Mchimbaji aula kwa kupata mawe ya Tanzanite ya thamani ya Tsh. Bilioni 7.8

Nan huyo anawadanganya?!,huyo ni bilionea long time,,,ana mall hapo Arusha ambayo thaman yake ni zaid ya hio hela
 
Achana nao wanadhani Tanzanite ni dhahabu
 
Wanaume wanapozungumza kaa kimya usipende kudandia tren kwa mbele,huu uneme unajua upo huku toka lin?[emoji856][emoji856]
 
Hivi wema sepetu bado hajaolewa?? Achangamkie fursa Kama alivyochangamkia kwa mtoto wa Abdilai akaliwa na kurudi Dar.
 
Mkuu umeandika nini hapa, jamaa alipost kuhusu uyo Mzee week hulo nyuma kabla ajapata jiwe

Muda mwengine MTU unaweza andika ujinga mpaka ukahisi unajibaka ndio hiki.
We hujui umeandika nin hapa huyo dogo Jeff atawadanganya sana,huo mgodi toka umeanza kazi hata miaka 15 haijafika ss hebu muulize hio miaka 17 ameitoa wap?
 
Kiuhalisia kabisa alitakiwa alipwe Milioni 15 hadi20 $,Us Dollars[emoji124]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…