Mchezo umeisha! Msumbiji huru sasa

Mchezo umeisha! Msumbiji huru sasa

Ka nchi kenye ukubwa wa kariakoo kutoka mashariki mwa Africa leo kameenda kuzima jaribio la kigaidi lililoitesa Mozambique na SADC nzima?

Afu tunataka kusema Tanzania tunaweza kuwahimili Rwanda kijeshi... Mnatania nyie.
Hujui usemalo

Unakumbuka M23? Uliwahi kujua who was behind them?
TPDF ni habari nyingine Chief kwa ukanda huu
 
Achana na chama kinachoitwa SADC aisee! Yani Gaidi anaweka HQ na airport Macimboa da praia mwa bahari ya hindi na kupata supply,sasa tujiandae kusikia wamehamia Tanzania na kuweka HQ yao soon.maana hii Macimboa da praia ndio base waliobakinayo tu! Na hawana nyingine ya kukimbilia tofauti ta Tananzania.
Huku kwetu pamezibwa.......
ushiriki wa Tanzania katika hii vita ni kuimarisha ulinzi katika mipaka yake.....
 
Ingekuwa hivyo kanchi Kama uingereza kasinge itawala Dunia... It's not about quantity.. it's about quality.

Rwanda wamenunua air defense system hivi karibu toka China zenye uwezo wa kupangua hivyo vi RPC Kama maji.

Tanzania hatuna any smart defense system Hadi sasa tunalindwa ba Mungu na maombi. Rwanda wakiamua kuanzisha Vita na sisi kamasi litatutoka coz expertise waliyonayo na Quality Military artillery zitatufanya tutubu na tuanze kuongea kinyarwanda. Amakuru yawe!? Mwidiwe!?

Mungu tunusuru! [emoji848]
Huna ukijuacho wewe, unachokijua ni kukaa na dada zako na kujadili bei za Madela.
Haya mambo ya vita na ujuzi wa nchi kijeshi achana nayo sio level yako. Ndio maana unaongea pumba tu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Huna ukijuacho wewe, unachokijua ni kukaa na dada zako na kujadili bei za Madela.
Haya mambo ya vita na ujuzi wa nchi kijeshi achana nayo sio level yako. Ndio maana unaongea pumba tu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Jamaa mjinga sana anaonyesha dharau za kijinga kwa kukaa nyuma ya keyboard.....
 
Ingekuwa hivyo kanchi Kama uingereza kasinge itawala Dunia... It's not about quantity.. it's about quality.

Rwanda wamenunua air defense system hivi karibu toka China zenye uwezo wa kupangua hivyo vi RPC Kama maji.

Tanzania hatuna any smart defense system Hadi sasa tunalindwa ba Mungu na maombi. Rwanda wakiamua kuanzisha Vita na sisi kamasi litatutoka coz expertise waliyonayo na Quality Military artillery zitatufanya tutubu na tuanze kuongea kinyarwanda. Amakuru yawe!? Mwidiwe!?

Mungu tunusuru! [emoji848]



Hapo mwisho nimecheka sana
 
Mchezo umeisha! Msumbiji huru sasa, Bado SADC wanapakia Mizigo ku isaidia Msumbiji.
Rwanda tutaijua tu in10 years coming! Inauma sana tena sana Mungu katupa resources ila kuzilinda kutumia vizuri tukashindwa.😢

20210808_144202.png


IMG_20210808_143052.jpg


IMG_20210808_143123.jpg


IMG_20210808_143129.jpg


img_0165-7-cfcd4.jpg


img_20210807_120352-4487d.jpg


img_0347-5-9d949.jpg


img_0304-7-4b509.jpg


img_0296-4-7ce6d.jpg


img_0390-63783.jpg


img_0274-4-b36a9.jpg


IMG_20210808_182735.jpg


IMG_20210808_182711.jpg


IMG_20210808_184904.jpg


IMG_20210808_182743.jpg
 

Attachments

  • twitter_20210808_111421.mp4
    3.5 MB
  • twitter_20210808_184652.mp4
    5.5 MB
Kwenye maandalizi ya kuwakabili M23 “mizigo” iliyofika kwa ajili ya kazi hiyo kutoka bongo Ilibidi ipunguzwe kwa order ya UN!
Jamaa wakasema silaha hizo ni nzito mno,hazifai kutumia msituni!
Mizinga iliyokuwa inaangukia upande wa Rwanda ilifanya PK arudishe majeshi nyuma maana walikuwa wakijidai wanalinda mipaka
 
Back
Top Bottom