangu.

Nilipopata ujumbe baada ya kuwasha simu kuwa alinitafuta , ikabidi kesho yake mapema niende.Kufika pale ananipa slip aliyojaza yeye akisema tulikosea kuhesabu. Nikamwambia labda ukosee wewe, zile hela nilihesabu kabla sijatoka home. Tukabishana sana hadi kwenda kwa Manager. Yule teller anakomaa kuwa hata kwenye camera zimeonesha kuwa mimi na yeye tulikosea kuhesabu. Vutana sana pale, baadae kuna mmama mmoja nae ni mfanyakazi pale ndio akamuita ndani. Yule mama akamuonesha kosa lilipotokea, kumbe baada ya mimi kuondoka, kuna mtu alikuja na kutoa elfu 50, ila yeye akamuandakia kaweka elfu 50, it means loss ikajidouble.


Baada ya hapo jamaa akaniomba sana msamaha, mpaka natoka getini jamaa yupo ananiomba msamaha tu. Siku hiyo ndio nikajua kumbe bank inaweza kutoa hela kwenye account yako na usiletewe ujumbe.

Wezi sana.
Kwanza hapo ungeweza kupiga hela ndefu sana pale alipofoji sign yako ni kosa kubwa sana kisheria,upigaji bank upo sana
 
Mkuu si unapotezea tu kwani na wewe huibi katika nafasi yako? Huko ofisini hupigi panga? Kila mtu bongo ni mwizi katika nafasi yake. Ukiibiwa potezea tu. Cha kufariji huyo aliyekuubia naye atalizwa na aliyemliza naye atalizwa karma ipo kwa iyo usijali songa mbele
Wewe utakuwa mmoja wapo wa wakata vipanga wa hela za watu maana si kwa utetezi huu

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Kufwatilia Kuna siku nilibank 600,000 jamaa akaweka 60,000 akala 540,000
Na sikuwahi kuweka pesa chini ya laki ,manger akaniomba radhi Ila yula mtumishi alihamishwa pale dirishani
Mie pia nahisi niliwahi kupigwa hapo bank! Maana kuna kipindi niliweka mahali mzigo nikawa na draw bila kufuatilia ila nikashangaa ile hela imeisha kwa muda mfupi sana! Nilikuwa natolea hela dirishani sababu kadi ilikuwa ime expire
 
Nami kuna siku nilienda weka hela. Nilizitenga mafungu mafungu. Yaan nilitumia lisaa kwa utulivu sana pale bank. Na nilikua nimedress kama beki 3. Halafu nimenyoa. Ghafla teller ananambia imepelea 2m... yaan tena anaanza kunibunia eti utakua umekosea kuhesabu. Yaan natetemeka. Bora angesema imepelea elf 20. Yaan mil 2 nzima? Na vile nilikua rafu ile siku ndo akazidi kuniharass.
Na mimi nikambadilikia nioamwambia nazijua tabia zenu. Naomba twende camera room na baada ya hapo namtaka branch manager wenu maana naona huduma mnagawa kwa kuangalia outlook za watu. Akawa kama anakaza na mimi sasa nikaongeza loudspeaker. Nikagonga na meza. Nikauliza kwanguvu qhere is rhe branch meneja office... i want to see the camera room alsoo.. weee akaanza tetemeka. Yule dada anaanza nibembeleza anieleweshe. Nikamwambia camera ndo zitanielewesha.. nikaonyeshwa meneja chaap nikamfata. Nikamwelezea scenario. Akaniomba sana nitulie. Tukaenda kwa lile dirisha la yule mama wa makamo nikakuta ameshaandika amount yote... nikamwuliza mbele ya meneja hii 2mil ulosema imepelea umeidownload eh? Nikamwomba ahudumie watu kwa kutokuangalia mavazi. Hii bank ovyo sana. Yaan imeoza sana siku hizi. Sasa sijui kama huwa wanapewaga adhabu ama lah.
Wanakula wote wampe adhabu ya nini! Juzi nimeenda kununua tu dawa pharmacy kubwa kabisa nikaambiwa bei kabisa naenda kulipia kwa cashier eti hataki kurudisha change, namuuliza change yangu eti kwani umeambiwa sh ngapi! Ndiyo kakanirudishia halafu ni kamdada, wanawake siku hizi nao wamekuwa majizi sana.

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Hawa NMB nikipata muda nitaenda na slip zangu tupige hesabu polepole bila kupigizana kelele. pesa niliyoweka na kutoa haziendani kuna gap la hamsini na kitu

Sasa nimeshapata mwangaza nilijua nimejichanganya kumbe mmenichanganya sasa mtajua hamjui
Namimi pia ilikuwa ni NMB hao hao! Yani nimewekea hela nimeenda ku draw mara 3 naambiwa eti salio lako halitoshi! Dah kmmmk nilisikitika ila nikapotezea ila kumbe kweli kuna huu wizi! Sasa subiria tuone awamu ile waliniosha this time watajua hawajui!
 
qhere is rhe branch meneja office... i want to see the camera room alsoo..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sipatii picha ulivokua unabwatuka
[emoji23][emoji23][emoji23] yaan nilivurugwaaa. Yule teller akanambia eti mbona unang'ang'ania hiyo camera room. Mimi nilitaka tuu ajue siyo boya na basi. Nilitaka ajue najua engilishi hata cha kuombea maji na najuaga kuna kamera huko benki[emoji23][emoji23] kiujumla hiyo siku nilikua mchafu aisee... maybe alijua nimetoka uza mchicha ndo makusanyo. Halafu usisahau nikagonga kwenye meza kama wanavyofanyaga kwenye movie[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hizi nafasi huwa zinakuwa outsourced...

Mathalani mlinzi anakuwa Suma au Knight Support na wafagiaji wanakuwa makampuni ya usafi n.k
huyo kusema ni mfanyakazi wa UN haimaanishi alikuwa mwajiriwa hata hao OUTSOURCED hao hujiita waajiriwa wa UN coz ni kituo cha kazi tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23] yaan nilivurugwaaa. Yule teller akanambia eti mbona unang'ang'ania hiyo camera room. Mimi nilitaka tuu ajue siyo boya na basi. Nilitaka ajue najua engilishi hata cha kuombea maji na najuaga kuna kamera huko benki[emoji23][emoji23] kiujumla hiyo siku nilikua mchafu aisee... maybe alijua nimetoka uza mchicha ndo makusanyo. Halafu usisahau nikagonga kwenye meza kama wanavyofanyaga kwenye movie[emoji23][emoji23][emoji23]
Af mtoto wa baba una mambo wewe itabidi nije change room tuongee vizuri
 
Back
Top Bottom