Mchimbaji mdogo Laizer akabidhi jiwe lingine la Tanzanite lenye uzito wa kilo 6.33 Serikalini

Mchimbaji mdogo Laizer akabidhi jiwe lingine la Tanzanite lenye uzito wa kilo 6.33 Serikalini

Huwezi kunielewa, mimi nipo huku kwenye mgodi wa chusa, naelewa nini kinaendelea,, wewe una ujuzi gani bro?
- Unajua kwamba gemstones ukizivunja thamani yake inapungua?

- Unajua kwamba gemstone ikiwa na mipasuko bei inapungua.?

- unajua kwamba jiwe la kilo 5 lina thamani zaidi ya mara mbili ya mawe madogo madogo yenye jumla ya kilo 5?

- Ni sababu zipi hizo za kibiashara zinazosababisha mawe yavunjwe? Au unataka kupotosha watu humu.
 
Dah kwahiyo tukifanya biashara kwenye TV itakuwa ni kiki?

Usalama wa kuuzia serikali ni mkubwa zaidi kuliko huko nje lakini pia hii ndio maana halisi ya uzalendo au mkuu ulikuwa unafurahia Kenya kuwa nchi inayo ongoza kwa kuuza madini ya Tanzanite wakati hawana hiyo Tanzanite?

Ni kiki ya wazi. Ni kweli ni salama kuiuzia serikali, lakini faida yake ni ndogo. Kwani yeye akienda kuiza huko nje anauza kama serikali ya Kenya?
 
BILIONEA LAIZER AKIKABIDHI JIWE JINGINE KWA SERIKALI Jiwe la madini ya #Tanzanite la mchimbaji mdogo Saniniu Laizer lenye uzito wa kilogramu 6.33 ambalo amelikabidhi kwa serikalini leo na kupokea fedha zake taslimu Shilingi za kitanzania takribani Bilioni 4




1596445779607.png
 

Attachments

  • 1596445823252.png
    1596445823252.png
    87.5 KB · Views: 1
Nilikuwa najiuliza hivi imewezekanaje baada ya jiwe la kwanza, 2 weeks likaja lingine?

Kama anayo mengi ayatoe tu, hili mbona kama ni attention ya 2020?
 
sijui uhitaji wa soko ukoje, lakini kwa kila mwezi wanapotangaza kwamba wamepata kilo fulani, dunia ina take note... kumbuka hakuna sehemu yeyote duniani humu mzigo wa kilo 9 na kuendelea wa Tanzanite umewahi kupatikana... thamani yake imekuwa juu kutokana na ugumu wa upatikanaji wake... sasa hawa mabeberu wakisha jua tu inapatikana kirahisi, maana yake ni kuipunguzia bei- more production - less demand - less price... yafaa sawa serikali iweke muongozo wa production na uuzwaji... kumbuka mafuta namna yanavyopanda na kushuka bei- ni principle hiyo hiyo inatumika kupanga bei ya malighafi duniani.. supply , demand and price... na ni principle hii hii inayo determine dola moja kuwa sh 2000 au zaidi au poundi kuwa zaidi ya Tsh 2500...
Deflation ya bei itategemea na sisi tunavyowatangazia huko ulimwenguni kwamba tunayo bwelele na ya kotosha... na hili kwa sasa linafanyika na akina laizer; duniani huko wakijua tu, basi bei lazima itashuka tu ...
Ni sawa kabisa mkuu, lakini nikukumbushe kuwa demand ya Tanzanite sio rahisi kushuka namna hiyo kwasababu demand yake kwenye soko ni kubwa duniani kote, alafu upatikaniji wake hauna uwanda mpana kwasababu wazilishaji wa Tanzanite ni wachache. Kama Tanzanite ingekuwa inapatikana maeneo mengi tofauti tofauti duniani Kama ilivyo gold basi kweli ingekuwa rahisi sana kushuka.
lakini pia ishu ya ushindani wa kibiashara kutoka foreign companies ni kubwa hii inatupa nafasi ya sisi kuuza Tanzanite yetu kwa bei nzuri sababu tutakuwa Monopoly wa hayo madini.

Halafu siamini Kama Tanzanite ipo nyingi kiasi hicho hadi kufikia kuwepo na over production sidhani kwa kweli mkuu.
Na Kama serikali imeamua kuwekeza kwenye hii biashara basi sidhani kama watayauza ovyo kwa matakwa ya hao mabeberu hadi kufikia kushuka bei kiasi hicho.
 
Ni sawa kabisa mkuu, lakini nikukumbushe kuwa demand ya Tanzanite sio rahisi kushuka namna hiyo kwasababu demand yake kwenye soko ni kubwa duniani kote, alafu upatikaniji wake hauna uwanda mpana kwasababu wazilishaji wa Tanzanite ni wachache. Kama Tanzanite ingekuwa inapatikana maeneo mengi tofauti tofauti duniani Kama ilivyo gold basi kweli ingekuwa rahisi sana kushuka.
lakini pia ishu ya ushindani wa kibiashara kutoka foreign companies ni kubwa hii inatupa nafasi ya sisi kuuza Tanzanite yetu kwa bei nzuri sababu tutakuwa Monopoly wa hayo madini.

Halafu siamini Kama Tanzanite ipo nyingi kiasi hicho hadi kufikia kuwepo na over production sidhani kwa kweli mkuu.
Na Kama serikali imeamua kuwekeza kwenye hii biashara basi sidhani kama watayauza ovyo kwa matakwa ya hao mabeberu hadi kufikia kushuka bei kiasi hicho.
Mkuu sipingani na wewe, lakini ukisoma hapa utagungua mipango ya mabeberu ni kuipunguza bei..
soma hapa: Tanzanite Price & Tanzanite Value (Updated 2020)
 
utaendaje kuuza nje na kodi serikali itapataje? na wakati umechimba hapa,, ndo mana kumewekwa ukuta, kinachotoka chini kinauzwa palepale kwa mtu yeyote mwenye uwezo, serikali inapata kodi, kisha wewe ndo unaweza kulipeleka nje ukauze utakavyo,, ila sheria likitoka tu pale shimoni linauziwa hapohapo.
unayapitishaje hadi kwenda kuuza nje.

na jambo lingine naomba kuuliza expert haswa richard77 kua je mimi na operate kihalali na nimechimba kihalali nimepata madini ya tanzanite na ninaenda kuuza nje sababu ndipo penye soko zuri, hilo ni KOSA KISHERIA?
 
huwezi kunielewa, mimi nipo huku kwenye mgodi wa chusa, naelewa nini kinaendelea,, wewe una ujuzi gani bro?
Sio kila aliyewahi fika mgodini anayajua madini, ts obvious kwamba hujui chochote kuhusu gemstones.
Madini ni taaluma na sio kitu cha kujiongelea unavyojua wewe.
 
utaendaje kuuza nje na kodi serikali itapataje? na wakati umechimba hapa,, ndo mana kumewekwa ukuta, kinachotoka chini kinauzwa palepale kwa mtu yeyote mwenye uwezo, serikali inapata kodi, kisha wewe ndo unaweza kulipeleka nje ukauze utakavyo,, ila sheria likitoka tu pale shimoni linauziwa hapohapo.
Kuna watu hiki kitu hawataki mkuu, Kiukweli Tanzania ilikuwa hainufaiki chochote na haya madini yote yalikuwa yanatoreshewa Kenya, we watu hawana hata mgodi mmoja wa Tanzanite alafu eti ndio wanaongoza kwa uuzaji inauma sana hii ndio maana Wana chuki kubwa mpaka kuzuia watanzania wasiende kwao kwasababu ya kuwakatia mirija ya ulaji wao. Acha sasa Tanzanite yetu ibaki hapa hapa.
 
wewe endelea kuongelea elimu ya vitabu, mimi naongelea ninayoyaona huku shimoni. kwahiyo siwez bishana nawewe uliekaririshwa.
Sio kila aliyewahi fika mgodini anayajua madini, ts obvious kwamba hujui chochote kuhusu gemstones.
Madini ni taaluma na sio kitu cha kujiongelea unavyojua wewe.
 
Laizer ni sweet bebe kwa maopportunist na madanga ya town

Imeisha iyo!
 
Back
Top Bottom