Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
Hujui usemaloKa nchi kenye ukubwa wa kariakoo kutoka mashariki mwa Africa leo kameenda kuzima jaribio la kigaidi lililoitesa Mozambique na SADC nzima?
Afu tunataka kusema Tanzania tunaweza kuwahimili Rwanda kijeshi... Mnatania nyie.
Wanajeshi wanawake mbona hawapo.....ama huu usawa wa jinsia ni kwenye uongozi tu!!??
Huku kwetu pamezibwa.......Achana na chama kinachoitwa SADC aisee! Yani Gaidi anaweka HQ na airport Macimboa da praia mwa bahari ya hindi na kupata supply,sasa tujiandae kusikia wamehamia Tanzania na kuweka HQ yao soon.maana hii Macimboa da praia ndio base waliobakinayo tu! Na hawana nyingine ya kukimbilia tofauti ta Tananzania.
Huna ukijuacho wewe, unachokijua ni kukaa na dada zako na kujadili bei za Madela.Ingekuwa hivyo kanchi Kama uingereza kasinge itawala Dunia... It's not about quantity.. it's about quality.
Rwanda wamenunua air defense system hivi karibu toka China zenye uwezo wa kupangua hivyo vi RPC Kama maji.
Tanzania hatuna any smart defense system Hadi sasa tunalindwa ba Mungu na maombi. Rwanda wakiamua kuanzisha Vita na sisi kamasi litatutoka coz expertise waliyonayo na Quality Military artillery zitatufanya tutubu na tuanze kuongea kinyarwanda. Amakuru yawe!? Mwidiwe!?
Mungu tunusuru! [emoji848]
Jamaa mjinga sana anaonyesha dharau za kijinga kwa kukaa nyuma ya keyboard.....Huna ukijuacho wewe, unachokijua ni kukaa na dada zako na kujadili bei za Madela.
Haya mambo ya vita na ujuzi wa nchi kijeshi achana nayo sio level yako. Ndio maana unaongea pumba tu
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Achana nao hao vizazi vya Tom na Jerry vinashida sana.Jamaa mjinga sana anaonyesha dharau za kijinga kwa kukaa nyuma ya keyboard.....
Ulijua sababu za kuufyata?Rwanda wako kwenye ubora wao in term of military Power... Tuliwachokoza siku moja watatukojoza saana.
Ingekuwa hivyo kanchi Kama uingereza kasinge itawala Dunia... It's not about quantity.. it's about quality.
Rwanda wamenunua air defense system hivi karibu toka China zenye uwezo wa kupangua hivyo vi RPC Kama maji.
Tanzania hatuna any smart defense system Hadi sasa tunalindwa ba Mungu na maombi. Rwanda wakiamua kuanzisha Vita na sisi kamasi litatutoka coz expertise waliyonayo na Quality Military artillery zitatufanya tutubu na tuanze kuongea kinyarwanda. Amakuru yawe!? Mwidiwe!?
Mungu tunusuru! [emoji848]
Nataka kusikia maneno ya kikamanda Kama haya! [emoji16]Wasifie tu ila hao tunaweza kuichukua Kigali ndani ya masaa 6 baada ya mapigano kuanza
Mi nashangaa wanavyoipa kichwa, rwanda hasimami na tz hata roboRwanda hii hii nayoijua mm?
We k kweliRwanda wako kwenye ubora wao in term of military Power... Tuliwachokoza siku moja watatukojoza saana.
Una wazimu wewe.Huyu mbuzi hazeeki wala hachoki. Siku moja tutasikia kaichukua Kati ya Uganda au Tanzania.
Huyu jamaa ana akili afu mjanja mjanja na katili saana. Masterminder!View attachment 1884690
Nataka kusikia maneno ya kikamanda Kama haya! [emoji16]
Mizinga iliyokuwa inaangukia upande wa Rwanda ilifanya PK arudishe majeshi nyuma maana walikuwa wakijidai wanalinda mipakaKwenye maandalizi ya kuwakabili M23 “mizigo” iliyofika kwa ajili ya kazi hiyo kutoka bongo Ilibidi ipunguzwe kwa order ya UN!
Jamaa wakasema silaha hizo ni nzito mno,hazifai kutumia msituni!