mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Mgodini si yelemamaHao wao ni kuongea uharo hata kushika chepe mgodini hawezi,wanaongea wameshachukua buku 7 zao hapo lumumba
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mgodini si yelemamaHao wao ni kuongea uharo hata kushika chepe mgodini hawezi,wanaongea wameshachukua buku 7 zao hapo lumumba
madini gani yameshuka ktk soko la dunia kutokana na covid ..., kama gold mbona imekuwa ikipanda mpaka sasaKama sio soko la madini limeshuka kwenye soko la dunia sababu ya covid ... nadhani angepata mara nne zaidi ya hiyo hela iliyotajwa
Huyu sjui Kawe alumni ni kenge hajui kitu chochote kuhusu mirerani naona anasoma kwenye social networks.Hao wao ni kuongea uharo hata kushika chepe mgodini hawezi,wanaongea wameshachukua buku 7 zao hapo lumumba
Mtumieni visit atembee ajioneHuyu sjui Kawe alumni ni kenge hajui kitu chochote kuhusu mirerani naona anasoma kwenye social networks.
Huyu hawezi hata kaa huku kashazoea buku 7 za mteremko za lumumba.Mtumieni visit atembee ajione
Ova
Aje camp kuna kazi laini ya upishi itamfaa,kazi za kiumeni atuachie wenyeweHuyu sjui Kawe alumni ni kenge hajui kitu chochote kuhusu mirerani naona anasoma kwenye social networks.
Hata hiyo ya upishi hataweza kashazoea kupika chipsi huko..kupika ugali ya watu 60 -70 dona ya kiume sufuria kubwa za camp si mchezo huyu hataweza.Aje camp kuna kazi laini ya upishi itamfaa,kazi za kiumeni atuachie wenyewe
Sasa tumpe ipi laini mana zilizobaki ni ngumu,au ya kwenda sokoni kijijiHata hiyo ya upishi hataweza kashazoea kupika chipsi huko..kupika ugali ya watu 60 -70 dona ya kiume sufuria kubwa za camp si mchezo huyu hataweza.
Labda kupamba (mpambe)wanaume maana ndio kazi wanazo zimudu..si unaona kila kitu anachofanya jiwe ni kusifu tuSasa tumpe ipi laini mana zilizobaki ni ngumu,au ya kwenda sokoni kijiji
Sasa ajabu ni nini yani?we ukimjua huyo kua ni bilionea maana yake kila mtu anamjua?na kama ni bilionea kitambo ndo nini kweni? Wabongo bwanaAfadhali mkuu umeweka historia sawa.
Mtu anamiliki mgodi toka kitambo halafu wanasema amekuwa bilionea sasa hivi
HahahaSasa tumpe ipi laini mana zilizobaki ni ngumu,au ya kwenda sokoni kijiji
Upo sahihi. 2018 nilikuwa na mbunge wa siha tulienda hotel flan alikuwa na meeting na huyu jmaa na wenzake ili wawekeze kwenye hospital aliyokuwa akijenga. Walifika na mashuka yao ya kimasai nikashangaa sana. Jamaa anaendeshwa na toyota land cruiser hardtop 2016.Pumbavu kabisa wewe,migodi imefungwa umeme toka 2007,huo mgodi wa laize umeshatoa madini sana bila juhudi za meko.
Hao wamiliki wa migodi ndio wamejenga arusha sio utalii au mazao.maghorofa zaidi ya 40 arusha yanamilikiwa na wachimba madini wa enzi hizo.
Watu wa utalii wenye maghorofa hawafiki watatu,sunda amenunua share zote za mountmeru hotel zaidi ya 30bn,huyo amemiliki migodi ya tanzanite toka baba yako anachunga mbuzi kijijini
Usemalo ni kweli hizo gari amenunua 2014 brandnew toka toyota tanzania,hardtop na hilux revo pamoja na kujenga mallUpo sahihi. 2018 nilikuwa na mbunge wa siha tulienda hotel flan alikuwa na meeting na huyu jmaa na wenzake ili wawekeze kwenye hospital aliyokuwa akijenga. Walifika na mashuka yao ya kimasai nikashangaa sana. Jamaa anaendeshwa na toyota land cruiser hardtop 2016.
Mzee akaniambia nisishangae hawa jama wanapesa chafu za mawe. Mahoteli makubwa mjini wanamiliki wao ila ukienda makazi wanayoishi huwezi hamini. Wanaishi kawaida sana.
Mall yake inaitwaje?Mwaka jana alinunua lift za mall yake 1.6bn china lift 2 na ngazi za umeme 4,halafu unasema anaenda kua bilionea[emoji16][emoji16]
Haya sasa watumishi nao wanaangalia fungu lao la 10, kama m700..Fungu la kumi amoe Nani?
Serikali watakuwa wanampa miilioni 50 kila mwaka. Washenzi sana. We subiri baada ya miaka 2 utamsikia Laizer analiaNa kama ameuzia serikali anaweza kubabaishwa sana kulipwa pesa yake. Ila wamasai nao sio watu wa mchezo.mchezo
Hawa ndio wale wale wanaokotoa habari na kuja kuziweka humu bila kujua kuna watu wanajua hizo biashara zaidi yao.Gemstone ni biashara kama kamari unauzia popote,istoshe wahindi ndio walikua wananunua mawe kwa bei nzuri sasa hivi wote wameondoka wamebaki waswahili wenye mitaji ya kuungaunga tu.
Sunda,matias,laizer,onesmos,abdilahi,saitoti wote ni mabilionea kupitia kwa wahindi.
Hawajawahi kuibiwa mawe au kudhulumiwa sunda anamiliki mountmeru hotel kwa pesa zake mwenyewe kutokana na tanzanite
Huko makumbusho ya taifa hiyo tanzanite inaenda kuyeyuka na kuwekwa fake.
Si tuliambiwa BOT itaanzisha utaratibu wa kuhifadhi madini na vito,why makumbusho ya taifa?
BTW:Kuna uwezekano tanzanite kubwa zaidi ya hiyo ilishawahi kupatikana sema jinsi hii biashara ilivyokuwa kabla ya 2015 ilikuwa siyo rahisi hata kujua nani kapata nini.