Mchimbaji aula kwa kupata mawe ya Tanzanite ya thamani ya Tsh. Bilioni 7.8

Mchimbaji aula kwa kupata mawe ya Tanzanite ya thamani ya Tsh. Bilioni 7.8

Hili liko wazi mfano migodi mingi sasa hivi serkali imepeleka umeme wa tanesco bei nafuu tofauti na zamani ambapo iliwabidi wachimbaji kununua dizeli na mashine kwa ajili ya kuendesha mgodi

Sema watu wanaingiza chuki zao hili halipingiki Magufuli amefanya kazi kubwa kwenye sekta ya madini
Pumbavu kabisa wewe,migodi imefungwa umeme toka 2007,huo mgodi wa laize umeshatoa madini sana bila juhudi za meko.
Hao wamiliki wa migodi ndio wamejenga arusha sio utalii au mazao.maghorofa zaidi ya 40 arusha yanamilikiwa na wachimba madini wa enzi hizo.
Watu wa utalii wenye maghorofa hawafiki watatu,sunda amenunua share zote za mountmeru hotel zaidi ya 30bn,huyo amemiliki migodi ya tanzanite toka baba yako anachunga mbuzi kijijini
 
Pumbavu kabisa wewe,migodi imefungwa umeme toka 2007,huo mgodi wa laize umeshatoa madini sana bila juhudi za meko.
Hao wamiliki wa migodi ndio wamejenga arusha sio utalii au mazao.maghorofa zaidi ya 40 arusha yanamilikiwa na wachimba madini wa enzi hizo.
Watu wa utalii wenye maghorofa hawafiki watatu,sunda amenunua share zote za mountmeru hotel zaidi ya 30bn,huyo amemiliki migodi ya tanzanite toka baba yako anachunga mbuzi kijijini
Mbona povu hivi,vipi mkuu???

Unapotanguliza hasira sehemu ambayo ni ya kuchangia kawaida,itaonekana labda ni majungu na visa vyako binafsi.aliyesema juhudi za jpm anatakiwa asikilizwe kisha akosolewe kwa fact,maana nayeye anazo zake,apewe nafasi azitetee.

Sasa unatukana tuuu,madini kapata masai,hela imetoa serikali.hatujui unaumizwa na kitu gani.
 
Mbona povu hivi,vipi mkuu???

Unapotanguliza hasira sehemu ambayo ni ya kuchangia kawaida,itaonekana labda ni majungu na visa vyako binafsi.aliyesema juhudi za jpm anatakiwa asikilizwe kisha akosolewe kwa fact,maana nayeye anazo zake,apewe nafasi azitetee.

Sasa unatukana tuuu,madini kapata masai,hela imetoa serikali.hatujui unaumizwa na kitu gani.
Umeme huko tokea 2007 2008
Upo

Ova
 
Tatizo wewe unamihemuko unazungumzia mgodi mmoja tu wa tanzanite ndio akili zako zilipoishia
Wakati Magufuli anaingia madarakani migodi mingi asilimia kubwa ilikuwa haijafungwa umeme, uache ubishi wa kitoto

Leo hii hata migodi ya wachimbaji wadogo wamepelewa umeme tofauti na kipindi cha nyuma wakipokuwa wanateseka kuendesha migodi yao
Usije kuona tumetulia ukaona hatujui kitu mzee

By the way Babu yangu R.I.P alikuwa anamiliki gari miaka ya 80 na baadae mashine akawa anawasagia Unga nyie walugaluga ,alikuwa na mifugo zaidi ya 200

Pumbavu kabisa wewe,migodi imefungwa umeme toka 2007,huo mgodi wa laize umeshatoa madini sana bila juhudi za meko.
Hao wamiliki wa migodi ndio wamejenga arusha sio utalii au mazao.maghorofa zaidi ya 40 arusha yanamilikiwa na wachimba madini wa enzi hizo.
Watu wa utalii wenye maghorofa hawafiki watatu,sunda amenunua share zote za mountmeru hotel zaidi ya 30bn,huyo amemiliki migodi ya tanzanite toka baba yako anachunga mbuzi kijijini
 
Kwa uzito wa mawe hayo kulipwa 7.7 Billion bado kapunjwa kodogo, mi nilitaka kumpa 10 Billion ambapo London stock market wali pledge kunilipa 15 Billion
Bado una nafasi ya kuyanunua tupe 14.5b tutakupa mkuu sisi tutapata faida mara 2
 
Tatizo wewe unamihemuko unazungumzia mgodi mmoja tu wa tanzanite ndio akili zako zilipoishia
Wakati Magufuli anaingia madarakani migodi mingi asilimia kubwa ilikuwa haijafungwa umeme, uache ubishi wa kitoto

Leo hii hata migodi ya wachimbaji wadogo wamepelewa umeme tofauti na kipindi cha nyuma wakipokuwa wanateseka kuendesha migodi yao
Usije kuona tumetulia ukaona hatujui kitu mzee

By the way Babu yangu R.I.P alikuwa anamiliki gari miaka ya 80 na baadae mashine akawa anawasagia Unga nyie walugaluga ,alikuwa na mifugo zaidi ya 200
Mgodi upi huo ntjieeeee kamanda

Ova
 
Tatizo wewe unamihemuko unazungumzia mgodi mmoja tu wa tanzanite ndio akili zako zilipoishia
Wakati Magufuli anaingia madarakani migodi mingi asilimia kubwa ilikuwa haijafungwa umeme, uache ubishi wa kitoto

Leo hii hata migodi ya wachimbaji wadogo wamepelewa umeme tofauti na kipindi cha nyuma wakipokuwa wanateseka kuendesha migodi yao
Usije kuona tumetulia ukaona hatujui kitu mzee

By the way Babu yangu R.I.P alikuwa anamiliki gari miaka ya 80 na baadae mashine akawa anawasagia Unga nyie walugaluga ,alikuwa na mifugo zaidi ya 200
Huku Ss tunatumia generator

Ova
 
Nakuwekea na fact syo ubabaishaji
Unajua nn hiyo inatafutwa mkuu

Ova
 
Ila huyo laizer ingawa kanizidi hela, mbona amekaa kishamba sana, hela inafuata watu washamba washamba..dooh
matajiri feki wa kiswahili matapeli angelamba suti ya mabilioni kujionyesha ana pesa mabilionea wa kipemba na kiarabu akina bakheresa unakuta anatembea kavaa kanzu no makobasi chini anaalikwa na maraisi wakiomba awekeze kwao

nakumbuka raisi wa Namibia alienda nyumbani kwa bakhresa Kumsihi akawekeze Namibia

Mitapeli mingi hasa miswahili utaijua kwa suti linajipresent kitapeli lionekane lina pesa

Masai matajiri hawana show off. Anajivalia nguo Lake la kimasai hata kama anaenda ulaya kukaa hoteli ya nyota tano na kupokelewa kama raisi

wewe utakuwa mtani wangu mhaya kwa kujioyesha feki hamjambo hata kama mia mfukoni huna kingereza na suti lazima!!!
 
Tatizo wewe unamihemuko unazungumzia mgodi mmoja tu wa tanzanite ndio akili zako zilipoishia
Wakati Magufuli anaingia madarakani migodi mingi asilimia kubwa ilikuwa haijafungwa umeme, uache ubishi wa kitoto

Leo hii hata migodi ya wachimbaji wadogo wamepelewa umeme tofauti na kipindi cha nyuma wakipokuwa wanateseka kuendesha migodi yao
Usije kuona tumetulia ukaona hatujui kitu mzee

By the way Babu yangu R.I.P alikuwa anamiliki gari miaka ya 80 na baadae mashine akawa anawasagia Unga nyie walugaluga ,alikuwa na mifugo zaidi ya 200
Wewe pimbi kweli labda mererani ya kijijini kwenu,opec hakuna mgodi mpya na ndipo haya madini yametoka migodi yote ya matajiri wanatumia umeme miaka 10 iliyopita.hakuna mgodi mpya eneo hilo uliyofungwa umeme awamu hii....mahaba yako kwake peleka lumumba
 
matajiri feki wa kiswahili matapeli angelamba suti ya mabilioni kujionyesha ana pesa mabilionea wa kipemba na kiarabu akina bakheresa unakuta anatembea kavaa kanzu no makobasi chini anaalikwa na maraisi wakiomba awekeze kwao

nakumbuka raisi wa Namibia alienda nyumbani kwa bakhresa Kumsihi akawekeze Namibia

Mitapeli mingi hasa miswahili utaijua kwa suti linajipresent kitapeli lionekane lina pesa

Masai matajiri hawana show off. Anajivalia nguo Lake la kimasai hata kama anaenda ulaya kukaa hoteli ya nyota tano na kupokelewa icily.

wewe utakuwa mtani wangu mhaya kwa kujioyesha feki hamjambo hata kama mia mfukoni huna kingereza na suti lazima!!!
Mm namtambua bilioneashilla tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
 
Mbona povu hivi,vipi mkuu???

Unapotanguliza hasira sehemu ambayo ni ya kuchangia kawaida,itaonekana labda ni majungu na visa vyako binafsi.aliyesema juhudi za jpm anatakiwa asikilizwe kisha akosolewe kwa fact,maana nayeye anazo zake,apewe nafasi azitetee.

Sasa unatukana tuuu,madini kapata masai,hela imetoa serikali.hatujui unaumizwa na kitu gani.
Wahi leo uchungu usikushikie njiani
 
Back
Top Bottom