Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeee [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Hakuna mchimbaji apo uyo ni TISS
Gemstone ni mikondo iko mikoa ya kusini,morogoro haswa mahenge na kaskazini yoteKijiji fulani ndani ndani huko rorya. Karibu na wanapokaa wajaluo..
Unauhakika kiongozi?Hata uwe CEO Wa Kampuni gani iyo pesa huwezi ishika
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Wewe ni mjinga yaani hela zake akampatie gwajima?Hongera sana kwake Mungu wetu ni mwema
Akumbuke fungu la 10 na sadaka kwa jamii zaidi amwombe Mungu amwongoze kuutumia huo utajili katika njia impendezayo Mungu
"Kufanikiwa kwa mpumbavu ...."
[emoji23][emoji23][emoji23] haya bana we una ugomvi na gwaji...Wewe ni mjinga yaani hela zake akampatie gwajima?
In the annual analysis of executives' pay at companies in the S&P 500, which is compiled by the AP and Equilar, Su became the first woman to top the list. Her $58.5 million was almost $13 million more than the $45.8 million earned by second-place David Zaslav, the CEO of Discovery Inc.Hata uwe CEO Wa Kampuni gani iyo pesa huwezi ishika,Jamaa ameupata utajiri hakika
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Akacheze picha za ngono[emoji23][emoji23][emoji23] haya bana we una ugomvi na gwaji...
Ndio kazi yao. Kuhakikisha watu wanakuwa salama na mali zao.
Kampuni za hapa Tz sio uko mtoniIn the annual analysis of executives' pay at companies in the S&P 500, which is compiled by the AP and Equilar, Su became the first woman to top the list. Her $58.5 million was almost $13 million more than the $45.8 million earned by second-place David Zaslav, the CEO of Discovery Inc.
heri kuondoka Ili wachimbaji na Wauzaji wasidhuliwe kwa kuuawa Na kuporwa pesa walizokuwa wakiuza gizani na majambazi yaliyokuwa yalikodiwa na wahindiShida iliyopa arusha wanunuzi wote wa kihindi wameondoka ndio wangelipa pesa kufuru,wameondoka na bei imeporomoka sana toka gram 1.2m mwaka jana mwezi huu,
Sasa hivi gram ni laki 5 mpka 4 jiwe zuri
Kumbe ndio Tanzanite ilivyo. Kijijini kwetu ndani ndani huko nilishawahi ona mawe ya namna hii mahali fulani..
Na hadi hivyi sasa sijaona mtu akijihusisha kuchimba haya mawe, Mungu akinijalia mwezi ujao nitafika kuyahakiki...
Wanajuta muda huuWapi madem waliomkataa [emoji23][emoji23][emoji23]
Naam, tunakubaliana. yaani akam Zobe na wenzie walivyofanya kwa wanafamilia wale wa Matombo.
Gemstone ni biashara kama kamari unauzia popote,istoshe wahindi ndio walikua wananunua mawe kwa bei nzuri sasa hivi wote wameondoka wamebaki waswahili wenye mitaji ya kuungaunga tu.heri kuondoka wachimbaji na Wauzaji wasidhuliwe kwa kuuawa No kuporwa pesa walizokuwa wakiuza gizani na majambazi yaliyokuwa yalikodiwa na wahindi
Heri Tanzanite iuzwe hata robo bei kuliko ya wahindi lakini muuzaji awe na uhakika wa kupata pesa zake na uhai wake kuwa salama
Biashara gani mtu alikuwa akienda kuuza anaenda na pustol na kikosi kuogopa kudhulumiwa?
Mijambazi ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara sasa hivi iko hoi njaa kali hakuna wa kumkaba biashara ya Tanzanite. Hongera Raisi Magufuli kupambana kisayansi na mijambazi na mitapeli miuza vichupa vikisingizia madini sekta ya madini
Sasa hivi hakuna wa kumtapeli madini anaenda mwenyewe soko la madini